CHAMPIONS LEAGUE FINAL: REAL MADRID vs ATLETICO MADRID 24:05:2014

CHAMPIONS LEAGUE FINAL: REAL MADRID vs ATLETICO MADRID 24:05:2014

Sikutegemea Madrid wangewafunga magoli haya yote. ATM waliji-punch out baada ya dakika 70 wote walikuwa hoi. Next season Arsenal tunalibeba UCL. Final Arsenal 3-1 PSG You heard it hear first. Ma-hater msio katika UCL pingeni, LOL.

Jeuri ya kushinda kijikombe cha FA baada ya ukame wa miaka rundo!!
 
kwani amefika fainali na kuisaidia timu yake ya taifa kuchukua world cup maana mwaka wa kombe la dunia mwanasoka bora anatoka world cup

Kwani mwaka huu alichukua kwa style gani?
 
Marcello kabadilisha sana gemu kanikumbusha enzi za Robert Carlos
 
kwa dizain hii wahispanyola wataendelea kumuona Morinyo kimeo milele,kwa kikosi kilekile,mwenzake katumia season moja tu kachukua UCL,mou kazi yake ilikuwa kugombania usupastaa na wachezaji wake.


Najua Yote Hayo Ni kutokana Na kichapo tulichowapiga Ndio Maana humpendi Jose! Maana mlinyang'anywa nafasi ya kuwa mabingwa!
 
Najua Yote Hayo Ni kutokana Na kichapo tulichowapiga Ndio Maana humpendi Jose! Maana mlinyang'anywa nafasi ya kuwa mabingwa!

sijawahi kumpenda morinyo,tangu alipokuwa porto! Na ni kwa sababu tu ya mifumo yake ya kiboya,umeona burudani tuliyoipata jana? Pata picha ingekuwa atm ndo inafundishwa na morinyo afu wakapata lile goli pale,nini kingefata hapo?
 
sijawahi kumpenda morinyo,tangu alipokuwa porto! Na ni kwa sababu tu ya mifumo yake ya kiboya,umeona burudani tuliyoipata jana? Pata picha ingekuwa atm ndo inafundishwa na morinyo afu wakapata lile goli pale,nini kingefata hapo?

Maureen hajawa kuwa 'mwalimu wa soka'....yeye ni mjanjamjanja tu...
 
Sikutegemea Madrid wangewafunga magoli haya yote. ATM waliji-punch out baada ya dakika 70 wote walikuwa hoi. Next season Arsenal tunalibeba UCL. Final Arsenal 3-1 PSG You heard it hear first. Ma-hater msio katika UCL pingeni, LOL.

we will see about that
 
Sikutegemea Madrid wangewafunga magoli haya yote. ATM waliji-punch out baada ya dakika 70 wote walikuwa hoi. Next season Arsenal tunalibeba UCL. Final Arsenal 3-1 PSG You heard it hear first. Ma-hater msio katika UCL pingeni, LOL.
Wakati huo kocha wa Arsenal akiwa Mourinho, na PSG wakiitoa QPR kwenye nusu fainali. Muhimu si kuota ndoto tu?
 
kwani amefika fainali na kuisaidia timu yake ya taifa kuchukua world cup maana mwaka wa kombe la dunia mwanasoka bora anatoka world cup

Acha uongo nenda kajifunze mprira kilaza wewe......kuna mwansoka BORA WE MSIMU WA KOMBE LA DUNIA (huyu uchaguliwa mara baada tu ya mashindano ya kombe la dunia).....na MWANASOKA BORA WA DUNIA katika mwaka huo........kama ikitokea mtu mmoja akawa hivyo sio tatizo......2006 Canavaro alimenegi kupata zote.....lakinia 2010 Wesley Sneijder alikuwa wa world cup season na Leo Mess alikuwa Ballon'dor
 
We obwato wewe. Uko wapi? Angali pridiction yangu kwenye post yangu ya kwanza. Angalia dk niliyosema...game imeshaisha. Tunasubiri kuona atletico akikabidhiwa kombe. Pole mkuu gutierez! Dah
Mimi Spain La liga,pole hii nadhani inamhusu Gang Chomba maana La decima inazidi kuwaacha kwa mbali AC Milan,akidai ndio yenye mafanikio makubwa,haya wewe kwa uchokozi 072,mimi simo.
 
Sikutegemea Madrid wangewafunga magoli haya yote. ATM waliji-punch out baada ya dakika 70 wote walikuwa hoi. Next season Arsenal tunalibeba UCL. Final Arsenal 3-1 PSG You heard it hear first. Ma-hater msio katika UCL pingeni, LOL.

Nilisema msimu ulioisha, na ninasema tena kwa ajili ya msimu ujao, kwamba Arsenal ikichukua UCL naacha kushabikia #ManUnited na naanza kushabikia Arsenal...

Goons wote wekeni kwenye kumbukumbu zenu hiyo....
 
Nilisema msimu ulioisha, na ninasema tena kwa ajili ya msimu ujao, kwamba Arsenal ikichukua UCL naacha kushabikia #ManUnited na naanza kushabikia Arsenal...

Goons wote wekeni kwenye kumbukumbu zenu hiyo....

Unamaanisha siku Arsenal wakichukuwa UCL (hata ikiwa miaka 10 ijayo) au unamaanisha specifically msimu ujao? Weka wazi, na omba uhai. Kama Chelsea,Porto walichukuwa kindondokela unafikiri haitowezekana kwa Arsenal kulichukuwa? Na sio timu hizo tu ambazo zimeweza kuchukuwa UCL kombe kindondokela baada ya kutokuwa best team in the tournament, chochote kinaweza kutokea katika soka kuwa reasonable sio unazi kila siku.
 
ImageUploadedByJamiiForums1401202819.048111.jpg
 
Unamaanisha siku Arsenal wakichukuwa UCL (hata ikiwa miaka 10 ijayo) au unamaanisha specifically msimu ujao? Weka wazi, na omba uhai. Kama Chelsea,Porto walichukuwa kindondokela unafikiri haitowezekana kwa Arsenal kulichukuwa? Na sio timu hizo tu ambazo zimeweza kuchukuwa UCL kombe kindondokela baada ya kutokuwa best team in the tournament, chochote kinaweza kutokea katika soka kuwa reasonable sio unazi kila siku.

Nilisema msimu uliopita, na ninasema kwa msimu ujao. Uhai ni uamuzi wa Mola.

Sawa, lakini siyo kwa goons under Arsene Chenga. Huyu hata kubahatisha hawezi!! Sasa atashindaje UCL?
 
Nilisema msimu uliopita, na ninasema kwa msimu ujao. Uhai ni uamuzi wa Mola.

Sawa, lakini siyo kwa goons under Arsene Chenga. Huyu hata kubahatisha hawezi!! Sasa atashindaje UCL?

Mkuu kuwa mkweli. Hata Ukiwekewa mtutu kichwani ulazimishwe kushangilia goli la Arsenal vs Man utd naamini hutashangilia. Uhai ndio ni uamuzi wa Mola hata kitakachotokea msimu ujao nacho tunaweza kusema ni uamuzi wa Mola, hujui Wenger kapangiwa nini na Mola anaweza kulibeba kombe mwakani au la.
 
Back
Top Bottom