kaka mkweli
Member
- Sep 24, 2012
- 62
- 28
Umeshusha vizuri uzi wako sasa hebu tueleze tufanye nini kuepukana na huo undugunisation maana kote upo
Good Observation Mwali..ila hayo majina yasikutishe, yamefanana tu hawana uhusiano kabisa na Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Salma Rashidi KIKWETE
Ridhiwani Jakaya KIKWETE
Hawa ni ndugu na Jakaya Kikwete (M/Kiti wa CCM taifa) au ni majina tuu?
samweli sittaTundu Lissu
Christina Lissu
Sema tu kukaa sana IKULU au kupitapita mle kunakufanya uwe mwanaSIASA na KIONGOZI mzuri sana! Akili zinaongezeka, unapendwa na watu, unachagulika au unapita bila kupingwa, unakuwa na vipaji hata ambavyo haukuzaliwa navyo!Good Observation Mwali..ila hayo majina yasikutishe, yamefanana tu hawana uhusiano kabisa na Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Huyo Salma Kikwete alikuwa na Mwalimu wa Shule fulani hivi ya msingi ila nasikia siku hizi ana NGO yake, pia angekuwa na uhusiano wowote na Mkuu ungemuona ona kwenye misafara yake katika siku za hivi karibuni.
Ridhiwani Kikwete hata mimi mara ya kwanza nilikuwa ninadhani ni mtoto wa rais mpaka ile siku alipokanusha kumiliki mali na hela nyingi na kudai yeye anaishi kimjini mjini yaani kimesheni town.
Hizo hasira sasa sijui utaenda chama gani Chadema nako utakutana Tundu Lissu, Christian Lissu, Philemon Ndesamburo, Owenya Ndesamburo, Mke mkubwa wa Dr Slaa, Rose Kamili Slaa.
Vipi hawa sio ndugu zako Josephat Manyerere, Vicent Nyerere, Leticia Nyerere.
Point is, hakurithishwa kama unavyotaka kutuaminisha. Kulikuwepo na wenyekiti wangapi tangu Mzee Mtei aachie uongozi?Nifuatilie wapi ebu tuambie kwa faida ya JF Mbowe aligombea na nani cheo cha uenyekiti wa taifa...usilete mapenzi kaka.
CCM NA cdm vyote vimeoza ... ni walewale hawana jipya!!
Sitaki kusikia siasa zao za kipuuzi tena!!
Hilo jina la Vicent Nyerere hatulijui na wala sio ndugu wa baba wa Taifa- B. W. MkapaVipi hawa sio ndugu zako Josephat Manyerere, Vicent Nyerere, Leticia Nyerere.