CHADEMA wanapanga kuturejesha kwa wakoloni

CHADEMA wanapanga kuturejesha kwa wakoloni

Vyote hivyo mali ya wananchi, tafuta uelewa punguza kujiweka kwenye akili za chuki za kipuuzi.

Tatizo kubwa la afrika kuendekeza habari za chuki na za kichochezi kuliko kutafuta mantiki haswa ya kitu fulani ni ipi.
Swali ni mwananchi anafaidikaje na hizo rasilimaqli?
Yote hayo yanafaidisha zaidi wageni na wazawa wachache mafisadi.
Mwananchi hana maji, umeme, huduma za afya hakuna.
Rushwa kila mahali,
Acha uchawa wa kipuuzi
 
Vyote hivyo mali ya wananchi, tafuta uelewa punguza kujiweka kwenye akili za chuki za kipuuzi.

Tatizo kubwa la afrika kuendekeza habari za chuki na za kichochezi kuliko kutafuta mantiki haswa ya kitu fulani ni ipi.
Aisee wewe wanakukula kweli umesahau magufuli alituambia Laiti watanzania tungejua kilichofanyika kwenye suala la gesi ya mtwara tungelia kweli
 
Tunafurahia sasa ipo siku tutaaambiwa kulala saa 7 mchana
 
Swali ni mwananchi anafaidikaje na hizo rasilimaqli?
Yote hayo yanafaidisha zaidi wageni na wazawa wachache mafisadi.
Mwananchi hana maji, umeme, huduma za afya hakuna.
Rushwa kila mahali,
Acha uchawa wa kipuuzi
Nadhani unakumbuka yule mpuuzi aliyemuuliza kwa sauti ya juu RIP Magufuli kuhusu chakula nyumbani kwake hayati akamjibu kihuni kwa kumwambia suala la chakula nyumbani kwake akamuulize mkewe.

Hakuna mtu anakuletea pesa nyumbani kwako unakwenda mwenyewe kuzitafuta.

Sio kweli kwamba hakuna maji wala umeme, umeme umetapakaa nchi nzima, wanaoufaidi ni wale wanaofanya shughuli za uzalishaji mali.

Ukifungua macho ya akilini mwako utakuwa mmoja wa wanaofaidika na rasilimali zilizopo.
 
Aisee wewe wanakukula kweli umesahau magufuli alituambia Laiti watanzania tungejua kilichofanyika kwenye suala la gesi ya mtwara tungelia kweli
Unaliwa wewe ambaye bado akili yako imenasa katika awamu ya JPM. Nyuma ya akili ile palikuwa na malengo binafsi ya kisiasa.

Kuna utajiri mkubwa wa gesi na madini hapa Tanzania. Hizi siasa chafu za maandamano zinafanywa na mawakala wa wazungu wenye kutaka kutuvuruga ili wapate mali zetu kiurahisi tu.

Siku DRC pakitulia utakuwa mwisho wa wazungu kutajirika, hao wazungu ni mbwa sana tunapoharibikiwa kwao ni furaha ya kuchota mali wanavyojisikia.
 
Nadhani unakumbuka yule mpuuzi aliyemuuliza kwa sauti ya juu RIP Magufuli kuhusu chakula nyumbani kwake hayati akamjibu kihuni kwa kumwambia suala la chakula nyumbani kwake akamuulize mkewe.

Hakuna mtu anakuletea pesa nyumbani kwako unakwenda mwenyewe kuzitafuta.

Sio kweli kwamba hakuna maji wala umeme, umeme umetapakaa nchi nzima, wanaoufaidi ni wale wanaofanya shughuli za uzalishaji mali.

Ukifungua macho ya akilini mwako utakuwa mmoja wa wanaofaidika na rasilimali zilizopo.
Nani mwenye kazi ya kufumbua macho raia?
Serikali ya Ccm inawafumba macho raia na kuwafumbua macho wageni.
Ccm ni kikundi haram ktk Nchi yetu Tanzania.
 
Unaliwa wewe ambaye bado akili yako imenasa katika awamu ya JPM. Nyuma ya akili ile palikuwa na malengo binafsi ya kisiasa.

Kuna utajiri mkubwa wa gesi na madini hapa Tanzania. Hizi siasa chafu za maandamano zinafanywa na mawakala wa wazungu wenye kutaka kutuvuruga ili wapate mali zetu kiurahisi tu.

Siku DRC pakitulia utakuwa mwisho wa wazungu kutajirika, hao wazungu ni mbwa sana tunapoharibikiwa kwao ni furaha ya kuchota imali wanavyojisikia.
Una nini chako Nchi hii km Mtanzania?
Nchi imepokwa na wazawa wachache wametuuza kwa wageni.
Ccm ni shida, hawana uzalendo
Nadhani unakumbuka yule mpuuzi aliyemuuliza kwa sauti ya juu RIP Magufuli kuhusu chakula nyumbani kwake hayati akamjibu kihuni kwa kumwambia suala la chakula nyumbani kwake akamuulize mkewe.

Hakuna mtu anakuletea pesa nyumbani kwako unakwenda mwenyewe kuzitafuta.

Sio kweli kwamba hakuna maji wala umeme, umeme umetapakaa nchi nzima, wanaoufaidi ni wale wanaofanya shughuli za uzalishaji mali.

Ukifungua macho ya akilini mwako utakuwa mmoja wa wanaofaidika na rasilimali zilizopo.
Ccm ni zaidi ya mkoloni.
 
Nadhani unakumbuka yule mpuuzi aliyemuuliza kwa sauti ya juu RIP Magufuli kuhusu chakula nyumbani kwake hayati akamjibu kihuni kwa kumwambia suala la chakula nyumbani kwake akamuulize mkewe.

Hakuna mtu anakuletea pesa nyumbani kwako unakwenda mwenyewe kuzitafuta.

Sio kweli kwamba hakuna maji wala umeme, umeme umetapakaa nchi nzima, wanaoufaidi ni wale wanaofanya shughuli za uzalishaji mali.

Ukifungua macho ya akilini mwako utakuwa mmoja wa wanaofaidika na rasilimali zilizopo.
Ccm imewagawa watanzania.
Wameuza uhuru wetu kwa wageni.
Tuungane tuwafurushe hawa ili tuitengeneze Nchi yetu
 
Ccm imewagawa watanzania.
Wameuza uhuru wetu kwa wageni.
Tuungane tuwafurushe hawa ili tuitengeneze Nchi yetu
Hakuna aliyeuza uhuru wako kwa mtu yoyote, tafuta taarifa za ndani na uelewa uwe mkubwa kiasi cha kutambua nini kinafanyika.
 
Una nini chako Nchi hii km Mtanzania?
Nchi imepokwa na wazawa wachache wametuuza kwa wageni.
Ccm ni shida, hawana uzalendo
Ccm ni zaidi ya mkoloni.
Fanya kazi ukizama kwenye hizi propaganda za media utakuwa unaamka asubuhi na kwenda kulala usiku ukiwa na hasira kibao kichwani mwako.
 
Nani mwenye kazi ya kufumbua macho raia?
Serikali ya Ccm inawafumba macho raia na kuwafumbua macho wageni.
Ccm ni kikundi haram ktk Nchi yetu Tanzania.
Wapo wengi wanaofaidika na uwepo wa hiyo hiyo CCM, wanapokusoma wanaishia kukuona mwanaharakati anayekaribia kuchanganyikiwa.
 
Ila mnavyokwenda kuweka bond inchi na rasilimali zake huko kwenye mataifa ya magharibi na mashariki hiyo sio kuturejesha ukoloni?🤔

Amakweli nyani huwa haoni bumper lake.
 
Unaliwa wewe ambaye bado akili yako imenasa katika awamu ya JPM. Nyuma ya akili ile palikuwa na malengo binafsi ya kisiasa.

Kuna utajiri mkubwa wa gesi na madini hapa Tanzania. Hizi siasa chafu za maandamano zinafanywa na mawakala wa wazungu wenye kutaka kutuvuruga ili wapate mali zetu kiurahisi tu.

Siku DRC pakitulia utakuwa mwisho wa wazungu kutajirika, hao wazungu ni mbwa sana tunapoharibikiwa kwao ni furaha ya kuchota mali wanavyojisikia.
Ndio maana nikakuambia wewe wanakukula ila unabisha....kikwete Mumeo alituambia mtwara itakuwa kama dubai kutokana na gesi haya mbona hakuifanya? Unakumbuka chanzo cha yale mauaji ya gesi?
 
Ndio maana nikakuambia wewe wanakukula ila unabisha....kikwete Mumeo alituambia mtwara itakuwa kama dubai kutokana na gesi haya mbona hakuifanya? Unakumbuka chanzo cha yale mauaji ya gesi?
Wewe ndio unayeliwa usiyeweza kutambua kuwa maendeleo siku zote ni mchakato.

Dubai ya miaka ile ya 70 na 80 unaweza kuifananisha na hii ya leo?.

Singapore ya miaka ya 80 unaweza kufananisha na hii ya leo?

Sera zinaweza kuwa nzuri sana lakini wananchi wanaojazwa habari hasi za propaganda na chuki hawawezi kuona kesho yenye maendeleo.

Wajinga wa aina yako wanapokuwa wengi kwenye nchi hakuna la maana lenye kuweza kufikiwa.
 
Wewe ndio unayeliwa usiyeweza kutambua kuwa maendeleo siku zote ni mchakato.

Dubai ya miaka ile ya 70 na 80 unaweza kuifananisha na hii ya leo?.

Singapore ya miaka ya 80 unaweza kufananisha na hii ya leo?

Sera zinaweza kuwa nzuri sana lakini wananchi wanaojazwa habari hasi za propaganda na chuki hawawezi kuona kesho yenye maendeleo.

Wajinga wa aina yako wanapokuwa wengi kwenye nchi hakuna la maana lenye kuweza kufikiwa.
Unakataa nini ninapokuambia wanakukula? Kwahiyo ni kipi kinaendelea kwasasa kwenye mradi wa gesi mpumbavu wewe?mzee mkuchika nawewe nani anaejua kuhusu mradi wa gesi mpaka adiriki kusema watu wa kusini somesheni watoto Angalia gesi yenu imeenda
 
Uzeni sera zenu na sio kejeli na matusi na kutegemea wazungu wawaweke madarakani.

Chadema ni debe tupu na mzigo mzito kwa Taifa.
0_0Z7rzeZzrNHEtuoJ.png
 
Back
Top Bottom