Lusajo11
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 1,887
- 1,970
Ili wakamtangaze mtu waliyekuwa wanamuita fisadi kuwa ndo anapeperusha bendera ya CHADEMA? wakwende huko kura yangu kwa Magufuli
Jana ulinikata stim kwenye thread moja hivi wakati natoka povu naona leo na wewe yamekufika hapaaa!
Enhee, kwahiyo kura yako kwa Magufuli ebwana dah.. (khantwe ni kakichwa kwenye lugha fulani huku nyanda za juu na wewe ni mdau?)