Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Thibitisha kuwa nina chuki na slaa na mbowe! hujui kitu wwWewe ni mtu mwenye chuki kubwa na Mbowe na Slaa.Achana na mambo ya CDM
Thibitisha kuwa nina chuki na slaa na mbowe! hujui kitu wwWewe ni mtu mwenye chuki kubwa na Mbowe na Slaa.Achana na mambo ya CDM
Ngoja waje Pro-Chadema JF kina Molemo, MKE GANI, Tumaini Makene.
Yaani kutoka kura 617 hadi kura 281 ndio kujitahidi?
Thibitisha kuwa nina chuki na slaana mbowe! hajui kitu ww
Hakuna kitu kibaya kama mtu kutosoma na kuelewa post yako...akakujibu kulingana na post zilizopitahaaaaaa! mkuu ulitumia maneno makali; afadhali mods wameyaondoa. Punguza jazba
Hakuna kitu kibaya kama mtu kutosoma na kuelewa post yako...akakujibu kulingana na post zilizopita
Jussa kapindisha kijanja sana hoja hii, yaani imetulia...inahitaji akili kugundua na kutafuta hoja ya kumpinga, from no where jitu linakuja na CD nyingine kabisa......then anakuwa amejibu hoja ya Jussa?????, watu kama hawa unawafanyaje?? is he a part of GT? au inambidi umpe kubwa abaki akifurahi mm kupigwa ban na yy kuonekana mjinga?? hivi vitoto ( ID date) huwa vinaboa, vinajifanya vinaipenda chadema weee , vingi vinafiki mno,
Hili jukwaa linapendeza na tumekua hivyo watu wakitofautiana mawazo, na kujua kujenga hoja is a measure of intelligence!! by the way anashindwa hata kusoma signature yangu AKANIELEWA! mtu aliyejiunga siku 40 zilizopita ananijuaje kama siyo TISS au walipigwa bani na wamebadili ID??
...Katika haya mahesabu na ubishani wenu kuhusu ushindi huu na blah blah nyingine, msisahau jambo moja la muhimu katika uchaguzi, nalo ni mgombea mwenyewe. Muulizeni Mhe. Shibuda na CCM watawaeleza inavyokuwa.kutokana na matokeo ya mwaka 2010 kura waliuzopata CCM 6,651 CHADEMA 617 CUF 524 kura walizopata kwenye uchaguzi mdogo CCM 5,377 CHADEMA 281 CUF 223 kutokana na data hizo hapo utagundua vyama vyote vimepata kura pungufu ukilinganisha na 2010 utaona wote wameanguka asilimia zifuatazo? sasa kupungua kwake CCM 19.2% CHADEMA 54.5% CUF 57.4% kwa hio utagundua kuwa CHADEMA na CUF wote wameanguka zaidi ya nusu ya kura walizopata mwaka 2010. ni kweli CHADEMA ukilinganisha na CUF wao slightly wako afadhali ukilinganisha na CUF lakini kwa kiwango hicho, na nguvu zilizotumika inaonekana chadema wakiri bado hawakubaliki
Sindano zingine jamani ni chungu; sema tu inabidi ustahimilivu, iwe ya kwinini au shubiri, ukishindwa kuhimili unaomba tu mtu akushikilie wakati bomba la dawa linasokomezwa!!!
Millioni saba si hela haba pia sasa kwa kujua kwa 100% wanashindwa na kwa kuzijua siasa za zanzibar kwa nini walisimamisha gombea? si wangeweza kumuunga mkono mume wao CCM kuliko kupoteza million 7 for nothing??Ukisikia spinning basi hii ndiyo yenyewe.
Jussa anasema hivi " CUF kwa kuzielewa siasa za Zanzibar hatukusumbuka kutumia fedha nyingi. Tumetumia milioni 7 tu wakati Chadema wamenambia wametumia milioni 60 (haidhuru mimi naamini wametumia zaidi kwa mambo tuliyoyaona kule)".
Labda Jussa angefafanua, CUF wanaelewa kitu gani hasa kuhusu siasa za Zanzibar? Anaamanisha nini anaposema 'kuelewa'? kugawana vyeo? Na kwa nini watumie milioni 7? za nini wakati wanaelewa siasa za Zanzibar? CUF kushindwa Igunga ilikuwa kigugumizi lakini watu walidhani ni kwa sababu CUF hawana 'time' na Tanganyika, sasa Zanzibar kwa nini CUF ishike nafasi ya3? tena CUF inayoelewa siasa za Zanzibar? Wanaelewa nini hawa wajomba?
Ni chama ambacho siasa imekishinda kwakuweka maslahi mbele
Na wewe Jussa ebu tumia akili kidogo,hauoni hata idadi ya wapiga kura imepungua?maana hata idadi ya kura kwa vyama vyote ilivyokua 2010 ni pungufu ya sasa!hacha fikra mgando!