Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 30,248
- 54,635
sio sawa eneo kama Sinza kwa mfano, around saa 12 jioni tayari utaona madada wamevaa hovyo, wanavuta masigara, huku watoto wakipita na kushuhudia, asubuhi watoto wanakwenda mashuleni wanapita wanaona huo ujinga - HII HAIJAKAA SAWA HATA KIDOGO.
Mitaa ya Mwananyamala, Manzese, Tabata, Buguruni nk, kote hali ni mbaya sana, mapema kabisa unaona madada wamejianika huku mitaani watoto wakienda na kurudi mashuleni, watoto wakicheza na kushuhudia huo ujinga.
Lazima tukubaliana hili suala liko "out of control" na linahitaji control sasa ya mamlaka ili kujenga kizazi makini na imara.
Ukahaba Tanzania limekuwa jambo rahisirahisi sana na chanzo chake kikubwa ni malezi tu ambayo lazima woote kama jamii tusimame ili kujenga jamii makini.
Amen brother, mmomonyoko wa maadili umekuwa normalized. Imagine watu wanatetea hili as if ni normal.
This how down tumefika
Although authority zimechelewa kuchukua muda, it time na mikoa mingine ichukue such measures