CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

Mbona bado edo hajaanza kuzunguka kwa raia... Hapo ndo CCM itachoka. Leo tu hali ya hewa imechafuka.. Sijui mpaka wiki iishe CCM itakuwa na hali gani
hali itakuwa mbaya sana... Hata wana ccm watatamani wawebodaboda wasindikize msafara wa mh edo.. Viva ukawa na safari ya uhakika.
 
Safari ya matumaini bado inaendelea?! Nilidhani iliishia dodoma... kila la kweli!
 
teh teh teh huoni hata aibu.. Badilisha hata ID basi

Ndio maana nimesema kuna Watanzania wenye akili zao na wengine ndio kama wewe, kichwani hamna kitu kabisa. Ni jambo la kutumia akili kidogo tu uliyonayo. CHADEMA walikuwa wanasema Lowassa ni Fisadi huku mishipa ya shingo ikiwatoka na mapovu mdomoni, leo hii Lowassa amekatwa na CCM, amegeuka na kuwa Malaika ghafla!

My friend, kama wewe unadanganyika kirahisi namana hiyo, sio mimi; kwa hili hakuna ubishi, CHADEMA "wametokota" mbaya. Wamepoteza credibility kabisa, sio tu kwetu sisi bali hata kwa jamii ya kimataifa.
 
Siasa bhana! Mtu analala na kijani anaamuka na gwanda! Tetetetete!! Mwaka huu tutaona mengi! Kama alkuwa na mapenz mema na ukawa angehama kabla ya kukatwa! Sasa hv ni unafiki tu! Mgeni njoo mwenyej apone!! Kuna ktu nyuma ya pazia!
 
Safari ya matumaini bado inaendelea?! Nilidhani iliishia dodoma... kila la kweli!
Mimi mwenyewe najiuliza sana MAFURIKO si yalikwisha zuiliwa kwa mkono haya mengine yanatoka wapi tena.
 
Niliisubiri sana siku na wakati kama huu kwa muda mrefu sana toka mwaka 1993 tulipokubali vyama vingi na mwaka 1995 upinzani ambao mkubwa ulikuwa NCCR MAgeuzi ukahujumiwa. Dar es Salaam ilibidi wafute uchaguzi wote ili warudie na mmluku wakawa wamedominate. Matokeo ya uchaguzi wa mwanzo kabla ya kufuta NEER ilishinda majimbo yote ya DSM. Sasa this time wasomi watasimamia uchaguzi UKAWA na centre za kuhesabia kura zirakuwa Tanzania nzima, Kubalini yaishe tu. Go Go editors wote na Mungu awatangulie. Kwa damu ya Mwangosi na kudhuriwa mwili na kuwekwa kilema cha jicjo Kibanda ni lazima muenzi hili. Pokeeni hongo za CCM but news UKAWA coalition.
 
Taarifa nilizopata ni kuwa hiyo kesho saa 3 au saa 4 Lowassa atatangaza kujiunga CHADEMA na saa 10 atatangaza rasimi kugombea uraisi kwa ticket ya UKAWA na tukio hilo litarushwa live na ITV/Azam tv.

Tusubiri tuone.

mkuu salary nina furaha isiyo na kifani hakika tuliuzunika pamoja sasa tufurai pamoja MUNGU amlinde ndugu lOWASSA na hakika sasa safari ya uhakika ndio imeanza mkuu kila mtu kwa dini yake amwombe MUNGU oct 25 kuna kishindo kikubwa sana kwenye nchi ihi tanzania mpya inakwenda kuzaliwa,
 
Mkuu, umetoka mafichoni!

Unanikumbusha mbali sana, enzi za BCS na yule muhindi wa Canada aliyekuwa anajidai ni CCM damu.Ulimpelekesha sana!!

Wengine tutasubiri uhuru wa kweli October!!


Wala sijatoka mafichoni yakhe.

Ni kwamba tu kuna zuzu mmoja jana alikuwa anadai eti kajua jina langu halisi [well, main ID yangu humu nadhani unaijua, Nyani Ngabu].

Akadai kwamba eti jina langu la ukweli ni Richard Mugizi. Ukweli ni kwamba hilo jina ni random name tu nililotioa mtandaoni na wala si jina langu la kweli.

But, zuzu in true zuz fashion akajishawishi hadi akajiaminisha eti mimi [Nyani Ngabu] naitwa Richard Mugizi.

So ikabidi nijiandikishe tena kama Mugizi Richard kwa sababu Richard Mugizi ilikuwa kuwa merged na NN [ndo hapo huyo zuzu eti akapata "facts" zake kwamba ndo jina la ukweli la NN]. Hivyo wala sijafufuka. Nipo siku zote.

Speaking of Raj Patel, yule falla sijui yuko wapi siku hizi. Labda alirudi kwao Mumbai huko.

Ila nawe umeadimika sana aisee.....
 
Hivi Magufuli si alizuia zile boti za Bakhressa kuja Mwanza kisa zitavunja madaraja, sijui kama Bakhressa ameshamsamehe kwa hilo.

Unaweza ukafikiri hilo lilikuwa tamko la Magufuli mwenyewe.. wewe unahamini hivo?? Huoni kama Ikulu inahusika kiasi fulani??

Ila kwa taharifa za uhakika tu, huyo jamaa na wengine wengi wenye nguvu hapa mjini wameshachoshwa na CCM.. Hata yale matusi ya gesi bado yapo mioyoni mwao..
 
Ndio maana nimesema kuna Watanzania wenye akili zao na wengine ndio kama wewe, kichwani hamna kitu kabisa. Ni jambo la kutumia akili kidogo tu uliyonayo. CHADEMA walikuwa wanasema Lowassa ni Fisadi huku mishipa ya shingo ikiwatoka na mapovu mdomoni, leo hii Lowassa amekatwa na CCM, amegeuka na kuwa Malaika ghafla!

My friend, kama wewe unadanganyika kirahisi namana hiyo, sio mimi; kwa hili hakuna ubishi, CHADEMA "wametokota" mbaya. Wamepoteza credibility kabisa, sio tu kwetu sisi bali hata kwa jamii ya kimataifa.


Ok, sasa kwani EL ni fisadi au si fisadi??
 
Tutashuhudia kampeni zilizobalance mwaka huu, hasa coverage kwenye vyombo vya habari
 
Tutashuhudia kampeni zilizobalance mwaka huu, hasa coverage kwenye vyombo vya habari

Jambo km hili linatokea once in a lifetime. Nawapongeza sana Chadema kwa kuwa so flexible na dynamic. Itachukua muda mrefu CCM kuja kufanya tena kosa km hili!
 
Back
Top Bottom