CHAMPIONS LEAGUE FINAL: REAL MADRID vs ATLETICO MADRID 24:05:2014

CHAMPIONS LEAGUE FINAL: REAL MADRID vs ATLETICO MADRID 24:05:2014

Haya Atletico ndo haoooooo. Nilidhani ni offside. Bonge la mistake toka kwa Cassilas
 
Goooooo atletico wanaandika bao la kwanza dk ya 38
 
Naanza kuelewa kwa nini mourinho alikuwa hamoangi huyu kipa...pumbafu kabisa
 
Nasema hivi likirudi hilo nipewe ban ya week moja. Sitaki kuongea mengi.
 
Pengo la Pepe linaonekana pale nyuma
 
Gabi anapiga kichwa murua lakini kinatoka nje.ATM wako safi.Mungu wabariki.
 
Pengo la Pepe linaonekana pale nyuma

Inaweza kuwa kweli mkuu. Labda Ancelloti ameplay safe sababu ya bad temper za Ramos na Pepe walizonazo. Kwa mtizamo wangu hawa jamaa (Pepe na Ramos) ni one foul away from a red card katika mechi kama hii.
 
Masikini simeon hashangilii anajua linarudi muda sio mrefu.
 
Back
Top Bottom