Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Kama mchezo wa karata vile. Nadra mchezo kukamilika kabla ya mizunguko kadhaa. Safari yao ni katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. mkakati wao wa kwanza ukawa kutokukubali ushindi wa JK, halafu kususia hotuba yake huku wakitoa wito wa madai yao. Yakasikika ndani na nje ya nchi, mijadala ikapamba moto.
Wameitwa majina, wamebezwa, wametengwa, na wamefitinishwa. Wakashindwa kuzima moto, na hatimaye ccm wakaona wakichelewa watashindwa kuja kusema wao ndio walioanzisha mjadala na mchakato. Ingawa walishakengeuka kupitia yule mama kilaza aliporopoka kwamba Tz haihitaji katiba mpya, wakaona bora wale matapishi yao mapema kweupe kupitia Waziri Mkuu. Hivyo guu lisijeota tende!
kwanini ni ushindi wa chadema hatua ya kwanza. huoni huo ni mtego? Kwamba rais atateua jopo ambalo litamshauri.
Wameitwa majina, wamebezwa, wametengwa, na wamefitinishwa. Wakashindwa kuzima moto, na hatimaye ccm wakaona wakichelewa watashindwa kuja kusema wao ndio walioanzisha mjadala na mchakato. Ingawa walishakengeuka kupitia yule mama kilaza aliporopoka kwamba Tz haihitaji katiba mpya, wakaona bora wale matapishi yao mapema kweupe kupitia Waziri Mkuu. Hivyo guu lisijeota tende!
kwanini ni ushindi wa chadema hatua ya kwanza. huoni huo ni mtego? Kwamba rais atateua jopo ambalo litamshauri.