Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,109
- 53,626
Wapigwe tu Hawa mburukenge! Wangechonga sn Hawa Na Simeoni wao!
Tutakaa mtaani sasa Kwa amani!
Simeone bonge la kocha mkuu
Wapigwe tu Hawa mburukenge! Wangechonga sn Hawa Na Simeoni wao!
Tutakaa mtaani sasa Kwa amani!
kafunga la 4 ndioVipi mkuu kafunga hiyo penati.
Duuuuh!! RM Na LA DECIMA, BRAVO KWA CARLO ANCELOTTI...THE SO CALLED SPECIAL ONE COULDN'T....BUT THE INTELLIGENCT ITALIAN TACTICIAN JUST DELIVERED..
VIVA MADRID!!!
Mkuu tupo pamoja ronaldo akitimua na mimi sipo madrid.Msimu ujao ukianza ntahamia ATM mazima, Nipo madrid kwa ajili ya ronaldo tu
Yani Nyie bila kumtaja Mourinho Hamuoni raha? Mshindwe Kwa jina la shetani!
Simeone bonge la kocha mkuu
Du! Ahsante mkuu kwahiyo jamaa wamegongwa nne moja hii ni zaidi ya kulala na bundi pole yao.kafunga la 4 ndio
Mie nilijuwa wewe Real Leo Kumbe wapi Real. Madrid watabeba Sema Atletico nao wakiweza kupita beki ya kulia ya Real ndio weak na zikipigwa cross wanababaika ila Real Madrid wanabeba hii haifiki Penalt japo wanasema Mechi 5 za Final zilizoenda ET zilimaliza kwa Penalt. Mie nataka kuijuwa CL toka 99 mpaka hii 2014 kuna Final game ukitowa wa Europe ambayo mchezaji hakuna hata mmoja wa Brazil hakucheza Final ya CL lazima wawepo.
sijasema kwa ushabiki mkuu, wala usiwe na hasira hivyo..huo ndio ukweli, alipewa miaka miwili/mitatu alishindwa, Carlo kwa msimu mmoja kafanya walichoshindwa wengi kwa miaka 12...you have to give credit to the guy bhana