Chalamila naona umepitiwa kaka

Chalamila naona umepitiwa kaka

Swali moja tu kwa Chalamila.
Ukikomesha umalaya Dar, wateja wa Malaya umewapa mbadala gani?
Nyege haina dawa punyeto linatuliza kwa muda tu, ili nyege itoke lazima utelezi wa binadamu. Halafu nyege inahamisha akili kutoka kichwani kuja chini kwenye kichwa Cha abdala kichwa wazi.
Ndio maana watu na heshima zao wadhalilika mbele ya wanawake.
 
Yaani huku ulipoingia naona umepotea kaka.

Huna haki yoyote ile ya kumchagulia mwananchi cha kuhitaji ukiwachia bange na madawa mengine ya kulevya.

Ngono siyo dhambi ili mradi hajatumia uharamia kuipata hiyo ngono.

Unawezaje kusema utamkamata? Amebaka? Au kuna mlalamikaji?View attachment 2803941
Pole sana ndugu Mmawia wanataka kukuaribia mingo zako za starehe, pole sana mkuu.
POLENI WOTE MLIOGUSWA TUNAJUA MMEJAWA NA SIMANZI.
 
Chalamila hata ukimwangalia usoni kwa umakini utagundua ana tatizo kidogo la Afya ya akili mifereji imejaa maji nyumba za watu zinabomolewa na mafuriko Kuta zimejengwa barabarani shule watoto wadogo wanaokotwa wamesombwa na mafuriko hajui yeye anahangaika na starehe za watu unamwona mpaka mishipa ya shingo inamtoka unajiuliza hivi kazi ya RC imeshuka kwa kiwango kikubwa hivi??? Aachane na mambo hayo ahangaike na kero na kuongeza mapato ya jiji
 
Madanguro hayapaswi kuwa hovyohovyo mitaani kwenye makazi ya watu.

waweke utaratibu kwa hayo madanguro kuwekwa mbali huko ambako watu hawaishi.
Hata hizi sehemu za starehe hovyo hovyo mitaani kwenye makazi ya watu zitolewe ziwekwe mbali na makazi ya watu pia.
Mbali na sehemu watu hawaishi ni wapi huko !? Je ni chanika,mbagala, bunju, mbezi makabe, kibamba au wapi maana huko kote Kuna wakazi na wanaishi
 
Huyu RC anaacha kuweka mipango thabiti ya kupambana na uchafu/takataka zilizozagaa kila kona ya jiji la DSM anaanza kupambana na faragha za watu.

Ni ajabu mwananchi anatumia kikojolewa chake lkn Chalamila anatumia huko ofisini kwake.

Hakuna popote kwenye sheria ama katiba palipoandikwa kwamba mtu kugawa uroda ni kosa la jinai. Tuliungana mafusika , machangu na wanaume wanaonufaika na "ngono-ubwete" Chalamila tunamfunga.
Chadema wanavyowambia Hawa wachaguliwe na wananchi ,sio wajinga unataka aje na mipango ukijua mteuliwa
 
Chalamila hata ukimwangalia usoni kwa umakini utagundua ana tatizo kidogo la Afya ya akili mifereji imejaa maji nyumba za watu zinabomolewa na mafuriko Kuta zimejengwa barabarani shule watoto wadogo wanaokotwa wamesombwa na mafuriko hajui yeye anahangaika na starehe za watu unamwona mpaka mishipa ya shingo inamtoka unajiuliza hivi kazi ya RC imeshuka kwa kiwango kikubwa hivi??? Aachane na mambo hayo ahangaike na kero na kuongeza mapato ya jiji
Anatafuta kiki za kijinga tu. Hii biashara ipo tangu kuumbwa kwa dunia,Mwenyezi Mungu alileta gharika lakini haikwisha,akatia kiberiti miji ya Sodoma na Gomorrah lakini biashara haikwisha,yeye Chalamila ni nani wa kuondoa alichoshindwa kuondoa Mungu muumbaji wa mbingu na nchi?
 
Anatafuta kiki za kijinga tu. Hii biashara ipo tangu kuumbwa kwa dunia,Mwenyezi Mungu alileta gharika lakini haikwisha,akatia kiberiti miji ya Sodoma na Gomorrah lakini biashara haikwisha,yeye Chalamila ni nani wa kuondoa alichoshindwa kuondoa Mungu muumbaji wa mbingu na nchi?

Neg man, Mungu hajashindwa kuondoa ni hajataka
 
Kila mkuu wa mkoa anayeletwa Dar huanza kwa kujimwambafy na issue za madanguro ila hapajawahi aliyewahi kufanikiwa. Jiji la Dar ni complex sana zaidi ya hizo kauli za wanasiasa za tetere tetere. Alafu mbona siku hizi hawapangi foleni barabarani, wengi wapo mtandaoni. Mi nikitaka naingia tuu kwenye mitandao naagiza mzigo unakuja nakula kiroho safi
 
Mbali na sehemu watu hawaishi ni wapi huko !? Je ni chanika,mbagala, bunju, mbezi makabe, kibamba au wapi maana huko kote


yapo maeneo mengi sana hapahapa Dar es salaam ambayo serikali inaweza kuyatenga na kuzuia watu kuishi na baadala yake yakajengwa mahoteli, macasino na hayo madanguro...

Mfano pale TIPTOP tayari automatically tu watu wamejenge mahoteli ya gharama, serikali inaweza kuhamisha makazi ya watu ile tiptop yoote kwa matajiri kuwalipa watu na kujenga mahotel na eneo likawa kabisa na marufuku ya mtu yeyote under18 kuonekana huko muda wowote.,
 
sio sawa eneo kama Sinza kwa mfano, around saa 12 jioni tayari utaona madada wamevaa hovyo, wanavuta masigara, huku watoto wakipita na kushuhudia, asubuhi watoto wanakwenda mashuleni wanapita wanaona huo ujinga - HII HAIJAKAA SAWA HATA KIDOGO.

Mitaa ya Mwananyamala, Manzese, Tabata, Buguruni nk, kote hali ni mbaya sana, mapema kabisa unaona madada wamejianika huku mitaani watoto wakienda na kurudi mashuleni, watoto wakicheza na kushuhudia huo ujinga.

Lazima tukubaliana hili suala liko "out of control" na linahitaji control sasa ya mamlaka ili kujenga kizazi makini na imara.
Ukahaba Tanzania limekuwa jambo rahisirahisi sana na chanzo chake kikubwa ni malezi tu ambayo lazima woote kama jamii tusimame ili kujenga jamii makini.
 
Hili ni suala letu sote ili kulinda familia zetu na jamii kiujumla, watoto kwa sasa mitaani wako exposed kwenye mambo ya hovyohovyo sana, tunahitaji kuamka kuilinda jamii.
 
An
Wakifikishwa mahakamani hushtakiwa kwa kesi ya uzururaji (sheria ya kikoloni/kikaburu)
Anazurura akiwa chumbani?
Jambo la msingi ni kutoa elimu kwa jamii.
Kesi ya uzururaji inawahusu wanaojipanga barabarani.
 
Sawa hajataka,jee Chalamila ndiye ana uwezo wa kuondoa kile ambacho Mungu aliamua kukiacha kiendelee kuwepo? Wauza nyapu wakiondolewa wote mnajua ni kiasi gani kesi za u ubakaji na ulawiti zitaongozeka?

Kwamba kesi za ubakaji zimepungua sababu ya madanguro?
Pls with evidence na supportive statistics elezea point yako?

With all due respect vitabu vya dini vinaeleza hivyo vitendo ni chukizo kwakwe, how do you think sodoma na gomora vilianza? By normalizing matendo ambayo ni chukizo kwa Mungu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom