Haikuhusu!
Bibi kizee Hana kitu siku hizi
Kiongozi unatania au??
Hilo nalitambua. Hata kufungwa kwa ATM hakukuhusu vilevile.
3-0!kwi kwi kwii!
......... Ya kale hayanuki! Njooni sasaivi muone moto!
Ntuzu wakikitana na nyie kichapo kiko palepale......... Ya kale hayanuki! Njooni sasaivi muone moto!
hapana sitani maana agrregate inaonyesha ni 4-1 sasa hilo moja si ndio lile wamefunga ndani ya dkk 90
Natamani leo real wapigwe sana ili cr7 alie
Bora walivyopigwa Hawa mburukenge!
Costa nje tayari
Simeone bonge la kocha mkuu
Mkuu mimi nimecheki game na wife hapa hapa home kupitia Zuku NBS uganda channel!sisi wa zuku tutaona au ndio mpaka twende bar?
Mshenzi yule,alituharibia timu yetu na technic yake moja tu ya ku-park basi!kwa dizain hii wahispanyola wataendelea kumuona Morinyo kimeo milele,kwa kikosi kilekile,mwenzake katumia season moja tu kachukua UCL,mou kazi yake ilikuwa kugombania usupastaa na wachezaji wake.