Aiyah ukimalizs funga mlango wa MOCHWARI,uje mkuuu twakusubirNakuja wandugu subirini

Nyumba ndogo hatari sana ni bora umlipe malaya ukidhi haja zako.Huwa Najiuliza sana je hata hizo chai za vibandani tunafanyiwa haya? View attachment 693279imagine ndio kaambiwa na mganga wake afanye hivi.. Je atakataa?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Uchawi mkubwa uliokua unawavuta watu hapo ni shepu la huyo mama mdigo na wanawe. Wabongo hujawajua saikolojia yao Mshana, wewe fungua biashara kama ya Restaurant, Bar, duka la vyakula au nguo halafu weka wadada wenye shepu kama za huyo mama Mdigo tena wawe wachangamfu na wanaopenda utani uone wateja hasa wanaume watavokua wanajazana hapo kwenye biashara yako. Yupo jamaa yangu muhasibu kwenye wizara flani anapenda sana wadada wenye msambwanda alijikuta ananunua fenicha za million mbili bila kua na mpangilio au budget nazo(Ilikua enzi ya Mkwere lakini). Kisa kwenye hilo duka la Pugu Road yupo dada Mashaallah kwa umbo na sauti, halafu anakupokea anakuzuungusha kwenye bidhaa mpo wawili tu!
yeah naweza kukubaliana nawe kwa kiasi fulani
Mmh aisee pale napajua sana pale... Mafarasa asiyevaa suruali wala viatu... Alikuwa na pikipiki yake ile bata V...kaka mshana nadhani nami ni mhanga wa mama mdigo....mimi nilikuwa nakaa oppoite na mzee mafarasi pale jirani na kwa wauza pombe chafu za mnazi
ahaaaa sawa kabisa mzee wa kichagga yuleMmh aisee pale napajua sana pale... Mafarasa asiyevaa suruali wala viatu... Alikuwa na pikipiki yake ile bata V...
Miaka hii wamejiongeza. Wanapikia maji yaliyooshea maiti
Hayo maji yanauzwa na wale wahudumu wa mortuary.
Kujiongeza hata maiti zingine zanyofolewa baadhi ya viungo na wanasema ni bonge la dili.
mshana jr unasemaje hapo my Valentine?
loading.... Yale maji ni dili hasa na yana matumizi mengi sanadaaaaaaaah umetishaHuwa Najiuliza sana je hata hizo chai za vibandani tunafanyiwa haya? View attachment 693279imagine ndio kaambiwa na mganga wake afanye hivi.. Je atakataa?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()