Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,738
- 11,644
Shukran!![]()
![]()
kuna watu akikuomba pesa ukampa anachukua nyingine kimazingara au akija kwenye biashara yako akikuomba chenji imekula kwako
Shukran!![]()
![]()
kuna watu akikuomba pesa ukampa anachukua nyingine kimazingara au akija kwenye biashara yako akikuomba chenji imekula kwako
Baada ya mwaka nilihamia Mtoni kwa Aziz Ally karibu na uwanja wa Sifa... Lakini huwezi kuamini ilikuwa siwezi kumaliza wiki lazima nitoke Mtoni kwa Aziz Ally mpaka Ubungo kibo kisa tu kufuata chakula cha mama Mdigo...
Hawa ilikuwa ni C&P toka kwa mama yao kuhusiana na swala zima la wajihi na maumbile (shape) kiuno nyonga ya nyigu nakazalika mbili...
Kuchanganya chakula na kitu kama yai viza nk
Wee uneweza kweli maana hiyo ovatar inaonyeshaHome alone mwenzio Nataka hata niwe mke mdogo wa prondo nimfanyie hayo mahanjamuuu ya kuchuja chai ktkt ya pichu
Mshana kaniogopesha. Naogopa kwenda kula Chakula pale mabanda ya Ccm Iringa.Du hatari! Tunakula vya kufisha
Duh!umenifurahishaShukran!
Wafanye vyote tu ila madamu kesi za matumbo na vifo hakuna na hazisikiki basi ni sawa, ila niwashukuru kwa huduma zao maana kwa ile buku anayoipata mtu huweza kupata mlo wa kutwa,
Cha muhimu wazidishe ubunifu wa hzo njia zao za kutushika wateja wao
Naomba uje na simulizi yake tafadhari, maana inaonesha umepitia mengi sana yaliyokukomaza mpaka umekuwa hivyo ulivyo sasa, utatusaidia kutufungua masikio sisi ambao hatujakutana nayoNdio kijiji nilichokulia kilikuwa funika bovu na palikuwa na njiapanda mbili zinakutana.. Hivyo kulikuwa na muunganiko wa njia sita kwa wakati mmoja... Mito miwili nayo ilikuwa inakutana hapo na madaraja mawili... Ni sehemu ya ajabu kwakweli... Sasa hapo mahali nikiamua kuandika kitabu sijui nitajaza kurasa ngapi
Hapana ni hapa hapa Tanzania[/QUOT
Lete simulizi mkuu, maana napenda nikiwa nasoma vitu kama hivi niwe nasisimkwa mwiliHapana ni hapa hapa Tanzania
Dah mkuu ni kweli n hayo mamboz yapo hapa kijiweni kuna mdada anauza kwelikweli ila muda wa kula yy anaend nunua soda n mkate ama anasong ugali wake ukut anakula kile anachotuzia si yy wala mabinti zake. Niliwai wauliza kwann awali nikajibiwa chakula ukipika kinakinaisha
Mshana mshana. Batu banakuona ujueHuwa Najiuliza sana je hata hizo chai za vibandani tunafanyiwa haya? View attachment 693279imagine ndio kaambiwa na mganga wake afanye hivi.. Je atakataa?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()