Eneo la Jiji la Dar es salaam haliwezi kuongezwa?

singojr

JF-Expert Member
Oct 28, 2014
5,308
6,884
Habarini wadau?

Jiji la Dar es salaam lina wilaya tano. Licha ya kuwa ndio jiji na mkoa wenye eneo dogo kuliko zote hata wilaya zake zina eneo dogo sana ukilinganisha na wilaya nyingine.

Jiji la Dar es salaam lina wakazi wengi kuliko mkoa mwingine wowote. Kwa sensa ya hivi karibuni watu takribani 6.5M.

Jiji hili kwa upande wa Magharibi limezungukwa na mpaka wa mkoa mmoja tu Mkoa wa Pwani.

Mkoa wa Pwani unaeneo kuwa ambalo halina wakazi. Na ukuwaji wake unaenda taratibu.

Kwanini serikali haifikirii kuongeza ukubwa wa eneo la jiji la Dar es salaam kwa kuchukua wilaya ya Bagamoyo na Kibaha kuzileta jijini?

Bajeti na mipango ya jiji huwa ni mikubwa? Kasi ya ukiwaji wa wilaya hizi mbili itakuwa kubwa sana kwani zitapangwa na kuwekwa kwenye mipango ya jiji?

Mlundikano wa watu jijini utapungua.

Jiji la pwani litakuwa na eneo dogo ambalo itakuwa rahisi kulisimamia na kupunguza mapori na matumizi mabaya ya ardhi.
 
Habarini wadau?
Jiji la Dar es salaam lina wilaya tano. Licha ya kuwa ndio jiji na mkoa wenye eneo dogo kuliko zote hata wilaya zake zina eneo dogo sana ukilinganisha na wilaya nyingine.
Jiji la Dar es salaam lina wakazi wengi kuliko mkoa mwingine wowote. Kwa sensa ya hivi karibuni watu takribani 6.5M.
Jiji hili kwa upande wa Magharibi limezungukwa na mpaka wa mkoa mmoja tu Mkoa wa Pwani.
Mkoa wa Pwani unaeneo kuwa ambalo halina wakazi. Na ukuwaji wake unaenda taratibu.
Kwanini serikali haifikirii kuongeza ukubwa wa eneo la jiji la Dar es salaam kwa kuchukua wilaya ya Bagamoyo na Kibaha kuzileta jijini?
Bajeti na mipango ya jiji huwa ni mikubwa? Kasi ya ukiwaji wa wilaya hizi mbili itakuwa kubwa sana kwani zitapangwa na kuwekwa kwenye mipango ya jiji?
Mlundikano wa watu jijini utapungua.
Jiji la pwani litakuwa na eneo dogo ambalo itakuwa rahisi kulisimamia na kupunguza mapori na matumizi mabaya ya ardhi.
Sawa nimepitisha hii hoja
 
Yaani sehemu ya eneo la Jiji la DSM wapewe DPw halafu mtake kumega tena eneo lingine la Tanganyika kufidia DPw? Akili gani hii?!😡😡😡
 
Yaani sehemu ya eneo la Jiji la DSM wapewe DPw halafu mtake kumega tena eneo lingine la Tanganyika kufidia DPw? Akili gani hii?!
Umeona neno DP world kwenye maelezo, hii nchi kuna watu wana uwezo mdogo sana wa kupambanua mambo
 
Habarini wadau?
Jiji la Dar es salaam lina wilaya tano. Licha ya kuwa ndio jiji na mkoa wenye eneo dogo kuliko zote hata wilaya zake zina eneo dogo sana ukilinganisha na wilaya nyingine.
Jiji la Dar es salaam lina wakazi wengi kuliko mkoa mwingine wowote. Kwa sensa ya hivi karibuni watu takribani 6.5M.
Jiji hili kwa upande wa Magharibi limezungukwa na mpaka wa mkoa mmoja tu Mkoa wa Pwani.
Mkoa wa Pwani unaeneo kuwa ambalo halina wakazi. Na ukuwaji wake unaenda taratibu.
Kwanini serikali haifikirii kuongeza ukubwa wa eneo la jiji la Dar es salaam kwa kuchukua wilaya ya Bagamoyo na Kibaha kuzileta jijini?
Bajeti na mipango ya jiji huwa ni mikubwa? Kasi ya ukiwaji wa wilaya hizi mbili itakuwa kubwa sana kwani zitapangwa na kuwekwa kwenye mipango ya jiji?
Mlundikano wa watu jijini utapungua.
Jiji la pwani litakuwa na eneo dogo ambalo itakuwa rahisi kulisimamia na kupunguza mapori na matumizi mabaya ya ardhi.
Dar es Salaam inatakiwa kuungana na Kibaha kuwa jiji moja. hiyo muda si mrefu itakuja automatically.
 
Habarini wadau?
Jiji la Dar es salaam lina wilaya tano. Licha ya kuwa ndio jiji na mkoa wenye eneo dogo kuliko zote hata wilaya zake zina eneo dogo sana ukilinganisha na wilaya nyingine.
Jiji la Dar es salaam lina wakazi wengi kuliko mkoa mwingine wowote. Kwa sensa ya hivi karibuni watu takribani 6.5M.
Jiji hili kwa upande wa Magharibi limezungukwa na mpaka wa mkoa mmoja tu Mkoa wa Pwani.
Mkoa wa Pwani unaeneo kuwa ambalo halina wakazi. Na ukuwaji wake unaenda taratibu.
Kwanini serikali haifikirii kuongeza ukubwa wa eneo la jiji la Dar es salaam kwa kuchukua wilaya ya Bagamoyo na Kibaha kuzileta jijini?
Bajeti na mipango ya jiji huwa ni mikubwa? Kasi ya ukiwaji wa wilaya hizi mbili itakuwa kubwa sana kwani zitapangwa na kuwekwa kwenye mipango ya jiji?
Mlundikano wa watu jijini utapungua.
Jiji la pwani litakuwa na eneo dogo ambalo itakuwa rahisi kulisimamia na kupunguza mapori na matumizi mabaya ya ardhi.
Si tumeshawapa Zingiziwa, wazaramo wakijibu mtasema wanaongea sana
 
Umeona neno DP world kwenye maelezo, hii nchi kuna watu wana uwezo mdogo sana wa kupambanua mambo
Unatambua kuwa DPw watamega eneo lote la Bandari ya DSM. Kwa hiyo hao wakimega Bandari nyie mnaenda kumega sehemu ya Mkoa wa Pwani?! To compesate?
Wewe ndo una akili ndogo. Hujui hata unachoandika. Wengine tunaangalia logical flow ya kilichoandikwa.
 
Back
Top Bottom