Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,269
- 4,570
Kwa huu ushauri wako walimu unawaweka kundi gani? Na huko vijijini kama hawajawekeza chochote wanakwenda kuishije?Nashauri watu wasiokuwa na ajira rasmi warudishwe mikoani, ili kupunguza msongamano wa watu