Dakika chache baada ya waziri Nape kukanusha kuwa serikali ya rais Samia haihusiki na kukifuta kipindi cha mahojiano kilichopaswa kuruka leo asubuhi pale Wasafi FM, kuna tetesi kuwa Chalamila anahusika.
Habari kutoka ndani ya Wasafi Media zinadai RC Chalamila ndiye aliyewapigia simu majira ya jioni kuwataka kukifuta kipindi hicho. Na ndipo nao Wasafi Media jana usiku wakampigia Tundu Lisu.
Ikumbukwe Chalamila ndiye aliyetaka kuzima hata maandamano ya chadema ya 24 January 2024 kwa kisingizio kuwa jeshi litakuwa linafanya usafi.
Swali. Kama tetesi hizi ni za kweli. Je, Chalamila siyo sehemu ya serikali ya Samia?
Habari kutoka ndani ya Wasafi Media zinadai RC Chalamila ndiye aliyewapigia simu majira ya jioni kuwataka kukifuta kipindi hicho. Na ndipo nao Wasafi Media jana usiku wakampigia Tundu Lisu.
Ikumbukwe Chalamila ndiye aliyetaka kuzima hata maandamano ya chadema ya 24 January 2024 kwa kisingizio kuwa jeshi litakuwa linafanya usafi.
Swali. Kama tetesi hizi ni za kweli. Je, Chalamila siyo sehemu ya serikali ya Samia?