johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,965
- 141,968
Naona CHADEMA wamerudia ule utaratibu wao " mkongwe" wa kuchomeka watu wao kwenye Taasisi mbalimbali za kijamii
Nadhani sasa hata Vyuo Vikuu siasa itarejea kwa kasi.
Hongereni CCT kwa uchaguzi wa Haki na Amani.
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Nadhani sasa hata Vyuo Vikuu siasa itarejea kwa kasi.
Hongereni CCT kwa uchaguzi wa Haki na Amani.
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania