Mie nilijuwa wewe Real Leo Kumbe wapi Real. Madrid watabeba Sema Atletico nao wakiweza kupita beki ya kulia ya Real ndio weak na zikipigwa cross wanababaika ila Real Madrid wanabeba hii haifiki Penalt japo wanasema Mechi 5 za Final zilizoenda ET zilimaliza kwa Penalt. Mie nataka kuijuwa CL toka 99 mpaka hii 2014 kuna Final game ukitowa wa Europe ambayo mchezaji hakuna hata mmoja wa Brazil hakucheza Final ya CL lazima wawepo.Dah dakika za mwisho wanaharibu