CHADEMA yashindwa vibaya Arusha

CHADEMA yashindwa vibaya Arusha

Una jini mahaba wewe...?????



Wana jf hebu tuone aibu kidogo na tuwaulize hawa wenzetu hiyo people's power yao iko wapi ikiwa hata kutoka tu ndani kwenda kituoni kupiga kura wameogopa kati ya wapiga kura 60,000 wanajitokeza 6,000 tu si kituko hiki sasa hao sisiem zaidi ya 20,000 wangejitokeza si ingekuwa gharika. Haya mambo ya peole's power za kishabiki hazitapeleka cdm ikulu kama
wanavyojinasibu hebu tuwape udhauri
 
Mimi na ndugu zangu wote CCM, lakini kitendo cha kupiga bomu pale soweto , wote tulikubaliana tukaiadhibu CCM kwa kuipa kura CDM


Mbona hilo bomu lajulikana CDM wao wenyewe ndio wamelilipua ili kupata huruma ya wananchi na kujitafutia umaarufu mkuu
 
Wana jf hebu tuone aibu kidogo na tuwaulize hawa wenzetu hiyo people's power yao iko wapi ikiwa hata kutoka tu ndani kwenda kituoni kupiga kura wameogopa kati ya wapiga kura 60,000 wanajitokeza 6,000 tu si kituko hiki sasa hao sisiem zaidi ya 20,000 wangejitokeza si ingekuwa gharika. Haya mambo ya peole's power za kishabiki hazitapeleka cdm ikulu kama
wanavyojinasibu hebu tuwape udhauri

Kuna factor moja ambayo inaweza kuwa sababu kubwa na ya msingi ya kwa nini turn out ya watu ilikuwa ndogo.

Tume ya taifa ya Uchaguzi ilichukua jukumu la kuhakikisha watu wanahabarishwa siku ya kwenda kupiga kura. Ukumbuke kuwa vyama vyama vya siasa vilizuiwa kufanya kampeni wala kufanya mikutano.
Katika hali ya kawaida, vyama hufanya kazi ya kufanya mikutano yao ya mwisho kufungu kampeni. Lakini kutokana na tukio la bomu na vurugu za polisi kupiga raia, tume ilikataza kampeni, badala yake waliahidi kuwatangazia wananchi kwa gari ya kipaza sauti.
Tume hawakutangaza mkutano kama ilivyoahidi.

Factor ya Pili inaweza kuwa vitisho vya polisi na green guard, kitendo cha kamata kamata ya vijana nayo inaweza kuwa tatizo japo siyo sana, kwa kuwa vijana wa Arusha siyo waoga.
Inasemekana ccm ilinunua kadi nyingi sana za wapiga kura, lengo likiwa ni kupunguza kura za vijana, huku wakijiaminisha kuwa akina mama wa arusha ni mtaji wao.
Mbaya kwa ccm, ni kwamba katika uchaguzi wa jana, kati ya watu waliopiga kura, wamama walikuwa 70%.
Akina mama ambao wamekuwa mtaji wa ccm kwa miaka yote ndiyo walioihukumu CCM.
 
kutokujiandikisha kuoiga kura ni upumbavu,kujiandikisha alafu usipige kura ni upumvavu zaidi.viongozi wabovu huchaguliwa na watu wasiopiga kura.JK nyerere.

siyo kwamba hayo siyajui
 
Wana jf hebu tuone aibu kidogo na tuwaulize hawa wenzetu hiyo people's power yao iko wapi ikiwa hata kutoka tu ndani kwenda kituoni kupiga kura wameogopa kati ya wapiga kura 60,000 wanajitokeza 6,000 tu si kituko hiki sasa hao sisiem zaidi ya 20,000 wangejitokeza si ingekuwa gharika. Haya mambo ya people's power za kishabiki hazitapeleka cdm ikulu kama
wanavyojinasibu hebu tuwape ushauri

Salaaleh! Mkuu wewe hapo hujaiona people's power? Kufuatana na urguement zako inashahidia kuwa wapiga kura WOTE wa Arusha ni CHADEMA. Je wangejitokeza wote ingekuwaje? Kwa nini wa CCM hawakutoka kukishindisha CHAMA?
 
mlizoea kuapata posho! kwa hili sasa imekula kwenu,unakuja na kamada ka kujipendekeza hapa...toa ugolo wako hapa
 
Wana jf hebu tuone aibu kidogo na tuwaulize hawa wenzetu hiyo people's power yao iko wapi ikiwa hata kutoka tu ndani kwenda kituoni kupiga kura wameogopa kati ya wapiga kura 60,000 wanajitokeza 6,000 tu si kituko hiki sasa hao sisiem zaidi ya 20,000 wangejitokeza si ingekuwa gharika. Haya mambo ya people's power za kishabiki hazitapeleka cdm ikulu kama
wanavyojinasibu hebu tuwape ushauri

Watanzania 3,000,000 kati ya 44,000,000 pamoja na wizi wa kura vimemuweka mkulu pale Ikulu 2010
 
Kuna factor moja ambayo inaweza kuwa sababu kubwa na ya msingi ya kwa nini turn out ya watu ilikuwa ndogo.

Tume ya taifa ya Uchaguzi ilichukua jukumu la kuhakikisha watu wanahabarishwa siku ya kwenda kupiga kura. Ukumbuke kuwa vyama vyama vya siasa vilizuiwa kufanya kampeni wala kufanya mikutano.
Katika hali ya kawaida, vyama hufanya kazi ya kufanya mikutano yao ya mwisho kufungu kampeni. Lakini kutokana na tukio la bomu na vurugu za polisi kupiga raia, tume ilikataza kampeni, badala yake waliahidi kuwatangazia wananchi kwa gari ya kipaza sauti.
Tume hawakutangaza mkutano kama ilivyoahidi.

Factor ya Pili inaweza kuwa vitisho vya polisi na green guard, kitendo cha kamata kamata ya vijana nayo inaweza kuwa tatizo japo siyo sana, kwa kuwa vijana wa Arusha siyo waoga.
Inasemekana ccm ilinunua kadi nyingi sana za wapiga kura, lengo likiwa ni kupunguza kura za vijana, huku wakijiaminisha kuwa akina mama wa arusha ni mtaji wao.
Mbaya kwa ccm, ni kwamba katika uchaguzi wa jana, kati ya watu waliopiga kura, wamama walikuwa 70%.
Akina mama ambao wamekuwa mtaji wa ccm kwa miaka yote ndiyo walioihukumu CCM.

Umenena vyema na wala mimi sina tatizo na hilo la wanaccm kuwaadhibu wakwao mimi tatizo langu ni hiyo people's power ambayo haina hata ujasiri wa kutoka ndani kukiwa kumetulia je kungekuwa kunarushwa mabomu kwa kwenda mbele ndio wangetoka? people's power gani ya watu waoga wa kirejareja namna hii? au people's power gani inayoweza kununuliwa? je ukiona hayo si dalili kwamba upepo wa nguvu ya mageuzi haujapamba moto? yani wasaa wa mabadiliko ni bado au kwa maneno mengine hali si mbaya kiasi cha kuiendea people's power? hiyo ni nguvu inayotumika pale mtu anapokuwa hana cha kupoteza sasa kama mtu kajificha ndani si anaona atapoteza kitu flani labla uhai wake, kiungo cha mwili au shughuli yake ya kipato. Jamani hatujafika huko bado na hali si mbaya kiasi hicho na upinzani ujipange upya na usiote kwenda ikulu katika mazingira haya kwa miaka kumi hadi kumi na tano ijayo.
 
Umenena vyema na wala mimi sina tatizo na hilo la wanaccm kuwaadhibu wakwao mimi tatizo langu ni hiyo people's power ambayo haina hata ujasiri wa kutoka ndani kukiwa kumetulia je kungekuwa kunarushwa mabomu kwa kwenda mbele ndio wangetoka? people's power gani ya watu waoga wa kirejareja namna hii? au people's power gani inayoweza kununuliwa? je ukiona hayo si dalili kwamba upepo wa nguvu ya mageuzi haujapamba moto? yani wasaa wa mabadiliko ni bado au kwa maneno mengine hali si mbaya kiasi cha kuiendea people's power? hiyo ni nguvu inayotumika pale mtu anapokuwa hana cha kupoteza sasa kama mtu kajificha ndani si anaona atapoteza kitu flani labla uhai wake, kiungo cha mwili au shughuli yake ya kipato. Jamani hatujafika huko bado na hali si mbaya kiasi hicho na upinzani ujipange upya na usiote kwenda ikulu katika mazingira haya kwa miaka kumi hadi kumi na tano ijayo.

Ishu siyo peoples power.............. ishu ni mkutano haujatangazwa.
Kama kichwa chako siyo kopo utakuwa umenielewa. Kwanza unatakiwa kuelewa kuwa watu wa Arusha siyo waoga.
 
Salaaleh! Mkuu wewe hapo hujaiona people's power? Kufuatana na urguement zako inashahidia kuwa wapiga kura WOTE wa Arusha ni CHADEMA. Je wangejitokeza wote ingekuwaje? Kwa nini wa CCM hawakutoka kukishindisha CHAMA?

Na ccm ni people's power? naongelea habari ya wazee wa people's power; na nimekadiria ccm kama elfu ishirini au hujasoma post? hao hawakuwa na presha wao sio people's power ninayo ihoji.
 
Ishu siyo peoples power.............. ishu ni mkutano haujatangazwa.
Kama kichwa chako siyo kopo utakuwa umenielewa. Kwanza unatakiwa kuelewa kuwa watu wa Arusha siyo waoga.
Aliyelala usimwamshe kwa hiyo people's power hawaelewi nini kinaendelea ndani ya nchi yao mpaka wabebewe bango? ni aibu sana
 
Mfa maji haish kutapata c ndo mlikuwa mnataka ili mpige mabomu watu wasiende kupga kura na hao wazee wenu waandano hawakwenda kupiga kura pamoja na kuwapa pesa watu wamegundua pesa wanapokea kwenye sanduku ni chadema kama kawa
 
Wana jf hebu tuone aibu kidogo na tuwaulize hawa wenzetu hiyo people's power yao iko wapi ikiwa hata kutoka tu ndani kwenda kituoni kupiga kura wameogopa kati ya wapiga kura 60,000 wanajitokeza 6,000 tu si kituko hiki sasa hao sisiem zaidi ya 20,000 wangejitokeza si ingekuwa gharika. Haya mambo ya people's power za kishabiki hazitapeleka cdm ikulu kama
wanavyojinasibu hebu tuwape ushauri

mwisho wa siku nani mshindi aliye tangazwa?
 
Hapana uzi huu unahoji people's power inayonunulika na ile ya kiwogawoga

KadizaChademaMbozi.jpg


Achani propaganda za kizamani zimepitwa na wakati karne.
 
Mbona haukuuliza uchaguzi wa rais 2010 kwani 34% tu ndo waliopiga kura na kura zjlizomuweka JK madarakani zilitoka humo humo.

Jamani nahoji mantiki ya people's power mbona watu wanabwabwaja tu humu hakuna anayejubu hoja?
 
Back
Top Bottom