CHADEMA yashindwa vibaya Arusha

CHADEMA yashindwa vibaya Arusha

Hao wote 6,000 walojitokeza walikuwa ni MaCCM wakuaminika wote lakini kutokana na Upuuzi wenu mkiongozwa na Mwigulu Nchemba wameamua kujivua GAMBA na kujiunga na CDM kwa njia ya Kura.
Mlizani njama zenu za kuondoa wapiga kura wafuasi wa CDM zitawasaidia?.

Mnajizika wenyewe! hata mgewaleta mabalozi wenu tu ndio wapige kura bado mgeshangaa kipigo chenu!.

Someni alama za nyakati mmebaki na wanachama wengi wa sare tu lakini wa kura ni wachache mno.
Ndio mana nahoji hao wa kwenu wako wapi manake hawakuonekana kabisa wakati wao ndio makamanda
 
...buku saba ruzuku limited,from lumumba inatangaza nafasi za kazi,sifa kuu unatakiwa kuwa mnafiki na mlamba miguu...
 
We utakuwa si mzima....
1. Aliyekuambia kuwa waliobaki majumbani bila kupiga kura ni wafuasi wa CCM PEKEE ni nani..?? Unaweza ukaweka ushahidi hapa..??
2. Kwa nini waliojitokeza kupiga kura hawakuwapigia CCM kura zote..???
3. Wale waliowapigia CUF unawaweka kwenye kundi lipi..???

Kuna wakati tuseme ukweli, sepetu (chepe) tuiite sepetu (chepe), na si tubadili jina na kuiita kijiko kikubwa...

Kama huelewi hoja bora unyamaze mimi nahoji walikoenda wazee wa people's power sio ccm wala cuf
 
utawajua kwa style zao za uandishi tu kuwa wametumwa.
Mtu ameshindwa kufanya hesabu ndogo tu
Kabla ya uchaguzi, CCM 20 Chadema 5 (20-5=15)
Baada ya uchaguzi, CCM 15 Chadema 11
(15 - 11= 4).
hiyo tofauti ya nne ndo inaqualify kusema CDM yashindwa vibaya?
Angalia vizuri mzee. Hata ingekua ni mfanyabishara angeshahisi biashara yake sasa ina mashaka. We umetumwa na aliekutuma anajua anakutumia bila wewe uliyetumwa kujua. pole ndo siasa za bongo lakini. Unaishia kuwa kama tambara la deki ambalo linakosa thamani baada ya kufanyia usafi.
Sorry lakini

Hizi ndio pumba kabisa wala hazihusiani na hoja yangu kama huna upeo si unyamaze tu
 
Wana jf hebu tuone aibu kidogo na tuwaulize hawa wenzetu hiyo people's power yao iko wapi ikiwa hata kutoka tu ndani kwenda kituoni kupiga kura wameogopa kati ya wapiga kura 60,000 wanajitokeza 6,000 tu si kituko hiki sasa hao sisiem zaidi ya 20,000 wangejitokeza si ingekuwa gharika. Haya mambo ya people's power za kishabiki hazitapeleka cdm ikulu kama
wanavyojinasibu hebu tuwape ushauri

umenikumbusha ccm hv JK alishindwa kwa kura ngapi vile kati ya waliojiandikisha!?
 
Mwisho wa woga ni ujasiri.Itafikia kipindi mabom yatakuwa kitu cha kawaida, waache waendelee kutukomaza.
 
umenikumbusha ccm hv JK alishindwa kwa kura ngapi vile kati ya waliojiandikisha!?

JK sio people's power naulizia walikopotelea makamanda labda kama unajibu hoja nyingine tofauti
 
Utategemea vipi watu wajitokeze kwa wingi katika mazingira ambapo maaskari wamejaa vituoni na silaha nzito kana kwamba tuko vitani?
 
naona leo CCm kimya, hakuna cha HAMMY-D wala nani. hiyo ndiyo CDM utaipenda... Subirini 2015.
 
Hiyo udhauri inapatikana wapi?
Naomba niwape ushauri wa bure CDM wanachokifanya sio vizuri hata kidogo,mim CCM ndiye niliyekuvisha nepi nikakuonyesha mjini,leo hii umeamua kunifanyia haya.Mungu atakulipa kwa kitendo ulichonifanyia,ungejua lini siasa wewe kama sio mimi,ungetoa wapi wagombea kama sio mimiCCM,uwe na hata haya wewe.Heshimu wakubwa zako hata kidogo basi
 
Utategemea vipi watu wajitokeze kwa wingi katika mazingira ambapo maaskari wamejaa vituoni na silaha nzito kana kwamba tuko vitani?

Sasa people's power maana yake nini au ni kupiga tu mlunzi
 
Wana jf hebu tuone aibu kidogo na tuwaulize hawa wenzetu hiyo people's power yao iko wapi ikiwa hata kutoka tu ndani kwenda kituoni kupiga kura wameogopa kati ya wapiga kura 60,000 wanajitokeza 6,000 tu si kituko hiki sasa hao sisiem zaidi ya 20,000 wangejitokeza si ingekuwa gharika. Haya mambo ya people's power za kishabiki hazitapeleka cdm ikulu kama
wanavyojinasibu hebu tuwape ushauri

Kweli wewe ni JF senior expert member wa ukweli!! hata ujishangai kuandika kitu kama hicho?
kwani hao Che-Che-Mea walikuwa hawautaki shindi! kwa nini hawakutoka?
duh some brains lack gray matter!
 
Kweli wewe ni JF senior expert member wa ukweli!! hata ujishangai kuandika kitu kama hicho?
kwani hao Che-Che-Mea walikuwa hawautaki shindi! kwa nini hawakutoka?
duh some brains lack gray matter!

Unaijua mantiki ya people's power au unabwabwaja tu? hao chechemea wanaitumia? if mine brain lacks grey matter definetely yours lacks white matter
 
Back
Top Bottom