Mzee Kifimbo
Senior Member
- Mar 25, 2007
- 153
- 3
Nimekujibu tizama PM yako.
Nadhani unasinzia mimi ni dume la mbegu. kama LILIAN MTEI hatosheki niletee nimpe full dose atafurahi na macho yake kama mvuta bangi.
siende zaidi .... nitakutumia PM.
Kana we ni mpenzi wa CHADEMA?
Heshima mbele wakuu,
Hivi mbona tunakubali kukaa na watu ambao hawana nidhamu humu ndani?
Mods hebu angalieni maneno ya huyu Chinga hapo juu,hivi kweli wakuu mtu wa rika tofauti wanopita humu ndani mnataka waamini hii ni forum ya wakora? Hivi mnataka tuonekane kama Mashada Forums ile ya wakenya ambayo imepoteza heshima yake kwa sababu ya kulea watu wahuni,mtu anatype kana kwamba muda huo alikua anapuliza bangi halafu maandishi tunayaacha hapo,mhusika tunamwuacha anapeta.
Anatukana members humu ndani hadi wanaacha kuchangia mada za maana wanaamua kudefend heshima yao.Mods please fanyeni liwezekanalo maanake huyu chinga mkifuatilia post zake karibia zote hajawahi kupost hoja wala kujibu hoja .anachochangia hapa ni matusi na kejeli amoja na kuvuruga mada tu.So there is no need of entertaining this guy kwani anaweza hata kufukuza wanachama ambo wanasoma hapa na hawajaiandikisha.pia members wa humu ndani wanaeza kutoroka.
Jamani ni bora huyu mtu awe msomaji tu ili asiweze kuposti matusi yake ikli turuhusu watu waposti hoja!
Nawsailisha!
Well, jamani hiyo ilikuwa weekend na nimefunga mjadala wangu rasmi. Tuendelee kumkoma nyani giledi, mchana kweupeeee!! NN I had to release some stress..[/QUOTE]
I hear you....
Well, jamani hiyo ilikuwa weekend na nimefunga mjadala wangu rasmi. Tuendelee kumkoma nyani giledi, mchana kweupeeee!! NN I had to release some stress..
Kweli kabisa Mkulu, wawakilishi wapo na wanalipwa na Mbowe,mmoja wapo ni Mwanakijiji au Mwafrika wa kike akizidiwa anakuwa senti 50 naomba atumie na Kinyonga. anayo majina mengine kama Ben, Koba ,Madela wa madilu.anafanywa kama house girl na Chadema.MJJ na Wanaukumbi,
Imekuwa vizuri kuwa umerudi kwenye mjadala. Ningependa wanaukumbi tujadili yafuatayo kuhusiana na hili suala la Asha;
Mwisho, ningeomba yeyote atakayejadili angalau agusie kila kifungu hapo juu.
- Kuna uhalali wowote kwa CHADEMA au chama kingine chochote kuingilia yanayotendeka humu ukumbini?
- Kama sio halali kwa CHADEMA kuingilia JF, kwa nini tusiwatake waombe msamaha kwa kuingilia uhuru wa mmojawetu?
- Kwa CHADEMA kumkataza Asha kutumia usemi wa CHADEMA ni dalili ya CHADEMA kuwa madikiteta au wamekosea tu?
- Je ndani ya JF kuna wawakilishi wa vyama vya siasa au ni wapenzi tu wa vyama?
- Kama kuna wawakilishi wa vyama, haingekuwa vema kwao wakajitambulisha ili tuelewe kuwa wanayoongelea humu ndio msimamo wa chama husika?
Binafsi yangu katika kupinga hatua iliyochukuliwa na CHADEMA , nimeamua rasmi kutumia signature ambayo Asha amekatazwa kutumia pamoja na kubadili Avatar yangu.
________________________________________
CHADEMA ni chama mbadala kinachokua na kinachoongozwa kwa Falsafa ya Nguvu ya Umma (Ila Dalili za Kuingilia Uhuru wa Wananchi Zimeanza Kujitokeza Ndani ya CHADEMA) na kuamini katika itikadi ya Mrengo wa Kati. CHADEMA inawataka Watanzania kuelewa kwamba mabadiliko ya kweli yataletwa na kubadilisha mfumo wa utawala(Ndani ya CHADEMA Pia Kunahitajika Mabadiliko ya Kiutawala Ili Kuondoa Ukabila). Maendeleo ya kweli hayawezi kuletwa na mafisadi walewale, wa chama kile kile, chenye uoza ule ule, wakiendeleza yale yale kwa ari, nguvu na kasi mpya.CHADEMA inatambua kwamba kwa falsafa ya Chukua Chako Mapema (CCM),Tanzania yenye neema kamwe haitawezekana
- Hii Signature Nimeiweka Ili Kupinga CHADEMA Kuingilia Uhuru wa Wana-JF
Kweli kabisa Mkulu, wawakilishi wapo na wanalipwa na Mbowe,mmoja wapo ni Mwanakijiji au Mwafrika wa kike akizidiwa anakuwa senti 50 naomba atumie na Kinyonga. anayo majina mengine kama Ben, Koba ,Madela wa madilu.anafanywa kama house girl na Chadema.
Yupo ASHA abdalla ambaye jina lake kamili ni KM anafanya Phd Uingereza alifukuzwa vyama zaidi ya vitatu kwa tamaa ya madaraka kuanzia CCM ndio maana anawachukia,angekuwa mvumilivu kama Guninita,TLP alifukuzwa kwa kula ruzuku na Mrema akamtoa mkuku,NCCR alikuwa kundi la Marando nako alitimuliwa.
Nataka waje hapa niwachambue hawa vibaraka ambao wameshindwa kuwaelimisha wananchi mitaani na sasa wanatumia JF kama ni tawi la Chadema.
Hawa ndio wanaomchukia WANGWE kwa vile hataki pesa za chama zitumike makao makuu kuwalipia watu gharama za internet au website zisikuwa na maslahi kwa NGO yao. ni kundi la wahuni linatumiwa JF.
Nimeshakwambia kuwa mimi sio dada kama wewe mwanaume unayeona kutumia majina haya ya kike ni fahari. umeshakimbia na jina lako na sasa unatumia la Mwafrika wa kike, na maneno haya haya alisema BI SENTI 50, hatukuelewi Mwanakjj kujifananisha na wanawake? uko mzima wewe?Dada chinga,
Naona una hasira sana baada ya kurudishwa Tanzania. Ulizoea vya kunyonga utaweza vya kuchinja?
Bring it on!
Nimeshakwambia kuwa mimi sio dada kama wewe mwanaume unayeona kutumia majina haya ya kike ni fahari. umeshakimbia na jina lako na sasa unatumia la Mwafrika wa kike, na maneno haya haya alisema BI SENTI 50, hatukuelewi Mwanakjj kujifananisha na wanawake? uko mzima wewe?
UNGEONGEZA MANENO HAYA KUWA CHADEMA NI CHAMA CHA WACHAGA WAHAFIDHINA NA WAKRISTU WAHAFIDHINA NI ZEZETA,ZUZU AU TAAHIRA TU KAMA MWANAKIJIJI AU KITILA NDIO WANAWEZA KUJIUNGA NACHO.MJJ na Wanaukumbi,
Imekuwa vizuri kuwa umerudi kwenye mjadala. Ningependa wanaukumbi tujadili yafuatayo kuhusiana na hili suala la Asha;
Mwisho, ningeomba yeyote atakayejadili angalau agusie kila kifungu hapo juu.
- Kuna uhalali wowote kwa CHADEMA au chama kingine chochote kuingilia yanayotendeka humu ukumbini?
- Kama sio halali kwa CHADEMA kuingilia JF, kwa nini tusiwatake waombe msamaha kwa kuingilia uhuru wa mmojawetu?
- Kwa CHADEMA kumkataza Asha kutumia usemi wa CHADEMA ni dalili ya CHADEMA kuwa madikiteta au wamekosea tu?
- Je ndani ya JF kuna wawakilishi wa vyama vya siasa au ni wapenzi tu wa vyama?
- Kama kuna wawakilishi wa vyama, haingekuwa vema kwao wakajitambulisha ili tuelewe kuwa wanayoongelea humu ndio msimamo wa chama husika?
Binafsi yangu katika kupinga hatua iliyochukuliwa na CHADEMA , nimeamua rasmi kutumia signature ambayo Asha amekatazwa kutumia pamoja na kubadili Avatar yangu.
________________________________________
CHADEMA ni chama mbadala kinachokua na kinachoongozwa kwa Falsafa ya Nguvu ya Umma (Ila Dalili za Kuingilia Uhuru wa Wananchi Zimeanza Kujitokeza Ndani ya CHADEMA) na kuamini katika itikadi ya Mrengo wa Kati. CHADEMA inawataka Watanzania kuelewa kwamba mabadiliko ya kweli yataletwa na kubadilisha mfumo wa utawala(Ndani ya CHADEMA Pia Kunahitajika Mabadiliko ya Kiutawala Ili Kuondoa Ukabila). Maendeleo ya kweli hayawezi kuletwa na mafisadi walewale, wa chama kile kile, chenye uoza ule ule, wakiendeleza yale yale kwa ari, nguvu na kasi mpya.CHADEMA inatambua kwamba kwa falsafa ya Chukua Chako Mapema (CCM),Tanzania yenye neema kamwe haitawezekana
- Hii Signature Nimeiweka Ili Kupinga CHADEMA Kuingilia Uhuru wa Wana-JF
UNGEONGEZA MANENO HAYA KUWA CHADEMA NI CHAMA CHA WACHAGA WAHAFIDHINA NA WAKRISTU WAHAFIDHINA NI ZEZETA,ZUZU AU TAAHIRA TU KAMA MWANAKIJIJI AU KITILA NDIO WANAWEZA KUJIUNGA NACHO.