Chalamila naona umepitiwa kaka

Chalamila naona umepitiwa kaka

Yaani huku ulipoingia naona umepotea kaka.

Huna haki yoyote ile ya kumchagulia mwananchi cha kuhitaji ukiwachia bange na madawa mengine ya kulevya.

Ngono siyo dhambi ili mradi hajatumia uharamia kuipata hiyo ngono.

Unawezaje kusema utamkamata? Amebaka? Au kuna mlalamikaji?View attachment 2803941
Ni mjinga sana
 
Wewe sexless wewe,kila biashara ni lazima iwe na eneo husika na ni lazima usajiliwe na walipe kodi,sasa unapomlaumu chalamila kwa kushughurika na hayo madanguro bubu,ni kukosa hekima,wewe kama unataka kuendesha biashara ya danguro,sajiri na ulipe mapato,ukifanya hayo nani atakubughudhi. Sio saloon ya kunyoa igeuzwe kuwa dangerous bubu.

Question hiyo ni biashara halali according to sheria za nchi?
 
Wametumia nguvu nyingi.

Utafikiria ni vita dhidi ya wavamizi wa nchi.

Ukute hata yeye kasomeshwa na hela ya udanguro.

Nchi haina kiwanda nchi haina ajira, kwani hata wale wamama nimeona watu wazima kwamba wanapenda ukahaba ? Ni maisha tu.

Akikutana na baba yake januari amuulize sekeseke la jangwani lilichomfanyia.
Dah! Umeenda mbali aisee!!!!
 
Nilijua tu Chalamila lazima aanze kuharibu kazi, hii ndio tabia ya mtu, huwezi badili kwa kumpa cheo, bali kumnyima cheo ataacha tabia yake mbovu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom