CHADEMA wamesema hawatoshiriki katika uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo la Muhambwe

Wanaelekea pabaya sana, uchaguzi mkuu walifanya kwa kuchangisha bakuli, hali ikawa mbaya sana.

Uchaguzi wa Muhambwe huko Kigoma wamekosa kabisa pesa ya kuweka mgombea. Wanasingizia maneno mengine.

Tuwachangie kila mtu bila kujali itikadi zetu. Mfano watu mil 5 wakitoa bukubuku watapata kianzio kikubwa.

Ngoma nzito je,pesa zetu zitakuwa salama mikononi mwa mabwana hawa? Zitajaza matumbo ya watu wachache

Naona umeweka uzi wa kufungia siku tayari kwa malipo yako ya leo. Washauri wanaccm wenzako wachangie vile vyama vinavyoisujudia ccm. Cdm kama chama hakipo tayari kushiriki tena chaguzi za kishenzi chini ya tume hii ya wahuni.
 
Naona umeweka uzi wa kufungia siku tayari kwa malipo yako ya leo. Washauri wanaccm wenzako wachangie vile vyama vinavyoisujudia ccm. Cdm kama chama hakipo tayari kushiriki tena chaguzi za kishenzi chini ya tume hii ya wahuni.
Nafikiri ulipaswa kuchangia kwa busara. Chama chenu kipo hoi bin taaban. Kuna ubaya kuchangiwa ili kibaki kwenye game la kisiasa.
 
Mboe mwaka 2015 alia humu humu jF baada ya EL kwenda CDM na tulipo anza kukizonga, akasema tukiendelea na mtindo ule cdm ingekufa. Na nilimjibu tuliijenga kwa vidole humu jF na tutaibomoa kwa vidole humu humujF. Mwenye akili na elewe.
Nashindwa hata niandike nini kujibu ujumbe mzito sana uliobebwa na maneno machache sana kwenye post yako niliyoijibu.

Nashawishika kuamini kuwa wewe ni mmoja wa wanajukwaa waandamizi mlioamua kubadili utambulisho kutokana na aibu kuu iliyokikumba chama chetu pendwa 2015 kwa kile kilichobatizwa kubadili gia angani; you're not alone.

Hakuna kitu chenye thamani maishani kama kuweza kusimamia kile unachokiamini. Bila kuwa na wachache walioweza kusimamia wayaaminiyo, karne hii uktristo au uislam ingekuwa historia duniani ukizingatia nguvu kubwa aliyotumia shetani kupitia mawakala wake hapa duniani.
 
Nafikiri ulipaswa kuchangia kwa busara. Chama chenu kipo hoi bin taaban. Kuna ubaya kuchangiwa ili kibaki kwenye game la kisiasa.
Unahakika kill hoi ama ndivyo ulivyo aminishwa na waliokuwezesha kupata ugali wako wa siku.
 
Nashindwa hata niandike nini kujibu ujumbe mzito sana uliobebwa na maneno machache sana kwenye post yako niliyoijibu.

Nashawishika kuamini kuwa wewe ni mmoja wa wanajukwaa waandamizi mlioamua kubadili utambulisho kutokana na aibu kuu iliyokikumba chama chetu pendwa 2015 kwa kile kilichobatizwa kubadili gia angani; you're not alone.

Hakuna kitu chenye thamani maishani kama kuweza kusimamia kile unachokiamini. Bila kuwa na wachache walioweza kusimamia wayaaminiyo, karne hii uktristo au uislam ingekuwa historia duniani ukizingatia nguvu kubwa aliyotumia shetani kupitia mawakala wake hapa duniani.
Pamoja haya tuwachangie ndugu zetu hawa, japokuwa mashaka ni matumizi ya pesa.
 
Wanaelekea pabaya sana, uchaguzi mkuu walifanya kwa kuchangisha bakuli, hali ikawa mbaya sana.

Uchaguzi wa Muhambwe huko Kigoma wamekosa kabisa pesa ya kuweka mgombea. Wanasingizia maneno mengine.

Tuwachangie kila mtu bila kujali itikadi zetu. Mfano watu mil 5 wakitoa bukubuku watapata kianzio kikubwa.

Ngoma nzito je,pesa zetu zitakuwa salama mikononi mwa mabwana hawa? Zitajaza matumbo ya watu wachache
Kwel tumetofautiana ndo maan mwingine mfupi mwingine mrefu, tafakari!!
 
Wewe mtoa mada Ni MCHAWI,ninaposema wewe Ni MCHAWI namaanisaha,nimekuona kwenye ulimwengu wa Kiroho,nakuambia hivi wewe Ni MCHAWI.nakushauri tubu haraka Sana.Usipotubu ndani ya siku Saba Usije sema sikukuambia.
Mimi ninaekuambia haya namtumikia Bwana Mungu wa majeshi aliye hai,kupitia Yesu Kristo wa Nazareth Bwana na Mwokozi wetu.
 
Nafikiri ulipaswa kuchangia kwa busara. Chama chenu kipo hoi bin taaban. Kuna ubaya kuchangiwa ili kibaki kwenye game la kisiasa.

Hatuna muda wa kushiriki siasa za kishenzi zilizoasisiwa na yule dhalimu aliyeko motoni muda huu.
 
Wanafiki hatuwataki kwani wanamchango mkubwa kutuharibia taifa letu.

Kama Chadema hawabadili uongozi wa chama chao THEY ARE TOSSED! Upende usipende ukweli ni huo. Watu wanataka fikra mpya na ndio maana wengi wetu tulikuwa tunapinga mwendazake kuongezewa muda!!! Uongozi ni kupokezana ili fikra mpya zipate nafasi ya kushamiri.
 
Pamoja haya tuwachangie ndugu zetu hawa, japokuwa mashaka ni matumizi ya pesa.
Ninayo kadi ya chadema tangu 1998, na hiyo ndiyo kadi pekee ya chama cha siasa niliyonayo. Lakini baada ya uhuni wa 2015, siwezi kutoa hata sh 100 yangu kwa hawa wahuni.

Hawatabiriki.
 
Nadhani badala ya kuelekeza michango yenu kwa ajili ya CDM; changeni kwa bidii mkirudishe chama chenu kwa wakulima na wafanyakazi (jembe na nyundo)! Sukumagangs wamekipora chama!!
 
Nchi hii inahitaji chama imara kingine cha upinzani kwa faida ya kizazi hiki na kijacho. JPM aliturudisha CCM lakini kama viongozi mahiri kama Bashiru na nduguze watanangwa inabidi kufikiria mara ya pili. Ashutumiwe aliye ingiza CDM gulioni 2015 tulipoteza akili na maarifa yetu bure kabisa kuwapa mawazo.
Magufuli, Bashiru, Nyerere, na Mpango hawa mitazamo yao ilikuwa sawa, na hawa ndiyo watu ambao ninaona pasi shakha wangeweza kuishi ndani ya Azimio la Arusha kwa 100% lakini kama leo unampinga JPM naamini kabisa ndani ya Azimio la Arusha hawezi kuliishi.

Natoa mfano wale wanaopigiwa debe na watu fulani.

1. January Makamba
2. Benard Membe
3. Nape Moses
4. Jakaya Kikwete na wengineo wengi maana hapa kuna wengi kweli kweli... Ndani ya Azimio la Arusha hawawezi kuishi... ni watu fulani hivi wana mengi sana gizani
 
Hatuna muda wa kushiriki siasa za kishenzi zilizoasisiwa na yule dhalimu aliyeko motoni muda huu.
Mungu hapangiwi. Huyo umdhaniaye kuwa dhalimu aweza kuwa pazuri kuliko wewe na ukoo wenu wote mtakapowekwa baada ya kuiacha dunia hii.
 
Hatuna muda wa kushiriki siasa za kishenzi zilizoasisiwa na yule dhalimu aliyeko motoni muda huu.
Naona kama ni mtu ambae unachuki na hayati Magufuli. Acha chuki kana kwamba alikudhulumu mke. Any way ulikosea kuwekeza pesa ukidhania utashinda ubunge.
 
Back
Top Bottom