Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,004
- 142,438
Bilali kuletwa bongo maana mliambiwa amekufa na kuzikwa
Bilali tena? Au unamaanisha Balali?
Richie Mugizi aka Nyani Ngabu halisi kwi kwi kwi kwi:doh:
Bilali kuletwa bongo maana mliambiwa amekufa na kuzikwa
Wanawatangaza watu wawili au watatu ambao ni hawa:1. E. N. Lowassa mgombea urais ...kutoka CCM kwenda CDM; 2. Juma Haji Duni mgombea mwenza...kutoka CUF kwenda CDM; 3. E. Nchimbi, mgombea ubunge Nyasa....CCM kwenda CDM
Ili wakamtangaze mtu waliyekuwa wanamuita fisadi kuwa ndo anapeperusha bendera ya CHADEMA? wakwende huko kura yangu kwa Magufuli
Mmiliki mpya wa chadema kutambulishwa rasmi kesho. Ataishia kuwa rais wa UKAWA nchi haiwezi kuwekwa rehani kwa majambazi hata siku moja.kafanikiwa kukinunuwa chadema lakini ikulu BIG NO
Mmiliki mpya wa chadema kutambulishwa rasmi kesho. Ataishia kuwa rais wa UKAWA nchi haiwezi kuwekwa rehani kwa majambazi hata siku moja.kafanikiwa kukinunuwa chadema lakini ikulu BIG NO
Bilali tena? Au unamaanisha Balali?
Richie Mugizi aka Nyani Ngabu halisi kwi kwi kwi kwi:doh:
Hizi picha ziloongezeka zitazidi kuwachanganya maccm..
Ili wakamtangaze mtu waliyekuwa wanamuita fisadi kuwa ndo anapeperusha bendera ya CHADEMA? wakwende huko kura yangu kwa Magufuli
Mungu anajibu maombi
Elungata bado hujahama?naona mwenzako Ocampo Four sasa ni kamanda kwelikweli, hizi siasa zinachekesha sana.
Hivi mnadhani huyo Lowasa akigombea kupitia Ukawa atashinda??
Hizo ni ndoto kabisa!
Raisi wa
Nchi hii ni Magufuli!!