CHADEMA yashindwa vibaya Arusha

CHADEMA yashindwa vibaya Arusha

Kwani 2010 katika kura za Urais Kikwete alipata kura ngapi kati ya zilizopigwa na ukilinganisha na Waliojiandikisha basi utaona hajapata zaidi ya asilimia 25 ya Waliojiandika. Wengine leteni hoja za maana wacheni U-Pinda
 
Wana jf hebu tuone aibu kidogo na tuwaulize hawa wenzetu hiyo people's power yao iko wapi ikiwa hata kutoka tu ndani kwenda kituoni kupiga kura wameogopa kati ya wapiga kura 60,000 wanajitokeza 6,000 tu si kituko hiki sasa hao sisiem zaidi ya 20,000 wangejitokeza si ingekuwa gharika. Haya mambo ya peole's power za kishabiki hazitapeleka cdm ikulu kama
wanavyojinasibu hebu tuwape udhauri
Wewe na hoja ya hamna mashiko, kajitafakari upya au ni saum?
 
Wana jf hebu tuone aibu kidogo na tuwaulize hawa wenzetu hiyo people's power yao iko wapi ikiwa hata kutoka tu ndani kwenda kituoni kupiga kura wameogopa kati ya wapiga kura 60,000 wanajitokeza 6,000 tu si kituko hiki sasa hao sisiem zaidi ya 20,000 wangejitokeza si ingekuwa gharika. Haya mambo ya peole's power za kishabiki hazitapeleka cdm ikulu kama
wanavyojinasibu hebu tuwape udhauri


Loading.................please wait...............
 
Wana jf hebu tuone aibu kidogo na tuwaulize hawa wenzetu hiyo people's power yao iko wapi ikiwa hata kutoka tu ndani kwenda kituoni kupiga kura wameogopa kati ya wapiga kura 60,000 wanajitokeza 6,000 tu si kituko hiki sasa hao sisiem zaidi ya 20,000 wangejitokeza si ingekuwa gharika. Haya mambo ya peole's power za kishabiki hazitapeleka cdm ikulu kama
wanavyojinasibu hebu tuwape udhauri
Hongera wewe maana umekuwa wakwanza kufufuka baada ya jana kuzirai! Wenzio bado wako dunia nyingine. Ndo maana umeamka na ndoto ambayo hata mwenzio Magimbi kabla hazazirahi aliiota na tukamjibu hivi:
Magimbi,
Hii ni tathmini yako ni ya haraka haraka na ya juu juu sana. Unaweza ukadhani kwamba watu hawakujitokeza eti kwa sababu ya hofu lakini baada ya utafiti ukaja kubaini kadi za kupigia kura ndizo zilinunuliwa kwa zaidi ya asilimia 60 ili kuwa na hakika ya ushindi kwa ccm! Na labda asilimia zingine 15 ya waliohisiwa kuwa wafuasi wa upinzania wametiwa kashkash ikiwemo kuswekwa ndani. Hii nadharia ikiwa na ukweli kwa kiasi chochote kile hutaona kwamba chochote kile ilichopata ccm ni kikubwa sana na haikukistahili? Hizi ndizo mbinu za genius mchumi wa dalaja la kwanza Mwigulu Nchemba!

Mods: Moderator na Paw uzi huu hauna tofauti na huu Ninachojifunza uchaguzi wa Arusha kwa faida ya walioshindwa
 
Last edited by a moderator:
Wana jf hebu tuone aibu kidogo na tuwaulize hawa wenzetu hiyo people's power yao iko wapi ikiwa hata kutoka tu ndani kwenda kituoni kupiga kura wameogopa kati ya wapiga kura 60,000 wanajitokeza 6,000 tu si kituko hiki sasa hao sisiem zaidi ya 20,000 wangejitokeza si ingekuwa gharika. Haya mambo ya peole's power za kishabiki hazitapeleka cdm ikulu kama
wanavyojinasibu hebu tuwape udhauri
Huo udhauri kaa nao
 
2015 watapiga wote na majina yaliyofutwa mpaka picha nyingine hazionekani, zitaonekana tu. Just wait and see
 

Vipi umesha maliza maelezo yako??? Mi napita tu ila nilikushangaa maneno yako. Kifupi ni kwamba ni CCM hao hao wamesababisha hao 54,000 wa Chadema wasijitokeze kisa bunduki bastola na mabomu ya CCM kupitia AmiriJeshi wa Green Guarrs Mwigulu Nchemba
this is very serious.
nafikiri vyama vya siasa havin makosa ila elimu ya uraia na utayari wa mtu binafsi ni tatizo. siku moja nilikuwa mahali pakatakiwa kitambulsho nikaulizwa cha mpiga kura nikasema sina ninacho cha kazini. mtu mmoja akaniuliza wewe kweli huna kitambulisho cha mpiga kura?? nikamjibu sijawah hata kusajiliwa kwenye daftari la mpiga kura. mm nikamuuliza wewe mwenzangu unacho huwa unapiga kura?? akanijibu hiki ni kwasababu ya utambulisho tu lakin si kwamba napigaga kura sijawah kupiga kura toka nikipate hiki kitambulisho. sasa imagine scenario kama hii je HAPA KUNA HAJA Ya KUMLAUMU MTU BAKI??
 
Matumizi ya mipira kwa mujibu wa wataalam ni mpira mmoja kwa mchezo mmoja tu, lakini kuna watu wanalazimisha kutumia mpira mmoja kwa michezo miwili au zaidi. Mwisho wake inachoka vibaya na hata ikitupwa jalala gani haiwezi kuokotwa hata na mbwa achilia mbali wanyama wengine ambao tunawaweka kundi la mahayawani.
 
Wana jf hebu tuone aibu kidogo na tuwaulize hawa wenzetu hiyo people's power yao iko wapi ikiwa hata kutoka tu ndani kwenda kituoni kupiga kura wameogopa kati ya wapiga kura 60,000 wanajitokeza 6,000 tu si kituko hiki sasa hao sisiem zaidi ya 20,000 wangejitokeza si ingekuwa gharika. Haya mambo ya peole's power za kishabiki hazitapeleka cdm ikulu kama
wanavyojinasibu hebu tuwape udhauri

Natafuta Mke wa kumuoa
 
Wana jf hebu tuone aibu kidogo na tuwaulize hawa wenzetu hiyo people's power yao iko wapi ikiwa hata kutoka tu ndani kwenda kituoni kupiga kura wameogopa kati ya wapiga kura 60,000 wanajitokeza 6,000 tu si kituko hiki sasa hao sisiem zaidi ya 20,000 wangejitokeza si ingekuwa gharika. Haya mambo ya peole's power za kishabiki hazitapeleka cdm ikulu kama
wanavyojinasibu hebu tuwape udhauri
mimi nakuridhisha kwa kukuambia kwamba, ccm wameshinda kata zote nne
 
Wana jf hebu tuone aibu kidogo na tuwaulize hawa wenzetu hiyo people's power yao iko wapi ikiwa hata kutoka tu ndani kwenda kituoni kupiga kura wameogopa kati ya wapiga kura 60,000 wanajitokeza 6,000 tu si kituko hiki sasa hao sisiem zaidi ya 20,000 wangejitokeza si ingekuwa gharika. Haya mambo ya peole's power za kishabiki hazitapeleka cdm ikulu kama
wanavyojinasibu hebu tuwape udhauri
Mbona haukuuliza uchaguzi wa rais 2010 kwani 34% tu ndo waliopiga kura na kura zjlizomuweka JK madarakani zilitoka humo humo.
 
Sijui ni kwa nini ama ni nini kipo.

Lakini elimu juu ya uhuru na haki ya kura miongoni mwetu ni tatizo. Tutizame uchaguzi mkuu ulipita mwaka 2010 wapliopiga kura walikuwa ni watu wachache sana ikilinganishwa na waliojiandikisha.

kwenye chagauzi ndogo hali inajirudia licha y kuwa na mahudhurio mazuri kwenye kampeni na usajili wa wapiga kura. Binafsi mimi ni miongni mwa watu ambao hawaendagi kupiga kura kabisa licha ya kwamba najua umuhimu na faida yake. swali amballo huwa sina jibu lake ni hivi ni kwann sipendi ama siendi kupiga kura?? na pia uwa najiulaiza kuna watu wangapi wenye tabia kama hii??

maswala mengiine nafikiri siyo ya vyama vya siasa ila ni ya mtu binafsi tu kwamba anapenda ama hapendi na ni uhuru wa mtu kupiga ama kutokupiga kura

kutokujiandikisha kuoiga kura ni upumbavu,kujiandikisha alafu usipige kura ni upumvavu zaidi.viongozi wabovu huchaguliwa na watu wasiopiga kura.JK nyerere.
 
Mkuu SalimKabora ulikuwa unataka kusemaje?:help:
 
Wana jf hebu tuone aibu kidogo na tuwaulize hawa wenzetu hiyo people's power yao iko wapi ikiwa hata kutoka tu ndani kwenda kituoni kupiga kura wameogopa kati ya wapiga kura 60,000 wanajitokeza 6,000 tu si kituko hiki sasa hao sisiem zaidi ya 20,000 wangejitokeza si ingekuwa gharika. Haya mambo ya peole's power za kishabiki hazitapeleka cdm ikulu kama
wanavyojinasibu hebu tuwape udhauri
Hao wote 6,000 walojitokeza walikuwa ni MaCCM wakuaminika wote lakini kutokana na Upuuzi wenu mkiongozwa na Mwigulu Nchemba wameamua kujivua GAMBA na kujiunga na CDM kwa njia ya Kura.
Mlizani njama zenu za kuondoa wapiga kura wafuasi wa CDM zitawasaidia?.

Mnajizika wenyewe! hata mgewaleta mabalozi wenu tu ndio wapige kura bado mgeshangaa kipigo chenu!.

Someni alama za nyakati mmebaki na wanachama wengi wa sare tu lakini wa kura ni wachache mno.
 
Last edited by a moderator:
Wana jf hebu tuone aibu kidogo na tuwaulize hawa wenzetu hiyo people's power yao iko wapi ikiwa hata kutoka tu ndani kwenda kituoni kupiga kura wameogopa kati ya wapiga kura 60,000 wanajitokeza 6,000 tu si kituko hiki sasa hao sisiem zaidi ya 20,000 wangejitokeza si ingekuwa gharika. Haya mambo ya peole's power za kishabiki hazitapeleka cdm ikulu kama
wanavyojinasibu hebu tuwape udhauri
We utakuwa si mzima....
1. Aliyekuambia kuwa waliobaki majumbani bila kupiga kura ni wafuasi wa CCM PEKEE ni nani..?? Unaweza ukaweka ushahidi hapa..??
2. Kwa nini waliojitokeza kupiga kura hawakuwapigia CCM kura zote..???
3. Wale waliowapigia CUF unawaweka kwenye kundi lipi..???

Kuna wakati tuseme ukweli, sepetu (chepe) tuiite sepetu (chepe), na si tubadili jina na kuiita kijiko kikubwa...
 
kutokujiandikisha kuoiga kura ni upumbavu,kujiandikisha alafu usipige kura ni upumvavu zaidi.viongozi wabovu huchaguliwa na watu wasiopiga kura.JK nyerere.
Dada yangu gfsonwin pole, haya uliyoambiwa ni makali kusoma lakini ni ukweli mtupu!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom