Chama Tawala nchini Tanzania Chawatakia Wananchi wake heri ya Mwaka mpya 2022

Mwananchi Huru

JF-Expert Member
Nov 20, 2021
1,448
1,003
===
Chama Cha Mapinduzi Tanzania ambacho ndio Chama Tawala cha nchi hiyo kimewatakia heri Wananchi wa nchi hiyo katika kuufika mwaka mpya wa 2022,

CCM chini ya Mwenyekiti wake Mhe Samia Suluhu Hassan ambae pia ni amiri Jeshi mkuu na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kimewatakia heri raia wote wa Tanzania bila kujali itikadi za vyama vyao,

Watanzania endeleeni kuiunga mkono CCM-Tanzania ili kuwa na Tanzania imara itakayojenga hatma njema ya Watoto wa watoto wetu,

photo_2022-01-01_12-58-22.jpg


photo_2022-01-01_12-58-09.jpg


photo_2022-01-01_12-57-27.jpg
 
Kwakweli mama anaupiga mwingi sana,amesikia kelele za wananchi juu ya mvua na amewasikiliza wananchi mwaka umenza na mvua Mbeya,Dodoma,Arusha hii haijawai kutokea na kwakweli amejitaidi pamoja na changamoto zote za covid 19 kama alivyo bainisha kwenye hotuba yake Jana.Mama ni msikivu.
 
Kwakweli mama anaupiga mwingi sana,amesikia kelele za wananchi juu ya mvua na amewasikiliza wananchi mwaka umenza na mvua Mbeya,Dodoma,Arusha hii haijawai kutokea na kwakweli amejitaidi pamoja na changamoto zote za covid 19 kama alivyo bainisha kwenye hotuba yake Jana.Mama ni msikivu.
Mama haleti mvua, Acha kufuru
 
===
Chama Cha Mapinduzi Tanzania ambacho ndio Chama Tawala cha nchi hiyo kimewatakia heri Wananchi wa nchi hiyo katika kuufika mwaka mpya wa 2022,

CCM chini ya Mwenyekiti wake Mhe Samia Suluhu Hassan ambae pia ni amiri Jeshi mkuu na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kimewatakia heri raia wote wa Tanzania bila kujali itikadi za vyama vyao,

Watanzania endeleeni kuiunga mkono CCM-Tanzania ili kuwa na Tanzania imara itakayojenga hatma njema ya Watoto wa watoto wetu,

View attachment 2064932

View attachment 2064933

View attachment 2064934
VIVA CCM, CCM NDIO CHAMA
 
Kwakweli mama anaupiga mwingi sana,amesikia kelele za wananchi juu ya mvua na amewasikiliza wananchi mwaka umenza na mvua Mbeya,Dodoma,Arusha hii haijawai kutokea na kwakweli amejitaidi pamoja na changamoto zote za covid 19 kama alivyo bainisha kwenye hotuba yake Jana.Mama ni msikivu.
Hili la mvua naunga mkono hoja. Mito imejaa maji mgao wa maji na umeme umeisha. Mitano tena kwa mama... atake asitake
 
Ahsante.
Chama kinacho hubiri amani na kusimamia amani nchi.
watanzania wanakiamini na wataendelea kukiamini hadi mwisho wa dunia.
 
===
Chama Cha Mapinduzi Tanzania ambacho ndio Chama Tawala cha nchi hiyo kimewatakia heri Wananchi wa nchi hiyo katika kuufika mwaka mpya wa 2022,

CCM chini ya Mwenyekiti wake Mhe Samia Suluhu Hassan ambae pia ni amiri Jeshi mkuu na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kimewatakia heri raia wote wa Tanzania bila kujali itikadi za vyama vyao,

Watanzania endeleeni kuiunga mkono CCM-Tanzania ili kuwa na Tanzania imara itakayojenga hatma njema ya Watoto wa watoto wetu,

View attachment 2064932

View attachment 2064933

View attachment 2064934

Hatuna Shida Na Heri Za Chama Cha Mchongo
 
Back
Top Bottom