CHAMPIONS LEAGUE FINAL: REAL MADRID vs ATLETICO MADRID 24:05:2014

CHAMPIONS LEAGUE FINAL: REAL MADRID vs ATLETICO MADRID 24:05:2014

Money vs passion,ATM watadhihirisha kuwa pesa sio kitu mbele ya passion.
 
Sina hakika kama nimekusoma vzr, ni kuhusu scorer?

Kivyote mkuu. Ukiingia online mfano Bbc football, Espnfc, yahoosoccer, skysports na wengine wote wana txt live coverage. utajua nani kafunga goli na katika dakika ya ngapi goli lilifungwa na mpira upo katika muda gani. Nimeshaona mara nyingi watu wanaingia humu kuulizia mpira unavyoendelea.
 
ina maana usemi wa kuwa timu inayomtoa barcelona ndiyo inayobeba ndoo leo utakuwa valid?
 
Hawa ATM naona wameanza kuchoka au ndo pressure ya Real inawawia ngumu kuimudu?
 
Back
Top Bottom