Njanga Tz
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 843
- 655
Kesho mapema niko kwa TV mapema kbs
Eti ni sa tisa au sa tatu maana wabongo ss taabu kwelikweli
Kesho mapema niko kwa TV mapema kbs
Bado kigagula mpenzii wa fast jet bi faizafox
Your very right! Huyu mtu walikuwa wanamuita fisadi kwa takriban miaka kumi sasa, leo hii amekuwa wa maana sana mpaka wampatie nafasi ya kugombea urais kwa tiketi ya chama chao. This is insanity of the century!! Kuna Watanzania tuna akili zetu bhana, hamuwezi kutufanya sisi wajinga hata kidogo.
Mimi binafsi nasema hivi, kama CHADEMA watampokea huyu waliyembatiza jina la Fisadi, moja kwa moja kura yangu inakwenda kwa MAGUFULI. Na nina amini kuwa Watanzania wenye akili timamu na upeo wa kufikiri kama mimi tupo wengi tu.
Hilo litakuwa ni kosa kubwa kuliko yote na ukiona hivyo ujue JK kachanganyikiwa na kuna wengi wakubwa watajiuzulu nyazifa zao serikali na ndani ya chama kupinga uamuzi huo endapo kweli utatekelezwa.Mbn kuna tetesi kesho watamkamata El wamuweke ndani lockup
usitegemee kuwa el ataisema serikali vibaya au kutoa siri za serikali, kama wengi wanavyojiaminisha
el alikula kiapo siri za serikali tena kw kumhusisha mungu amsaidie ,baada ya hapo akaanguka kwa kusign .kiapo kile ni cha milele .
kwa wale wa 1995 hali kama hii ilijitokeza na msisimko ulikuwa mkubwa kuliko leo ,tena palikuwa hakuna tuhuma za kuuza chama kama inavyosemekana leo
Du! nimechoka kabisa hawa viongozi wa ukawa wanaweza vipi kuwa mapunguani kiasi hiki.
Ni punguani tu ndiye anayeweza fanya hiki kinachoendelea ukawa. Ndiooo punguani!!!!???
Your very right! Huyu mtu walikuwa wanamuita fisadi kwa takriban miaka kumi sasa, leo hii amekuwa wa maana sana mpaka wampatie nafasi ya kugombea urais kwa tiketi ya chama chao. This is insanity of the century!! Kuna Watanzania tuna akili zetu bhana, hamuwezi kutufanya sisi wajinga hata kidogo.
Mimi binafsi nasema hivi, kama CHADEMA watampokea huyu waliyembatiza jina la Fisadi, moja kwa moja kura yangu inakwenda kwa MAGUFULI. Na nina amini kuwa Watanzania wenye akili timamu na upeo wa kufikiri kama mimi tupo wengi tu.
Mengi na Bahressa wako na UKAWA... Mkondo wa pesa utaokatika labda ule wa wahindi wanaoitawala CCM..
Kama ulikuwa hujui tu, matajiri wote wazawa wamewageukia safari hii.. Ndio maana mwaka jana na juzi mlijitahidi sana kuwaua wale wa Kaskazini..
R.I.P Nyaga Mawalla.. R.I.P Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Arusha Mzee Kileo
Mmiliki mpya wa chadema kutambulishwa rasmi kesho. Ataishia kuwa rais wa UKAWA nchi haiwezi kuwekwa rehani kwa majambazi hata siku moja.kafanikiwa kukinunuwa chadema lakini ikulu BIG NO
Richie Mugizi aka Nyani Ngabu halisi ntakuwa ndani ya nyumba nimetinga gwanda teh teh teh
Chama kufia mikono ya Familia moja mazishi wapi?
What is 10b kuna 200b za kampeni zinakuja watu wamejipanga.mkuu suala la 10bn halijakanushwa wewe