CHAMPIONS LEAGUE FINAL: REAL MADRID vs ATLETICO MADRID 24:05:2014

CHAMPIONS LEAGUE FINAL: REAL MADRID vs ATLETICO MADRID 24:05:2014

bila shaka wewe utakuwa ni mganga wa kienyeji.....!!!!
Hints zako ziko murua sana.
Hao waganga wakienyeji matapeli tu mpaka waganga wa hospitali kubwa siku hizi matapeli tu ila tukija kwenye mpira sio kwamba tunatabiri kwa mazambi ila ukweli tunaona Kama Real Madrid ndio anayo nafasi kubwa ya kushinda na si Atletico, hatufanyi ramli hapa, tunaomba mungu ila mwenyezimungu anampa mwenye bidii zaidi kwahiyo nafikiri Real Madrid watacheza kwa bidii zaidi.
 
yaani we obwato hujui hata kusoma mazingira. Atletico de Madrid leo hawana cha kupoteza, sababu cl haikuwa target yao wao walikuwa wanalenga la liga. Atletico kama watapata kombe leo litakuwa ni bonus, kwa kuwa halikuwa target yao. Main target yao ilikuwa ni kupata laliga.

Leo Real Madrid watacheza kwa presha kuliko Atletico.

Natabiri. Atletico 1 madrid 0. Goli dk 37-41.

Ni kweli Atletico wameshatimiza rengo kwa La liga lakini target ya Real kwa miaka mingi sana ni UCL na mwaka huu piga ua galagaza hawaliachi, Contrao, Pepe na CR7 wapo kwenye their mother land bora wafe kuliko kuruhusu huyo mindevu wenu akatize pale nyuma. Stay tuned Real 2 Atletico 1.
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli Atletico wameshatimiza rengo kwa La liga lakini target ya Real kwa miaka mingi sana ni UCL na mwaka huu piga ua galagaza hawaliachi, Contrao, Pepe na CR7 wapo kwenye their mother land bora wafe kuliko kuruhusu huyo mindevu wenu akatize pale nyuma. Stay tuned Real 2 Atletico 1.
ndio manake Karim Benzema Leo atacheka na nyavu tu sababu anaiaga Real Madrid.
 
Hao waganga wakienyeji matapeli tu mpaka waganga wa hospitali kubwa siku hizi matapeli tu ila tukija kwenye mpira sio kwamba tunatabiri kwa mazambi ila ukweli tunaona Kama Real Madrid ndio anayo nafasi kubwa ya kushinda na si Atletico, hatufanyi ramli hapa, tunaomba mungu ila mwenyezimungu anampa mwenye bidii zaidi kwahiyo nafikiri Real Madrid watacheza kwa bidii zaidi.

Mkuu ama real sans bidii basi wangalifanya bidii katika la liga na tumeona mechi 2 sa mwisho kalazimishwa droo na tayari alikua ans nafasi nzuri ya kuchukua kombe la liga
 
Mkuu ama real sans bidii basi wangalifanya bidii katika la liga na tumeona mechi 2 sa mwisho kalazimishwa droo na tayari alikua ans nafasi nzuri ya kuchukua kombe la liga

Real akili zao zote walizielekeza kwenye gemu ya leo wakazichukulia poa zile za ligi that's why ikala kwao, lkn leo hatoki mtu Atletico watapigika kirahisi hamtoamini kama mlivyotoa macho kwa Bayern.
 
ndio manake Karim Benzema Leo atacheka na nyavu tu sababu anaiaga Real Madrid.

Ila mi sijaona Real wana sababu gani ya msingi kumruhusu Benzema aondoke, kwa mtazamo wangu bado ni mchezaji muhimu sana.
 
this trophy goes to real to make their tenth europe cup..


Siku mojamoja uwa unanifurahisha kuchagua timu nzuri kama leo, embu muelimishe na huyo mwanachamazi mwenzio Kitoabu asijichanganye na timu za kumtoa machozi kila siku.
 
Ni kweli Atletico wameshatimiza rengo kwa La liga lakini target ya Real kwa miaka mingi sana ni UCL na mwaka huu piga ua galagaza hawaliachi, Contrao, Pepe na CR7 wapo kwenye their mother land bora wafe kuliko kuruhusu huyo mindevu wenu akatize pale nyuma. Stay tuned Real 2 Atletico 1.
Kuwa kwenye ardhi yao haimaanishi kuwa na spirit ya kucheza kwa bidii.RM wazuri lakini AM wazuri zaidi.
 
REAL MADRID TEAM NEWS
Team to play Atletico: Casillas,Varane, Ramos,Coentrão, Khedira, Ronaldo, Benzema, Bale, Carvajal, Modric, Di María
Subs:-Diego López, Pepe, Marcelo, Arbeloa, Morata, Isco, Illarra
 
ATLETICO MADRID TEAM NEWS
Team to play Real Madrid: Courtois; Juanfran, Godin, Miranda, Filipe Luis; Gabi, Tiago, Koke, Raul Garcia; Villa, Costa
Subs:-Aranzubia, Alderweireld, Suárez, Rodríguez, Sosa, Diego, Adrián
 
ukiangalia historia real Madrid sio mabingwa mwaka huu
 
Haya haya leo ni leo, asiye na mwana aeleke jiwe, msema kesho mwongo, tunazo dk takribani tisini kabla ya kushuhudia mwali akikabidhiwa rasmi kwa atletico au real.
OKW BOBAN SUNZU upo wapi ndugu? Njoo huku.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo hawa jamaa wanaonyesha gemu lakn hakuna commentry na hata score line hakuna na hata muda hawainywshi sasa cjui ndo walivyofundishwa????????

Yah hata mm wananiboa hapo tuu au mda mwingine commentator unamsikia anaongea cjui nikinyamwezi kilee hahahaaa.
 
Tatizo hawa jamaa wanaonyesha gemu lakn hakuna commentry na hata score line hakuna na hata muda hawainywshi sasa cjui ndo walivyofundishwa????????

Njoo huku supersport upate burudani kamili
 
Back
Top Bottom