CHAMPIONS LEAGUE FINAL: REAL MADRID vs ATLETICO MADRID 24:05:2014

CHAMPIONS LEAGUE FINAL: REAL MADRID vs ATLETICO MADRID 24:05:2014

Jambazi langu Pepe lingekwepo lingemtonesha kidonda yule COSTA,ila Ramos atafanya yake.
 
Hii mechi nani ni underdogs?

uliangalia euro 1992? Denmark walibeba doo wakiwa hawajaqualify. Yugoslavia ndio walikuwa wamequalify uefa wakawatoa kutokana na vita...unajua nini kilitokea? Waliondoka na ndoo. German, Netheland waliokuwa mabingwa watetezi, italy na england wote walirudi mikono mitupu. Atletico walikuwa hawatarajii kufika hapa. Juve, Bayern, Dortimund, barca, madrid na city ndio walikuwa mabingwa watarajiwa. Atletico wanapata ushindi, na kombe wanachukua
 
Hawa Atletico hawajatulia kumbe walikuwa wanamchezesha Costa ambaye hajapona vizuri dah
 
Kwa mpira wa leo, lolote linawezekana

LOL Real bado ni favorites.Ndoto yangu itakuwa vigumu kutimia. Diego Costa ndo hivyo kashatolewa game is over kwa Atletico, inaelekea jamaa hakupona kisawa tusubiri kama atarudi Brazil na Spain.
 
uliangalia euro 1992? Denmark walibeba doo wakiwa hawajaqualify. Yugoslavia ndio walikuwa wamequalify uefa wakawatoa kutokana na vita...unajua nini kilitokea? Waliondoka na ndoo. German, Netheland waliokuwa mabingwa watetezi, italy na england wote walirudi mikono mitupu. Atletico walikuwa hawatarajii kufika hapa. Juve, Bayern, Dortimund, barca, madrid na city ndio walikuwa mabingwa watarajiwa. Atletico wanapata ushindi, na kombe wanachukua

Hii comment yako nitaijadili mpira ukiisha
 
Back
Top Bottom