Ehee najiuliza wanaoenda kuunda CCJ ni viongozi wa sasa waliomo CCM? Sawa. Lakini kwa asili yao ni watu wanaopenda madaraka. Je wako tayari kuongozwa na wengine?
Fedha za kuendesha kampeni yao na kuendesha cCJ wataipata kutoka wapi. Je ni zile ambazo vyanzo vyake ni vya kifisadi. Kama ni za akina RA na wenzie je watakubali kuwalipa wengine?
Muda umeenda na tumebakia na miezi kama 9. Muda huo uliobakia unatosha kuitangaza CCJ na wao kukubalika kwa wananchi na kuweza kugombea ubunge, udiwani na Urais?
Hiyo bendera yao ni ile iliyokuwa ya TANU. Lugha iliyotumika ni ya akina wazee wetu wa MNF (Mwalimu Nyerere Foundation.
Umri wa hao waasisi wa CCJ ni upi. Kama ni wale wazee wetu wa MNF na wengineo hawana stamina ya kuzunguka nchi nzima na kukinadi CCJ.
Ninasema chama hiki ni non starter
Fedha za kuendesha kampeni yao na kuendesha cCJ wataipata kutoka wapi. Je ni zile ambazo vyanzo vyake ni vya kifisadi. Kama ni za akina RA na wenzie je watakubali kuwalipa wengine?
Muda umeenda na tumebakia na miezi kama 9. Muda huo uliobakia unatosha kuitangaza CCJ na wao kukubalika kwa wananchi na kuweza kugombea ubunge, udiwani na Urais?
Hiyo bendera yao ni ile iliyokuwa ya TANU. Lugha iliyotumika ni ya akina wazee wetu wa MNF (Mwalimu Nyerere Foundation.
Umri wa hao waasisi wa CCJ ni upi. Kama ni wale wazee wetu wa MNF na wengineo hawana stamina ya kuzunguka nchi nzima na kukinadi CCJ.
Ninasema chama hiki ni non starter