TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Mwali kwanza nikupe pole... Ila tu ukweli wa mambo ni kuwa katika Siasa jina lako linapoashiria wewe ni mtoto ama una Uhusiano na mkubwa fulani basi ni rahisi sana wewe kuwa mkubwa pia. Tumeona hata vile chama kuu pinzani cha CCM kinavofurahia watoto wa wakubwa hao wakijiunga...
Anafunguliwa headline kabisa... "Mtoto wa Fulani ajiunga", Kazi ipo kwa wale ambao wanataka vyeo na ni watoto wa nobody in the name of politics...
Thom malenga Lukuvi ni ndugu wa William Lukuvi.