Tetesi: Chalamila adaiwa kuhusika na ufutaji wa kipindi Wasafi FM

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,563
50,410
Dakika chache baada ya waziri Nape kukanusha kuwa serikali ya rais Samia haihusiki na kukifuta kipindi cha mahojiano kilichopaswa kuruka leo asubuhi pale Wasafi FM, kuna tetesi kuwa Chalamila anahusika.

Habari kutoka ndani ya Wasafi Media zinadai RC Chalamila ndiye aliyewapigia simu majira ya jioni kuwataka kukifuta kipindi hicho. Na ndipo nao Wasafi Media jana usiku wakampigia Tundu Lisu.

Ikumbukwe Chalamila ndiye aliyetaka kuzima hata maandamano ya chadema ya 24 January 2024 kwa kisingizio kuwa jeshi litakuwa linafanya usafi.

Swali. Kama tetesi hizi ni za kweli. Je, Chalamila siyo sehemu ya serikali ya Samia?
 
Dakika chache baada ya waziri Nape kukanusha kuwa serikali ya rais Samia haihusiki na kukifuta kipindi cha mahojiano kilichopaswa kuruka leo asubuhi pale Wasafi FM, kuna tetesi kuwa Chalamila anahusika.

Habari kutoka ndani ya Wasafi Media zinadai RC Chalamila ndiye aliyewapigia simu majira ya jioni kuwataka kukifuta kipindi hicho. Na ndipo nao Wasafi Media jana usiku wakampigia Tundu Lisu.

Ikumbukwe Chalamila ndiye aliyetaka kuzima hata maandamano ya chadema ya 24 January 2024 kwa kisingizio kuwa jeshi litakuwa linafanya usafi.

Swali. Kama tetesi hizi ni za kweli. Je, Chalamila siyo sehemu ya serikali ya Samia?
TV chadema iko mfukoni kwa Mwenyekiti wenu?
 
Kila mtu ana tetesi zake. Twitter republic wanasema Nape. Maana ndio tabia yake ya siku nyingi kupigia wenye Tv, Radio na online tv kuzuia wapinzani wasioneshwe wala kusikika.
Ni kweli. Awali ilivuma kuwa Nape ndiye kawapogia simu, lkn sasa kakanusha.

Na ndiyo maana tetesi zimehamia kwa Chalamila hivi sasa
 
Dakika chache baada ya waziri Nape kukanusha kuwa serikali ya rais Samia haihusiki na kukifuta kipindi cha mahojiano kilichopaswa kuruka leo asubuhi pale Wasafi FM, kuna tetesi kuwa Chalamila anahusika.

Habari kutoka ndani ya Wasafi Media zinadai RC Chalamila ndiye aliyewapigia simu majira ya jioni kuwataka kukifuta kipindi hicho. Na ndipo nao Wasafi Media jana usiku wakampigia Tundu Lisu.

Ikumbukwe Chalamila ndiye aliyetaka kuzima hata maandamano ya chadema ya 24 January 2024 kwa kisingizio kuwa jeshi litakuwa linafanya usafi.

Swali. Kama tetesi hizi ni za kweli. Je, Chalamila siyo sehemu ya serikali ya Samia?


Who cares?
 
Dakika chache baada ya waziri Nape kukanusha kuwa serikali ya rais Samia haihusiki na kukifuta kipindi cha mahojiano kilichopaswa kuruka leo asubuhi pale Wasafi FM, kuna tetesi kuwa Chalamila anahusika.

Habari kutoka ndani ya Wasafi Media zinadai RC Chalamila ndiye aliyewapigia simu majira ya jioni kuwataka kukifuta kipindi hicho. Na ndipo nao Wasafi Media jana usiku wakampigia Tundu Lisu.

Ikumbukwe Chalamila ndiye aliyetaka kuzima hata maandamano ya chadema ya 24 January 2024 kwa kisingizio kuwa jeshi litakuwa linafanya usafi.

Swali. Kama tetesi hizi ni za kweli. Je, Chalamila siyo sehemu ya serikali ya Samia?
Tetesi za huku mtaani ni kuwa Mbowe ndio ametaka makamu mwenyekiti anyimwe air time sababu hawajajua anataka kuzungumza nini!
 
Ni kweli. Awali ilivuma kuwa Nape ndiye kawapogia simu, lkn sasa kakanusha.

Na ndiyo maana tetesi zimehamia kwa Chalamila hivi sasa
kwahiyo na Chalamila akikanusha, jumba anaangushiwa mwengine ama vipi?
 
Dakika chache baada ya waziri Nape kukanusha kuwa serikali ya rais Samia haihusiki na kukifuta kipindi cha mahojiano kilichopaswa kuruka leo asubuhi pale Wasafi FM, kuna tetesi kuwa Chalamila anahusika.

Habari kutoka ndani ya Wasafi Media zinadai RC Chalamila ndiye aliyewapigia simu majira ya jioni kuwataka kukifuta kipindi hicho. Na ndipo nao Wasafi Media jana usiku wakampigia Tundu Lisu.

Ikumbukwe Chalamila ndiye aliyetaka kuzima hata maandamano ya chadema ya 24 January 2024 kwa kisingizio kuwa jeshi litakuwa linafanya usafi.

Swali. Kama tetesi hizi ni za kweli. Je, Chalamila siyo sehemu ya serikali ya Samia?
Chalamila ni mwendawazimu Tu ndio maana anatumia majukwaa ya Serikali ku-promote hotel ya Ndugu yake
 
Back
Top Bottom