Duuu hii ya muuza samaki inaitwa funika bovuKuna wengine ni ubora wa vitu vyao. Mfano kuna dada pale kituo cha mlimani citi kama unatokea mwenge yupo nje anauza chai asubui. Aisee zile chapati si sayari hizi nzuri sana mpka nilimuuliza anatumia nini.
Kuhusu ndumba kuna dada mmoja yupo kimara huyo hata mfanyakazi hana anafanya kazi zote mwenyewe SWALI LA KWANZA anawezaje kumudu kazi zote za mama ntilie peke yake.....yaani kuna watu wanaacha kula kwao ndani wanaagiza kwake.
Pia kuna muuza samaki yupo njia ya kwenda bonyokwa panaitea KWA MREMA ni maarufu sana anautwa MPONDA huyo jamaa akiwa feri anapigiwa simu za oda ya samaki.
Ujumaa hapiki...pesa anapokea na mkono wa kushoto...akirudi feri anakuta foleni kama ya uchaguzi mkuu eti watu wanasuburi samaki.....saa saba ashamaliza samaki wake wote ndo wauzaji wengine wanaanza sasa....
Kama umekula tuliaKuna yule jamaa anauza chapati Sinza kumekucha nawasiwasi nae sana. Haiwezekan chapati ziwe za kawaida vile alafu watu wajae namna ile
[emoji13] [emoji13] [emoji13]dunia ina mambo........leo umenivulugia siku kias maana nilikuwa natembea kutoka mbagala kizuian hadi rangi tatu kwenda kula kwa mama falha wakati mama ntilie zilikuwa kibao pale kizuian sokon nk.
Kumbe ndo maana chai zingine unakunywa unashangaa tu unadindishaHuwa Najiuliza sana je hata hizo chai za vibandani tunafanyiwa haya? View attachment 693279imagine ndio kaambiwa na mganga wake afanye hivi.. Je atakataa? [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
Kuna tuhuma za kutumia maji ya mochwari lakini sijawahi kuthibitisha hiliHapo lazima mnachanganyiwa mavitu ya ajabu sana.
Ukute Maji anayopikia anachanganya na aliyofulia chupi au aliyotawazia.
Kama vipi jenga urafiki na mfanyakazi wake mmoja atakupa siri zote.
Kuna siku Mzee mmoja alienda pale kununua samaki kumbe anamambo yake... Jamaa akamfokea sana akamrudishia pesa yake na samaki kampa.Duuu hii ya muuza samaki inaitwa funika bovu
Hii chai itakua tamu balaa......Huwa Najiuliza sana je hata hizo chai za vibandani tunafanyiwa haya? View attachment 693279imagine ndio kaambiwa na mganga wake afanye hivi.. Je atakataa? [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
True story ya kutungaMshana hii ni adith' ya kutunga ama ni true story?
Mkuu. Huyo mpemba wa Gomz bado yupo? Demu wangu anaitwa Aisha alikuwa anatoka chuo CBE anakuja kula apo. Duh *****Kwa Mpemba Gongolamboto ni balaaa
mshana jr we kiboko ujue sisi watu wa kaskazini tukisoma tunacheka sana maana tumezoea michemsho tuUtamu mpaka utosini... Ladha mpaka kwenye kope...!!! Ugali wa kukoboa
........Mkuu na pale Kinondoni American Chips nako vipi?Kila kitu kina pande mbili na kila upande una nguvu zake
We jamaa asee kweli nami nipo huku kimara uyo jamaa namfahamu asee na mimi alisha nipangisha foleni aseeKuna wengine ni ubora wa vitu vyao. Mfano kuna dada pale kituo cha mlimani citi kama unatokea mwenge yupo nje anauza chai asubui. Aisee zile chapati si sayari hizi nzuri sana mpka nilimuuliza anatumia nini.
Kuhusu ndumba kuna dada mmoja yupo kimara huyo hata mfanyakazi hana anafanya kazi zote mwenyewe SWALI LA KWANZA anawezaje kumudu kazi zote za mama ntilie peke yake.....yaani kuna watu wanaacha kula kwao ndani wanaagiza kwake.
Pia kuna muuza samaki yupo njia ya kwenda bonyokwa panaitea KWA MREMA ni maarufu sana anautwa MPONDA huyo jamaa akiwa feri anapigiwa simu za oda ya samaki.
Ujumaa hapiki...pesa anapokea na mkono wa kushoto...akirudi feri anakuta foleni kama ya uchaguzi mkuu eti watu wanasuburi samaki.....saa saba ashamaliza samaki wake wote ndo wauzaji wengine wanaanza sasa....
Pale napo kuna mambo asee usije kuta tunalishwa mavi ya ng'ombe yaliyo kauka si tunaona Muogo... Mwenye jicho la tatu akatuangalizie awe kama TFDA wetuInatisha.
Hivi wale wa mihogo ya coco beach hawana hizo mambo, maana mie nina membership card pale.
Eti mshana [emoji30] [emoji15] [emoji27] [emoji26] [emoji28] [emoji29] [emoji29]
Ƴanapopita maɓus ƴa mwendoƙasi yasio na matairNadhani ni Kongo sio Tanzania Kwa maelezo yako inaonyesha eneo hili lina fly over za asili