Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,228
- 98,188
Yaani huku ulipoingia naona umepotea kaka.
Huna haki yoyote ile ya kumchagulia mwananchi cha kuhitaji ukiwachia bange na madawa mengine ya kulevya.
Ngono siyo dhambi ili mradi hajatumia uharamia kuipata hiyo ngono.
Unawezaje kusema utamkamata? Amebaka? Au kuna mlalamikaji?
Huna haki yoyote ile ya kumchagulia mwananchi cha kuhitaji ukiwachia bange na madawa mengine ya kulevya.
Ngono siyo dhambi ili mradi hajatumia uharamia kuipata hiyo ngono.
Unawezaje kusema utamkamata? Amebaka? Au kuna mlalamikaji?