Harakati za CHADEMA katika kudai Katiba Mpya na kupinga Uwekezaji katika Bandari ni kiini macho zimejaa ubinafsi na uchu wa madaraka

MIMI BABA YENU

JF-Expert Member
Mar 1, 2019
295
679
Suala Katiba mpya limekuwa agenda ya muda mrefu la lakini pamoja na umuhimu wake kwa taifa, kwa kiasi kikubwa limebebwa na Chadema pamoja na wanaharakati wanaokiunga mkono chama hicho cha kisiasa.

Kupata Katiba mpya ni jambo muhimu, lakini Chadema imesau kwamba, suala hilo siyo jambo dogo kama wanavyofikiria, na kwamba Katiba ni mali ya wananchi wote na siyo kipaumbele cha chama hicho kwa maslahi ya kuchukua mamlaka.

Chadema inataka mabadiliko ya Katiba kwa maslahi ya kukamata Dola, imeshindwa kuwaelimisha wananchi kuhusu hata hii Katiba ya sasa ambayo wanasema ina upungufu. Watanzania walio wengi hawajui hata vipengele ambavyo wanasiasa hao wanasema vina kasoro au vinahitaji kuboreshwa kwenye Katiba iliyopo, lakini Chadema wameruka vihunzi na kutaka Katiba mpya badala ya kuwaeleza kwa mapana vipengele vyote vya sasa.

Katiba mpya ni nzuri na muhimu, lakini inaweza isiwe suluhisho la kudumu kwa kuwa tumeshuhudia hata kwa jirani zetu hapo Kenya, ambao wanayo Katiba mpya, wanayo Tume Huru ya Uchaguzi, lakini bado wameendelea kupiga kelele kuhusu masuala mbalimbali ya kijamii na kisiasa.Malalamiko kuhusu uchaguzi usio huru yameendelea kuwepo, maandamano ya kupinga Serikali yanaendelea kila wakati, pengine wakidai maisha bora.Kwa maana hiyo, wakati mwingine siyo Katiba inayoleta changamoto, bali miongozo mizuri yenye kuleta maendeleo kwa wananchi kujikwamua kiuchumi ndiyo inayotakiwa.

Kuhusu uwekezaji katika bandari, Chadema pamoja na wanaharakati wengine wamekuwa wakizua mijadala mirefu ya kupinga uwekezaji huo, licha ya Serikali imekwishasema mara kadhaa malengo, nia na madhumuni ya kuingia makubaliano ya uwekezaji baina yake na Dubai kupitia kampuni ya DP World, kwamba inataka kuona ufanisi katika Bandari hiyo ambayo ni kitovu cha uchumi wa Taifa.

Kwamba, kwa hali ya sasa ufanisi ni mdogo licha ya jitihada zilizokuwa zimefanyika kabla.

Lakini pamoja na ufafanuzi unaotolewa mara nyingi, suala hilo limebebwa na Chadema kama agenda yao kubwa, na mbaya zaidi wanapotosha ili tu kuwavutia wananchi wawaunge mkono.

Ukiwauliza Chadema kuhusu sababu zao za kupinga uwekezaji huo nini wanashindwa kutoa majibu stahiki na hata vipengele wanavyovitaja kwamba vina kasoro tayari vimekwishafafanuliwa na Serikali kwa marefu na mapana, lakini hawataki kuukubali ukweli na wanaendelea kupotosha.

*Ukweli ni kwamba Chadema wanatamani sana kuona Rais Samia anashindwa katika vita hivi vya uwekezaji, lakini mioyoni mwao wanatamani pia kama haya anayoyafanya ndiyo wangekuwa wanayafanya wao, kwa sababu wanafahamu fika ufanisi katika Bandari ya Dar es Salaam ni ushindi wa kiuchumi kwa Taifa na ni sifa ya hali ya juu ambayo CCM itavunia kwa kusimamia suala hilo ambalo pia litaisaidia CCM kuendelea kukubalika zaidi na wanananchi na kuendelea kuwa imara kisiasa nchini.
 
Suala Katiba mpya limekuwa agenda ya muda mrefu la lakini pamoja na umuhimu wake kwa taifa, kwa kiasi kikubwa limebebwa na Chadema pamoja na wanaharakati wanaokiunga mkono chama hicho cha kisiasa.

Kupata Katiba mpya ni jambo muhimu, lakini Chadema imesau kwamba, suala hilo siyo jambo dogo kama wanavyofikiria, na kwamba Katiba ni mali ya wananchi wote na siyo kipaumbele cha chama hicho kwa maslahi ya kuchukua mamlaka.

Chadema inataka mabadiliko ya Katiba kwa maslahi ya kukamata Dola, imeshindwa kuwaelimisha wananchi kuhusu hata hii Katiba ya sasa ambayo wanasema ina upungufu. Watanzania walio wengi hawajui hata vipengele ambavyo wanasiasa hao wanasema vina kasoro au vinahitaji kuboreshwa kwenye Katiba iliyopo, lakini Chadema wameruka vihunzi na kutaka Katiba mpya badala ya kuwaeleza kwa mapana vipengele vyote vya sasa.

Katiba mpya ni nzuri na muhimu, lakini inaweza isiwe suluhisho la kudumu kwa kuwa tumeshuhudia hata kwa jirani zetu hapo Kenya, ambao wanayo Katiba mpya, wanayo Tume Huru ya Uchaguzi, lakini bado wameendelea kupiga kelele kuhusu masuala mbalimbali ya kijamii na kisiasa.Malalamiko kuhusu uchaguzi usio huru yameendelea kuwepo, maandamano ya kupinga Serikali yanaendelea kila wakati, pengine wakidai maisha bora.Kwa maana hiyo, wakati mwingine siyo Katiba inayoleta changamoto, bali miongozo mizuri yenye kuleta maendeleo kwa wananchi kujikwamua kiuchumi ndiyo inayotakiwa.

Kuhusu uwekezaji katika bandari, Chadema pamoja na wanaharakati wengine wamekuwa wakizua mijadala mirefu ya kupinga uwekezaji huo, licha ya
Serikali imekwishasema mara kadhaa malengo, nia na madhumuni ya kuingia makubaliano ya uwekezaji baina yake na Dubai kupitia kampuni ya DP World, kwamba inataka kuona ufanisi katika Bandari hiyo ambayo ni kitovu cha uchumi wa Taifa.
Kwamba, kwa hali ya sasa ufanisi ni mdogo licha ya jitihada zilizokuwa zimefanyika kabla.

Lakini pamoja na ufafanuzi unaotolewa mara nyingi, suala hilo limebebwa na Chadema kama agenda yao kubwa, na mbaya zaidi wanapotosha ili tu kuwavutia wananchi wawaunge mkono.
Ukiwauliza Chadema kuhusu sababu zao za kupinga uwekezaji huo nini wanashindwa kutoa majibu stahiki na hata vipengele wanavyovitaja kwamba vina kasoro tayari vimekwishafafanuliwa na Serikali kwa marefu na mapana, lakini hawataki kuukubali ukweli na wanaendelea kupotosha.

*Ukweli ni kwamba Chadema wanatamani sana kuona Rais Samia anashindwa katika vita hivi vya uwekezaji, lakini mioyoni mwao wanatamani pia kama haya anayoyafanya ndiyo wangekuwa wanayafanya wao, kwa sababu wanafahamu fika ufanisi katika Bandari ya Dar es Salaam ni ushindi wa kiuchumi kwa Taifa na ni sifa ya hali ya juu ambayo CCM itavunia kwa kusimamia suala hilo ambalo pia litaisaidia CCM kuendelea kukubalika zaidi na wanananchi na kuendelea kuwa imara kisiasa nchini.
Kijana Tafuta kazi ufanye, kuwa chawa bongo ni risk kubwa. Kama hutaki muulize Kabudi na Bashiru.
 
Suala Katiba mpya limekuwa agenda ya muda mrefu la lakini pamoja na umuhimu wake kwa taifa, kwa kiasi kikubwa limebebwa na Chadema pamoja na wanaharakati wanaokiunga mkono chama hicho cha kisiasa.

Kupata Katiba mpya ni jambo muhimu, lakini Chadema imesau kwamba, suala hilo siyo jambo dogo kama wanavyofikiria, na kwamba Katiba ni mali ya wananchi wote na siyo kipaumbele cha chama hicho kwa maslahi ya kuchukua mamlaka.

Chadema inataka mabadiliko ya Katiba kwa maslahi ya kukamata Dola, imeshindwa kuwaelimisha wananchi kuhusu hata hii Katiba ya sasa ambayo wanasema ina upungufu. Watanzania walio wengi hawajui hata vipengele ambavyo wanasiasa hao wanasema vina kasoro au vinahitaji kuboreshwa kwenye Katiba iliyopo, lakini Chadema wameruka vihunzi na kutaka Katiba mpya badala ya kuwaeleza kwa mapana vipengele vyote vya sasa.

Katiba mpya ni nzuri na muhimu, lakini inaweza isiwe suluhisho la kudumu kwa kuwa tumeshuhudia hata kwa jirani zetu hapo Kenya, ambao wanayo Katiba mpya, wanayo Tume Huru ya Uchaguzi, lakini bado wameendelea kupiga kelele kuhusu masuala mbalimbali ya kijamii na kisiasa.Malalamiko kuhusu uchaguzi usio huru yameendelea kuwepo, maandamano ya kupinga Serikali yanaendelea kila wakati, pengine wakidai maisha bora.Kwa maana hiyo, wakati mwingine siyo Katiba inayoleta changamoto, bali miongozo mizuri yenye kuleta maendeleo kwa wananchi kujikwamua kiuchumi ndiyo inayotakiwa.

Kuhusu uwekezaji katika bandari, Chadema pamoja na wanaharakati wengine wamekuwa wakizua mijadala mirefu ya kupinga uwekezaji huo, licha ya
Serikali imekwishasema mara kadhaa malengo, nia na madhumuni ya kuingia makubaliano ya uwekezaji baina yake na Dubai kupitia kampuni ya DP World, kwamba inataka kuona ufanisi katika Bandari hiyo ambayo ni kitovu cha uchumi wa Taifa.
Kwamba, kwa hali ya sasa ufanisi ni mdogo licha ya jitihada zilizokuwa zimefanyika kabla.

Lakini pamoja na ufafanuzi unaotolewa mara nyingi, suala hilo limebebwa na Chadema kama agenda yao kubwa, na mbaya zaidi wanapotosha ili tu kuwavutia wananchi wawaunge mkono.
Ukiwauliza Chadema kuhusu sababu zao za kupinga uwekezaji huo nini wanashindwa kutoa majibu stahiki na hata vipengele wanavyovitaja kwamba vina kasoro tayari vimekwishafafanuliwa na Serikali kwa marefu na mapana, lakini hawataki kuukubali ukweli na wanaendelea kupotosha.

*Ukweli ni kwamba Chadema wanatamani sana kuona Rais Samia anashindwa katika vita hivi vya uwekezaji, lakini mioyoni mwao wanatamani pia kama haya anayoyafanya ndiyo wangekuwa wanayafanya wao, kwa sababu wanafahamu fika ufanisi katika Bandari ya Dar es Salaam ni ushindi wa kiuchumi kwa Taifa na ni sifa ya hali ya juu ambayo CCM itavunia kwa kusimamia suala hilo ambalo pia litaisaidia CCM kuendelea kukubalika zaidi na wanananchi na kuendelea kuwa imara kisiasa nchini.
Akilizako zinakutuma lwamba bila katiba mpya mtakaa madarani kwa hii kasi ya wizi wa maliza za umma na uzaji wa nchi mtatolewa mchana kweupe jidanganye.
 
Suala Katiba mpya limekuwa agenda ya muda mrefu la lakini pamoja na umuhimu wake kwa taifa, kwa kiasi kikubwa limebebwa na Chadema pamoja na wanaharakati wanaokiunga mkono chama hicho cha kisiasa.

Kupata Katiba mpya ni jambo muhimu, lakini Chadema imesau kwamba, suala hilo siyo jambo dogo kama wanavyofikiria, na kwamba Katiba ni mali ya wananchi wote na siyo kipaumbele cha chama hicho kwa maslahi ya kuchukua mamlaka.

Chadema inataka mabadiliko ya Katiba kwa maslahi ya kukamata Dola, imeshindwa kuwaelimisha wananchi kuhusu hata hii Katiba ya sasa ambayo wanasema ina upungufu. Watanzania walio wengi hawajui hata vipengele ambavyo wanasiasa hao wanasema vina kasoro au vinahitaji kuboreshwa kwenye Katiba iliyopo, lakini Chadema wameruka vihunzi na kutaka Katiba mpya badala ya kuwaeleza kwa mapana vipengele vyote vya sasa.

Katiba mpya ni nzuri na muhimu, lakini inaweza isiwe suluhisho la kudumu kwa kuwa tumeshuhudia hata kwa jirani zetu hapo Kenya, ambao wanayo Katiba mpya, wanayo Tume Huru ya Uchaguzi, lakini bado wameendelea kupiga kelele kuhusu masuala mbalimbali ya kijamii na kisiasa.Malalamiko kuhusu uchaguzi usio huru yameendelea kuwepo, maandamano ya kupinga Serikali yanaendelea kila wakati, pengine wakidai maisha bora.Kwa maana hiyo, wakati mwingine siyo Katiba inayoleta changamoto, bali miongozo mizuri yenye kuleta maendeleo kwa wananchi kujikwamua kiuchumi ndiyo inayotakiwa.

Kuhusu uwekezaji katika bandari, Chadema pamoja na wanaharakati wengine wamekuwa wakizua mijadala mirefu ya kupinga uwekezaji huo, licha ya
Serikali imekwishasema mara kadhaa malengo, nia na madhumuni ya kuingia makubaliano ya uwekezaji baina yake na Dubai kupitia kampuni ya DP World, kwamba inataka kuona ufanisi katika Bandari hiyo ambayo ni kitovu cha uchumi wa Taifa.
Kwamba, kwa hali ya sasa ufanisi ni mdogo licha ya jitihada zilizokuwa zimefanyika kabla.

Lakini pamoja na ufafanuzi unaotolewa mara nyingi, suala hilo limebebwa na Chadema kama agenda yao kubwa, na mbaya zaidi wanapotosha ili tu kuwavutia wananchi wawaunge mkono.
Ukiwauliza Chadema kuhusu sababu zao za kupinga uwekezaji huo nini wanashindwa kutoa majibu stahiki na hata vipengele wanavyovitaja kwamba vina kasoro tayari vimekwishafafanuliwa na Serikali kwa marefu na mapana, lakini hawataki kuukubali ukweli na wanaendelea kupotosha.

*Ukweli ni kwamba Chadema wanatamani sana kuona Rais Samia anashindwa katika vita hivi vya uwekezaji, lakini mioyoni mwao wanatamani pia kama haya anayoyafanya ndiyo wangekuwa wanayafanya wao, kwa sababu wanafahamu fika ufanisi katika Bandari ya Dar es Salaam ni ushindi wa kiuchumi kwa Taifa na ni sifa ya hali ya juu ambayo CCM itavunia kwa kusimamia suala hilo ambalo pia litaisaidia CCM kuendelea kukubalika zaidi na wanananchi na kuendelea kuwa imara kisiasa nchini.
Hakuna lugha ya kukujibu isipokuwa huna uzalendo wala uchungu na nchi hii.
 
Suala Katiba mpya limekuwa agenda ya muda mrefu la lakini pamoja na umuhimu wake kwa taifa, kwa kiasi kikubwa limebebwa na Chadema pamoja na wanaharakati wanaokiunga mkono chama hicho cha kisiasa.

Kupata Katiba mpya ni jambo muhimu, lakini Chadema imesau kwamba, suala hilo siyo jambo dogo kama wanavyofikiria, na kwamba Katiba ni mali ya wananchi wote na siyo kipaumbele cha chama hicho kwa maslahi ya kuchukua mamlaka.

Chadema inataka mabadiliko ya Katiba kwa maslahi ya kukamata Dola, imeshindwa kuwaelimisha wananchi kuhusu hata hii Katiba ya sasa ambayo wanasema ina upungufu. Watanzania walio wengi hawajui hata vipengele ambavyo wanasiasa hao wanasema vina kasoro au vinahitaji kuboreshwa kwenye Katiba iliyopo, lakini Chadema wameruka vihunzi na kutaka Katiba mpya badala ya kuwaeleza kwa mapana vipengele vyote vya sasa.

Katiba mpya ni nzuri na muhimu, lakini inaweza isiwe suluhisho la kudumu kwa kuwa tumeshuhudia hata kwa jirani zetu hapo Kenya, ambao wanayo Katiba mpya, wanayo Tume Huru ya Uchaguzi, lakini bado wameendelea kupiga kelele kuhusu masuala mbalimbali ya kijamii na kisiasa.Malalamiko kuhusu uchaguzi usio huru yameendelea kuwepo, maandamano ya kupinga Serikali yanaendelea kila wakati, pengine wakidai maisha bora.Kwa maana hiyo, wakati mwingine siyo Katiba inayoleta changamoto, bali miongozo mizuri yenye kuleta maendeleo kwa wananchi kujikwamua kiuchumi ndiyo inayotakiwa.

Kuhusu uwekezaji katika bandari, Chadema pamoja na wanaharakati wengine wamekuwa wakizua mijadala mirefu ya kupinga uwekezaji huo, licha ya
Serikali imekwishasema mara kadhaa malengo, nia na madhumuni ya kuingia makubaliano ya uwekezaji baina yake na Dubai kupitia kampuni ya DP World, kwamba inataka kuona ufanisi katika Bandari hiyo ambayo ni kitovu cha uchumi wa Taifa.
Kwamba, kwa hali ya sasa ufanisi ni mdogo licha ya jitihada zilizokuwa zimefanyika kabla.

Lakini pamoja na ufafanuzi unaotolewa mara nyingi, suala hilo limebebwa na Chadema kama agenda yao kubwa, na mbaya zaidi wanapotosha ili tu kuwavutia wananchi wawaunge mkono.
Ukiwauliza Chadema kuhusu sababu zao za kupinga uwekezaji huo nini wanashindwa kutoa majibu stahiki na hata vipengele wanavyovitaja kwamba vina kasoro tayari vimekwishafafanuliwa na Serikali kwa marefu na mapana, lakini hawataki kuukubali ukweli na wanaendelea kupotosha.

*Ukweli ni kwamba Chadema wanatamani sana kuona Rais Samia anashindwa katika vita hivi vya uwekezaji, lakini mioyoni mwao wanatamani pia kama haya anayoyafanya ndiyo wangekuwa wanayafanya wao, kwa sababu wanafahamu fika ufanisi katika Bandari ya Dar es Salaam ni ushindi wa kiuchumi kwa Taifa na ni sifa ya hali ya juu ambayo CCM itavunia kwa kusimamia suala hilo ambalo pia litaisaidia CCM kuendelea kukubalika zaidi na wanananchi na kuendelea kuwa imara kisiasa nchini.
Tuondolee Uharo wako hapa
 
Suala Katiba mpya limekuwa agenda ya muda mrefu la lakini pamoja na umuhimu wake kwa taifa, kwa kiasi kikubwa limebebwa na Chadema pamoja na wanaharakati wanaokiunga mkono chama hicho cha kisiasa.

Kupata Katiba mpya ni jambo muhimu, lakini Chadema imesau kwamba, suala hilo siyo jambo dogo kama wanavyofikiria, na kwamba Katiba ni mali ya wananchi wote na siyo kipaumbele cha chama hicho kwa maslahi ya kuchukua mamlaka.

Chadema inataka mabadiliko ya Katiba kwa maslahi ya kukamata Dola, imeshindwa kuwaelimisha wananchi kuhusu hata hii Katiba ya sasa ambayo wanasema ina upungufu. Watanzania walio wengi hawajui hata vipengele ambavyo wanasiasa hao wanasema vina kasoro au vinahitaji kuboreshwa kwenye Katiba iliyopo, lakini Chadema wameruka vihunzi na kutaka Katiba mpya badala ya kuwaeleza kwa mapana vipengele vyote vya sasa.

Katiba mpya ni nzuri na muhimu, lakini inaweza isiwe suluhisho la kudumu kwa kuwa tumeshuhudia hata kwa jirani zetu hapo Kenya, ambao wanayo Katiba mpya, wanayo Tume Huru ya Uchaguzi, lakini bado wameendelea kupiga kelele kuhusu masuala mbalimbali ya kijamii na kisiasa.Malalamiko kuhusu uchaguzi usio huru yameendelea kuwepo, maandamano ya kupinga Serikali yanaendelea kila wakati, pengine wakidai maisha bora.Kwa maana hiyo, wakati mwingine siyo Katiba inayoleta changamoto, bali miongozo mizuri yenye kuleta maendeleo kwa wananchi kujikwamua kiuchumi ndiyo inayotakiwa.

Kuhusu uwekezaji katika bandari, Chadema pamoja na wanaharakati wengine wamekuwa wakizua mijadala mirefu ya kupinga uwekezaji huo, licha ya
Serikali imekwishasema mara kadhaa malengo, nia na madhumuni ya kuingia makubaliano ya uwekezaji baina yake na Dubai kupitia kampuni ya DP World, kwamba inataka kuona ufanisi katika Bandari hiyo ambayo ni kitovu cha uchumi wa Taifa.
Kwamba, kwa hali ya sasa ufanisi ni mdogo licha ya jitihada zilizokuwa zimefanyika kabla.

Lakini pamoja na ufafanuzi unaotolewa mara nyingi, suala hilo limebebwa na Chadema kama agenda yao kubwa, na mbaya zaidi wanapotosha ili tu kuwavutia wananchi wawaunge mkono.
Ukiwauliza Chadema kuhusu sababu zao za kupinga uwekezaji huo nini wanashindwa kutoa majibu stahiki na hata vipengele wanavyovitaja kwamba vina kasoro tayari vimekwishafafanuliwa na Serikali kwa marefu na mapana, lakini hawataki kuukubali ukweli na wanaendelea kupotosha.

*Ukweli ni kwamba Chadema wanatamani sana kuona Rais Samia anashindwa katika vita hivi vya uwekezaji, lakini mioyoni mwao wanatamani pia kama haya anayoyafanya ndiyo wangekuwa wanayafanya wao, kwa sababu wanafahamu fika ufanisi katika Bandari ya Dar es Salaam ni ushindi wa kiuchumi kwa Taifa na ni sifa ya hali ya juu ambayo CCM itavunia kwa kusimamia suala hilo ambalo pia litaisaidia CCM kuendelea kukubalika zaidi na wanananchi na kuendelea kuwa imara kisiasa nchini.
uwekezaji upi wa bandari
 
Utakuwa Kaka yake na mama Abdul maana mna ufinyu wa fikra.
 
Kijana Tafuta kazi ufanye, kuwa chawa bongo ni risk kubwa. Kama hutaki muulize Kabudi na Bashiru.
Usiwafananishe viongozi kama hao na machawa vinginevyo unajionesha uwezo wako ulivyo mdogo, Bashiru na Kabudi kwani wanashida gani Kwa sasa
 
Suala Katiba mpya limekuwa agenda ya muda mrefu la lakini pamoja na umuhimu wake kwa taifa, kwa kiasi kikubwa limebebwa na Chadema pamoja na wanaharakati wanaokiunga mkono chama hicho cha kisiasa.

Kupata Katiba mpya ni jambo muhimu, lakini Chadema imesau kwamba, suala hilo siyo jambo dogo kama wanavyofikiria, na kwamba Katiba ni mali ya wananchi wote na siyo kipaumbele cha chama hicho kwa maslahi ya kuchukua mamlaka.

Chadema inataka mabadiliko ya Katiba kwa maslahi ya kukamata Dola, imeshindwa kuwaelimisha wananchi kuhusu hata hii Katiba ya sasa ambayo wanasema ina upungufu. Watanzania walio wengi hawajui hata vipengele ambavyo wanasiasa hao wanasema vina kasoro au vinahitaji kuboreshwa kwenye Katiba iliyopo, lakini Chadema wameruka vihunzi na kutaka Katiba mpya badala ya kuwaeleza kwa mapana vipengele vyote vya sasa.

Katiba mpya ni nzuri na muhimu, lakini inaweza isiwe suluhisho la kudumu kwa kuwa tumeshuhudia hata kwa jirani zetu hapo Kenya, ambao wanayo Katiba mpya, wanayo Tume Huru ya Uchaguzi, lakini bado wameendelea kupiga kelele kuhusu masuala mbalimbali ya kijamii na kisiasa.Malalamiko kuhusu uchaguzi usio huru yameendelea kuwepo, maandamano ya kupinga Serikali yanaendelea kila wakati, pengine wakidai maisha bora.Kwa maana hiyo, wakati mwingine siyo Katiba inayoleta changamoto, bali miongozo mizuri yenye kuleta maendeleo kwa wananchi kujikwamua kiuchumi ndiyo inayotakiwa.

Kuhusu uwekezaji katika bandari, Chadema pamoja na wanaharakati wengine wamekuwa wakizua mijadala mirefu ya kupinga uwekezaji huo, licha ya Serikali imekwishasema mara kadhaa malengo, nia na madhumuni ya kuingia makubaliano ya uwekezaji baina yake na Dubai kupitia kampuni ya DP World, kwamba inataka kuona ufanisi katika Bandari hiyo ambayo ni kitovu cha uchumi wa Taifa.

Kwamba, kwa hali ya sasa ufanisi ni mdogo licha ya jitihada zilizokuwa zimefanyika kabla.

Lakini pamoja na ufafanuzi unaotolewa mara nyingi, suala hilo limebebwa na Chadema kama agenda yao kubwa, na mbaya zaidi wanapotosha ili tu kuwavutia wananchi wawaunge mkono.

Ukiwauliza Chadema kuhusu sababu zao za kupinga uwekezaji huo nini wanashindwa kutoa majibu stahiki na hata vipengele wanavyovitaja kwamba vina kasoro tayari vimekwishafafanuliwa na Serikali kwa marefu na mapana, lakini hawataki kuukubali ukweli na wanaendelea kupotosha.

*Ukweli ni kwamba Chadema wanatamani sana kuona Rais Samia anashindwa katika vita hivi vya uwekezaji, lakini mioyoni mwao wanatamani pia kama haya anayoyafanya ndiyo wangekuwa wanayafanya wao, kwa sababu wanafahamu fika ufanisi katika Bandari ya Dar es Salaam ni ushindi wa kiuchumi kwa Taifa na ni sifa ya hali ya juu ambayo CCM itavunia kwa kusimamia suala hilo ambalo pia litaisaidia CCM kuendelea kukubalika zaidi na wanananchi na kuendelea kuwa imara kisiasa nchini.
Wewe Mama yako mzazi wakati anaenda kukuzaa wewe hospital alienda kutoa uchafu tumboni mwake ambaye ni wewe.Laiti kama asinge kuzaa wewe angekufa kutokana na uchafu mwingi uliokuwa tumboni mwake.Chadema wanafanya kazi ya kutoa elimu ya uraia usiku na mchana lkn wajinga kama wewe hamuoni chochote!
 
Back
Top Bottom