Kumbe huwa tunapishana paleInatisha.
Hivi wale wa mihogo ya coco beach hawana hizo mambo, maana mie nina membership card pale.
Eti mshana![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mshana Jr, kwa picha ile jinsi kikombe cha chai kinavyoandaliwa, umeniharibia siku yangu kabisaa. Sisogei tena kwenye banda la mama ntilie teeena

Duuu hii ya muuza samaki inaitwa funika bovu
Picha imesema mchepuko, ila hata mkeo anaweza kukufanyiaMshana Jr, kwa picha ile jinsi kikombe cha chai kinavyoandaliwa, umeniharibia siku yangu kabisaa. Sisogei tena kwenye banda la mama ntilie teeena
Atakula talaka 3 hapohapo.Picha imesema mchepuko, ila hata mkeo anaweza kukufanyia
Ngoja nitafute comment ya swali hili nijue jibu lake![]()
![]()
hulali? Au home alone?
Mwenzangu na hivi hatujuani humuKumbe huwa tunapishana pale
HahahahahaKumbe ndo maana chai zingine unakunywa unashangaa tu unadindisha
Mshana Jr, kwa picha ile jinsi kikombe cha chai kinavyoandaliwa, umeniharibia siku yangu kabisaa. Sisogei tena kwenye banda la mama ntilie teeena
Aisee we jamaa umenikumbusha Zebra kwa Mzee Mushi. Huyu mzee aliwahi kuwa mkwe wangu asiye rasmi kwa binti yake (jina kapuni)Hili eneo kwasasa sio maarufu kama miaka ile ya 80- 90... Hapa ilikuwa ndio kama kituo kidogo cha abiria wa mikoani... Wale wauza mikate wa stendi ya mkoa zamani walikuwa wanauzia pale kibo... Ilikuwa ni lazima mabus na hata magari makubwa yasimame kwa ajili ya kununua mikate
Upande wa pili wa kituo kwa juu kidogo kulikuwa na banda maarufu sana la mama ntilie... Akijulikana kama mama Mdigo... Huyu mama alikuwa hakai mbali na hapo... Alikuwa anakaa pale msikiti wa Kibo kwa bondeni kidogo
Wajihi wa huyu mama ulikuwa wa aina yake.. Mrefu mnene kiasi mweupee, kisha mashaulah akajaaliwa nyonga na mguu... Mama Mdigo kwenye banda lake alikuwa anasaidwa na mabinti zake wawili, Mishi na Ashura.. Hawa ilikuwa ni C&P toka kwa mama yao kuhusiana na swala zima la wajihi na maumbile (shape) kiuno nyonga ya nyigu nakazalika mbili... Alikuwepo pia binti mwingine wa kazi.. Binti wa kizaramo
Banda la mama Mdigo lilikuwa linafurika kuanzia asubuhi kwenye kifungua kinywa mpaka mchana lunch time.. Jioni alikuwa hapiki.. Madereva wa mikoani walikuwa wanapaki ili wale kwa mama Mdigo kabla ya kuendelea na safari... Watu walipasifia na kupapenda sana kwa mama Mdigo kutokana na chakula chake kitamu halafu bei poa
Menu yake ilikuwa wali wa nazi, samaki sangara au nyama vilivyoungwa na nazi pia.. Mboga ya majani na maharagwe ya nazi.. Yalikuwa matamu mno... Utamu mpaka utosini... Ladha mpaka kwenye kope...!!! Ugali wa kukoboa, usafi wa vyombo na banda bila kusahau uchangamfu wa mama na mabinti zake... Menu yote hiyo ilikuwa shilingi za kitanzania 300 ugali na 350 wali na mboga yoyote kati ya nyama ama samaki... Maharagwe ilikuwa ni must iwe umekula ubwabwa au iwe umekula ugali
Nikiwa naishi geto mtaa wa Rombo kama unaenda bondeni kwa Doctor Mgaya enzi hizo... Nikajikuta nakuwa mteja mkubwa wa chakula cha mama Mdigo... Nilikuwa mteja mzuri kiasi kwamba ilifika mahali nikawa nalipa kwa wiki.... Na ikafika mahali hata weekend nikienda kuwatembelea ndugu labda niende baada ya lunch lakini nikienda kabla ukikaribia muda wa chakula nitatoa visingizio nisile ili nikale kwa mama Mdigo
Baada ya mwaka nilihamia Mtoni kwa Aziz Ally karibu na uwanja wa Sifa... Lakini huwezi kuamini ilikuwa siwezi kumaliza wiki lazima nitoke Mtoni kwa Aziz Ally mpaka Ubungo kibo kisa tu kufuata chakula cha mama Mdigo... Yani kile chakula kilikuwa na mvuto wa ajabu.. Cha kushangaza tu ni kwamba kilikuwa hakinenepeshi
Miaka ile ya 93/94 ndio tulianza kuwa na vituo vya luninga, wakati huo vikiwa ni DTV na CTN... na wamiliki wa tv walikuwa wachache mno.... Ni kipindi hicho pia ishu za kutolewa uchawi na chumaulete zilikuwa maarufu sana
Jioni moja tukiwa tumekusanyika bar moja inaitwa Zebra kwa mzee Mushi tunaangalia luninga... Bar yake pekee maeneo hayo ndio ilikuwa na tv.. Mara kupitia DTV habari namuona mama Mdigo eti katolewa uchawi.. Na ya kwamba alikuwa kazindika madawa ya mvuto kwenye banda lake (matunguli yakaoneshwa) halafu alikuwa anatumia mkono wa binadamu kama mwiko wake (tukaoneshwa mwiko wa kawaida) kubwa kuliko yote ni eti maharagwe aliyokuwa anatulisha hayakuwa maharagwe halisi bali mavi ya mbuzi... Mama Mdigo alikuwa na mbuzi wengi sana pale kibo nyumbani kwake
Huu ulikuwa ndio mwisho wa mama Mdigo na mabinti zake wawili.... Miezi michache baadae pale kwenye banda lake palivunjwa kupisha upanuzi wa barabara
Baada ya tukio lile nikaamua rasmi sasa nianze kuwachunguza mama ntilie.... Nikagundua wanasingiziwa mengi Lakini pia mengi yapo yenye ukweli
1. Wengi hawana elimu hivyo kwao suala la mvuto kibiashara sio usafi na huduma bora bali ni kutafuta mvuto kwa waganga wa kienyeji
2. Wengi hawajiamini hivyo kutafuta kinga kwa waganga ili biashara itoke lakini pia wasirogwe na wenzao
3. Wengi huogopa chuma ulete na kukopwa.. Hivyo hutumia tiba mbadala kujikinga na hizo hali
4. Wengi hupenda kupika kidogo lakini auze sana na faida iwe hata mara tatu.. Kumbukeni wali au ugali wa hamira.. Sasa hii ni cha mtoto
Wanafanyaje sasa
-kwenye mvuto ndio kama hivyo kupikia maji liyoogea
-kuweka vipande vya nyama sehemu za siri kwa muda kisha kuchanganya na vingine wakati wa kupika
-kuchanganya mboga na vitu kama mavi ya mbuzi nk
-kupikia wateja nyama tofauti na ya ng'ombe mbuzi kuku nk
Kwenye kinga
Kutumia viungo vya binadamu kupikia
Kuchanganya chakula na kitu kama yai viza nk
Kuchanganya kwenye chakula madawa yasiyoeleweka yametengezwa na nini nknk
Utagunduaje kama huyu mama ntilie sie
Unaona kabisa chakula chake ni cha kawaida kabisa lakini kinagombewa
Unaona kabisa banda lake halina hadhi na huduma za usafi haziridhishi Lakini utakuta watu wamepiga foleni
Utakuja hata siku moja sio yeye, familia yake au watu wake wa karibu wanakula hicho chakula... Wapishi wa chapati na vitumbua wana hizi sana
Mama ntilie asiyethubutu kula chakula chake hata ukimpa ofa jitenge naye ila yule anayejumuika kula na hata na wafanyakazi wake huyo si mbaya
Mpaka leo hii sijui ukweli kuhusu mama Mdigo na chakula chake ila tu kilikuwa na jambo la ziada.. Ni lipi? siwezi jua......
Mnhhhhh mkuu mm nilikuwa naishi Vngngti Sheli na shughuli zangu n hukohuko vngngt ila ikifika muda wa kula mchana lazima nipande daladala nikale pale bugurun stend ya muhimbil na mbez.nilikuwa nafurahia ugali dona samaki.nilijaribu kujizuia kutokwenda ila nilishindwa kabisa.japo sikuwa naona mazingira yao ya jikon.Hili eneo kwasasa sio maarufu kama miaka ile ya 80- 90... Hapa ilikuwa ndio kama kituo kidogo cha abiria wa mikoani... Wale wauza mikate wa stendi ya mkoa zamani walikuwa wanauzia pale kibo... Ilikuwa ni lazima mabus na hata magari makubwa yasimame kwa ajili ya kununua mikate
Upande wa pili wa kituo kwa juu kidogo kulikuwa na banda maarufu sana la mama ntilie... Akijulikana kama mama Mdigo... Huyu mama alikuwa hakai mbali na hapo... Alikuwa anakaa pale msikiti wa Kibo kwa bondeni kidogo
Wajihi wa huyu mama ulikuwa wa aina yake.. Mrefu mnene kiasi mweupee, kisha mashaulah akajaaliwa nyonga na mguu... Mama Mdigo kwenye banda lake alikuwa anasaidwa na mabinti zake wawili, Mishi na Ashura.. Hawa ilikuwa ni C&P toka kwa mama yao kuhusiana na swala zima la wajihi na maumbile (shape) kiuno nyonga ya nyigu nakazalika mbili... Alikuwepo pia binti mwingine wa kazi.. Binti wa kizaramo
Banda la mama Mdigo lilikuwa linafurika kuanzia asubuhi kwenye kifungua kinywa mpaka mchana lunch time.. Jioni alikuwa hapiki.. Madereva wa mikoani walikuwa wanapaki ili wale kwa mama Mdigo kabla ya kuendelea na safari... Watu walipasifia na kupapenda sana kwa mama Mdigo kutokana na chakula chake kitamu halafu bei poa
Menu yake ilikuwa wali wa nazi, samaki sangara au nyama vilivyoungwa na nazi pia.. Mboga ya majani na maharagwe ya nazi.. Yalikuwa matamu mno... Utamu mpaka utosini... Ladha mpaka kwenye kope...!!! Ugali wa kukoboa, usafi wa vyombo na banda bila kusahau uchangamfu wa mama na mabinti zake... Menu yote hiyo ilikuwa shilingi za kitanzania 300 ugali na 350 wali na mboga yoyote kati ya nyama ama samaki... Maharagwe ilikuwa ni must iwe umekula ubwabwa au iwe umekula ugali
Nikiwa naishi geto mtaa wa Rombo kama unaenda bondeni kwa Doctor Mgaya enzi hizo... Nikajikuta nakuwa mteja mkubwa wa chakula cha mama Mdigo... Nilikuwa mteja mzuri kiasi kwamba ilifika mahali nikawa nalipa kwa wiki.... Na ikafika mahali hata weekend nikienda kuwatembelea ndugu labda niende baada ya lunch lakini nikienda kabla ukikaribia muda wa chakula nitatoa visingizio nisile ili nikale kwa mama Mdigo
Baada ya mwaka nilihamia Mtoni kwa Aziz Ally karibu na uwanja wa Sifa... Lakini huwezi kuamini ilikuwa siwezi kumaliza wiki lazima nitoke Mtoni kwa Aziz Ally mpaka Ubungo kibo kisa tu kufuata chakula cha mama Mdigo... Yani kile chakula kilikuwa na mvuto wa ajabu.. Cha kushangaza tu ni kwamba kilikuwa hakinenepeshi
Miaka ile ya 93/94 ndio tulianza kuwa na vituo vya luninga, wakati huo vikiwa ni DTV na CTN... na wamiliki wa tv walikuwa wachache mno.... Ni kipindi hicho pia ishu za kutolewa uchawi na chumaulete zilikuwa maarufu sana
Jioni moja tukiwa tumekusanyika bar moja inaitwa Zebra kwa mzee Mushi tunaangalia luninga... Bar yake pekee maeneo hayo ndio ilikuwa na tv.. Mara kupitia DTV habari namuona mama Mdigo eti katolewa uchawi.. Na ya kwamba alikuwa kazindika madawa ya mvuto kwenye banda lake (matunguli yakaoneshwa) halafu alikuwa anatumia mkono wa binadamu kama mwiko wake (tukaoneshwa mwiko wa kawaida) kubwa kuliko yote ni eti maharagwe aliyokuwa anatulisha hayakuwa maharagwe halisi bali mavi ya mbuzi... Mama Mdigo alikuwa na mbuzi wengi sana pale kibo nyumbani kwake
Huu ulikuwa ndio mwisho wa mama Mdigo na mabinti zake wawili.... Miezi michache baadae pale kwenye banda lake palivunjwa kupisha upanuzi wa barabara
Baada ya tukio lile nikaamua rasmi sasa nianze kuwachunguza mama ntilie.... Nikagundua wanasingiziwa mengi Lakini pia mengi yapo yenye ukweli
1. Wengi hawana elimu hivyo kwao suala la mvuto kibiashara sio usafi na huduma bora bali ni kutafuta mvuto kwa waganga wa kienyeji
2. Wengi hawajiamini hivyo kutafuta kinga kwa waganga ili biashara itoke lakini pia wasirogwe na wenzao
3. Wengi huogopa chuma ulete na kukopwa.. Hivyo hutumia tiba mbadala kujikinga na hizo hali
4. Wengi hupenda kupika kidogo lakini auze sana na faida iwe hata mara tatu.. Kumbukeni wali au ugali wa hamira.. Sasa hii ni cha mtoto
Wanafanyaje sasa
-kwenye mvuto ndio kama hivyo kupikia maji liyoogea
-kuweka vipande vya nyama sehemu za siri kwa muda kisha kuchanganya na vingine wakati wa kupika
-kuchanganya mboga na vitu kama mavi ya mbuzi nk
-kupikia wateja nyama tofauti na ya ng'ombe mbuzi kuku nk
Kwenye kinga
Kutumia viungo vya binadamu kupikia
Kuchanganya chakula na kitu kama yai viza nk
Kuchanganya kwenye chakula madawa yasiyoeleweka yametengezwa na nini nknk
Utagunduaje kama huyu mama ntilie sie
Unaona kabisa chakula chake ni cha kawaida kabisa lakini kinagombewa
Unaona kabisa banda lake halina hadhi na huduma za usafi haziridhishi Lakini utakuta watu wamepiga foleni
Utakuja hata siku moja sio yeye, familia yake au watu wake wa karibu wanakula hicho chakula... Wapishi wa chapati na vitumbua wana hizi sana
Mama ntilie asiyethubutu kula chakula chake hata ukimpa ofa jitenge naye ila yule anayejumuika kula na hata na wafanyakazi wake huyo si mbaya
Mpaka leo hii sijui ukweli kuhusu mama Mdigo na chakula chake ila tu kilikuwa na jambo la ziada.. Ni lipi? siwezi jua......