CHAMPIONS LEAGUE FINAL: REAL MADRID vs ATLETICO MADRID 24:05:2014

CHAMPIONS LEAGUE FINAL: REAL MADRID vs ATLETICO MADRID 24:05:2014

Arushaone

Platinum Member
Joined
Mar 31, 2012
Posts
15,237
Reaction score
13,566
That time we have been waiting is today! Nani atalitwaa kombe?

Msisimko unaweza kuwa sio mkubwa sana kwa kuwa wachezaji walioko national teams watakuwa wakicheza kwa tahadhari ili wasiumie kwenye kombe la dunia

Katavi Mbu Nzi et al.
 
Last edited by a moderator:
That time we have been waiting is today! Nani atalitwaa kombe?

Msisimko unaweza kuwa sio mkubwa sana kwa kuwa wachezaji walioko national teams watakuwa wakicheza kwa tahadhari ili wasiumie kwenye kombe la dunia

Katavi Mbu Nzi et al.

real wanabeba
 
Last edited by a moderator:
Atletico madrid watamaliza mashindano bila kupoteza mchezo.... If you knw what i mean!!!
 
atletico ndio bingwa kuhusu real madrid ZIMA
 
Ningependa Atletico wabebe ndoo lakini naona akina Ronaldo na Balle combination yao haishikiki.
 
Who will be better between ronaldo and diego costa also who will be de best coach between carlo ancelonti vs diego simeone
 
Home soil of Cristiano Ronardo,atakuwa full suport of Real Madrid fans,na Ureno fans,Real Madrid atabeba ndoo...
 
Atletico Madrid amenivutia sana.

Natamani awe mshindi hapa
 
Ngoja tuone coz wanasema timu yoyote ambayo huwa inaitoa barca ndo huwa inachukua ushindi
Chelsea ilimtoa Barcelona ikachukua ndooo
Bayernmunich ilimtoa Barcelona ikaenda kuchukua ndoo....je, ni kweli ngoja leo tuone
 
zaidi ya DSTV king'amuzi gani kitaonyesha mechi ya leo?...
 
Back
Top Bottom