DonDonald
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,548
- 2,753
Hehehehe kila mtu anapenda timu moja ila ukweli Leo ulikuwa kwa ATM hehehe World Cup Three Lion kazi ipo Leo Ronaldo hakucheza vizuri nikasema moyoni Anceloti amtoe ili magazeti Keesho yaandike C Ronaldo anataka kurudi Man United magazeti ya Britain yanafurahisha.
Hapo kwenye nyekundu sio kweli washabiki wa timu yako, ya rubaman wa darajani na noisy neighbour mnakuwa mnapendaga timu nyingi{mnashabikia timu zote hizo}
Leo sikushabikia timu yeyote, yeyote angefungwa sawa . ila ATM walikuwa wazembe, Ronaldo tatizo sifa mno