CHAMPIONS LEAGUE FINAL: REAL MADRID vs ATLETICO MADRID 24:05:2014

CHAMPIONS LEAGUE FINAL: REAL MADRID vs ATLETICO MADRID 24:05:2014

Masikini simeon hashangilii anajua linarudi muda sio mrefu.

Nimependa staili ya Simeon, alizuia benchi kushangilia goli wamewaachia wachezaji wafanye yao uwanjani. Ingekuwa Mourinho tungemwona anakimbia mbio fupi(100M) kushangilia.
 
Asante sana tv abood kwa kuturushia mpira live bila chenga kwa TV ya wizi wekeni basi na mkalimani
 
Ha ha ha ha ha mpaka sasa sijaona alichofa ronaldo ha ha ha ha ndo tatzo la timu kutegemea mtu mmoja hilo na lazma wakae leo atm for trophy
 
Million 500 na uchafu kushindwa na million 73 ni fedhea, tena key prayers wawili wa atretico hawamo ni aibu.

Kila la kheri atretiko
 
Kuna mwehu alihoji mimi ni mganga kutoka wapi? Sasa namwambia hivi mimi nimganga kutoka chini ya kitovu. PIGA KELELEEEEEEEEEEEEEEE.

Ha ha ha, mkuu hadi hapa umeshakosea utabiri wako, ulisema goli litafungwa dkk 8-20 limefungwa 36 na sio kwa kona pia, ingawa naungana na wewe kuamini kuwa ATM wana nafasi kubwa ya kubeba ndoo hivi leo.
 
Nasema hivi likirudi hilo nipewe ban ya week moja. Sitaki kuongea mengi.

Please Invisible,put all your eyes on this mutu. Nikiona kesho anapost humu ntajua nanyi mnaangalia watu sura kama mh Supika.
Huwezi kujiombea ban kwa kuiamini baskeli ya udongo wakati juu kuna wingu zito.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom