Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
You must be joking tupe data mkuu
I'm not....
You must be joking tupe data mkuu
Kiyabo Kiyabo Kiyabo.
Hana jina la kwanza huyu Kiyabo? Hivi hatuna namna ya kutajana majina formally? Haya, ndugu imekufa, na jina lake la kwanza hamumjui na mmeshindwa kumbana Tendwa alitoe, mnashindwa hata kusema bwana Kiyabo?
Ati wana kazi nyingi! Umeona Chama Cha Majambazi kinavyoogopa upinzani hata ule ambao haujulikani.
Chama kimeshapata usajili wa muda..
Kiyabo Kiyabo Kiyabo.
Hana jina la kwanza huyu Kiyabo? Hivi hatuna namna ya kutajana majina formally? Haya, ndugu imekufa, na jina lake la kwanza hamumjui na mmeshindwa kumbana Tendwa alitoe, mnashindwa hata kusema bwana Kiyabo?
kumeguka ccm?....
NEVER ON EARTH!....
naomba CCM ibomoke , tupate uhuru toka kwa wakoloni weusi.
Ni wale wale tu,hakuna mpiganaji katika ufisadi................Wa tanzania tutaendelea kuliwa mpaka siku ya mwisho!!!
Alsaidy, are you ready prepared kuliwa, actually am not? Ikiwa Watanzania wataendelea kuwa na mtizamo kama huo ulio nao, Hakika wataendelea kuliwa.
Tambua kuwa mafanikio hayaji kwa siku moja, ni hii ni dalili na ni maendeleo kuelekea kule tunakopataka. Tunahitaji watu wenye mtazamo kama huu wa CCJ.