Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 9,410
- 6,003
Kauli ya Mkuchika ni ya mwanasiasa inatolewa kutegemea na wakati husika.Unakataa nini ninapokuambia wanakukula? Kwahiyo ni kipi kinaendelea kwasasa kwenye mradi wa gesi mpumbavu wewe?mzee mkuchika nawewe nani anaejua kuhusu mradi wa gesi mpaka adiriki kusema watu wa kusini somesheni watoto Angalia gesi yenu imeenda
Kuna utajiri mkubwa wa Liganga na Mchuchuma haijaguswa mpaka hivi leo, mikataba yake itaandikwa hivi karibuni Tanzania inakwenda kupata faida kubwa sana.
Kuna gesi nyingine huko huko kusini haijaguswa mpaka muda huu, kuna uranium ambayo mikataba imesainiwa kule Moscow.
Tafuta ufahamu sio kuishia kuona raha katika matumizi ya matusi.
Hakuna tusi jipya chini ya jua, yote ni marudio tu.