CHAMPIONS LEAGUE FINAL: REAL MADRID vs ATLETICO MADRID 24:05:2014

CHAMPIONS LEAGUE FINAL: REAL MADRID vs ATLETICO MADRID 24:05:2014

Mechi za Derby huwa hazitbiriki na zinakuwaga ngumu zenye rafu za hapa na pale.
 
RM naona wanatoa mipira nje,mpaka dakika ya 18 AT wamemiliki mpira sana.
 
Nasikia dogo Courtois hataki au anajisikilizia kurudi Chelsea.. Real wanaweza kufunga la kwanza hapa
 
Ronaldo akiendelea kukaa mbele atakuwa haonekani,vyema akarudi hata kati maana ndo sehemu mpira unamilikiwa kwa sana.
 
Nasikia dogo Courtois hataki au anajisikilizia kurudi Chelsea.. Real wanaweza kufunga la kwanza hapa

Kule Atletico ana uhakika wa namba akija Chelsea atagombania namba na Cech,huenda yakatokea ya Casilas na Lopez kule Madrid
 
Mpira wa leo unaonekana wa kukamiana sana, wanataka kurushiana makonde hapa
 
Haya watoto wa mitaa miwili wameshaanza kupigana mikwara.
 
Kule Atletico ana uhakika wa namba akija Chelsea atagombania namba

Ndio kweli. Hata Cech na yeye nimesikia anaangalia usawa utakuwaje hataki kuwa backup sababu anajua dogo Courtois akirudi atamtishia usalama
 
Atletico wanakosakosa goli na sekunde chache real nao wanakosakosa
 
Bale leo mlaini sana,naona anaweka mguu kwa tahadhari anaogopa kukwatuliwa.Kakosa gori la wazi baada ya beki kufanya uzembe.
 
ATM gooooaaalll..Diego Godin anapata goal la kuongoza kwa ATM.
 
Back
Top Bottom