CHAMPIONS LEAGUE FINAL: REAL MADRID vs ATLETICO MADRID 24:05:2014

CHAMPIONS LEAGUE FINAL: REAL MADRID vs ATLETICO MADRID 24:05:2014

Hii mechi inaweza kuwa kama Arsenal vs Barca 2006, Arsenal walipoteza ubingwa hivi hivi baada ya kuongoza kwa muda mrefu ATM wawe makini.

Arsenal ni wasindikizaji haya mashindano
 
Jaman, mbona mwali haanzi kuandikwa. Kwani inamaana hawajui kama game limeisha hili
 
Arsenal ni wasindikizaji haya mashindano

Muda wetu utafika kama Real walivyosawazisha. Kula leki ngoja niingie mitaani sina dakika 30 nyingine za kuwepo hapa. Kesho wakuu.
 
Huwezi kufanya ujinga huu wa kudefence deep ukiwa unacheza na timu kama Madrid.watajutia sana atletico sasa.sie waitaliano tuliacha defensive football sababu hii.ni mpira usio na guarantee
 
Leo wametambua real sio barcelona.
 
Back
Top Bottom