CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

Kaka ocampo four tupe taarifa in details nani hao wanakuja tarehe 23 Aug. Umenifurahisha sana. Eee Mwenyezimungu tuondolee haya madhalimu ccm
 
Nawahurumia viongozi wa CDM. Ataingia na watu wake. Mtajikuta hamna chenu tena. Hamna uongozi, hamna sauti wala umoja.
 
Nyie mawakala wa ccm mtahaha sana.mara mkutano na waandishi mara aja na kundi la wabunge!hiyo haisaidii mtanyolewa tuu.ukawa sio tegemezi kiasi hicho.wana taratibu zao zikikamilika mtakulishwa.tulia acha kuhaha.
 
Yawezekana kabisa CCM walifikiri mafuriko ni yale waliyoyazuia kwa kukata jina pale Dodoma...Kuna uwezekano pale walizuia rasha rasha za mvua zilizotaka kunyesha wakiamini ndio zitakayoleta hayo mafuriko..Seems sasa ndio mvua za ukweli zinaanza rasmi..Kwaheri CCM!!

Msemaji wao na maneno ya kejeli yupo wapi saa hizi? Ona hiyo avatar yangu eti wamemkata halafu anapita kumsanifu. Mi si shabiki wa Lowasa bali sikubaliani na jinsi mwenezi alivyokuwa akimtenda hata hivyo jamaa ni mstahimilivu sana
 
Lowassa ndo habari ya mujini. Karibu Kamanda hakika wewe ni Kamanda wa maamuzi magumu
 
Ili wakamtangaze mtu waliyekuwa wanamuita fisadi kuwa ndo anapeperusha bendera ya CHADEMA? wakwende huko kura yangu kwa Magufuli

Uamuzi ni wako,kura yako yenyewe ni sawa na tone la mvua baharini.
 
Mzee Magufuli sasa afikirie kuingia Ukawa ili ngoma inoge zaidi.

Hahaha mkuu pmwasyoke akiondoka Magufuli atabaki nani ccm sasa? huenda Nape na Makonda na hiyo itakuwa ni familia sasa na sio chama.

Inabidi abaki kusudi CCM nao wa-feel jinsi chama kinaposhindwa kwenye uchaguzi
 
Last edited by a moderator:
Mmiliki mpya wa chadema kutambulishwa rasmi kesho. Ataishia kuwa rais wa UKAWA nchi haiwezi kuwekwa rehani kwa majambazi hata siku moja.kafanikiwa kukinunuwa chadema lakini ikulu BIG NO

Lowassa na JK nani ni jambazi la kweli? Kwa miaka nane Lowassa aliyokuwa benchi ufisadi ulikuwa umekoma?
 
Kumbe LOWASA ndo mmiliki mpya wa CHADEMA siyo mwanachama?

Siyo mwanachama ni mmiliki.Chadema wamefanya kosa kubwa sana kumuuzia chama yule jamaa.utaniambia tuko hapa.yote hii ni tamaa ya fedha ya Mbowe na Mzee Mtei unaweza kufikiri ni utani lakini ni ukweli tupu mkuu watu wamefanya biashara hapo.
 
Du! nimechoka kabisa hawa viongozi wa ukawa wanaweza vipi kuwa mapunguani kiasi hiki.

Ni punguani tu ndiye anayeweza fanya hiki kinachoendelea ukawa. Ndiooo punguani!!!!???

Hata ukienda Mirembe wagonjwa huwa wanawaona wazima kuwa ndiyo wagonjwa, hili halishanhazi hata kidogo.Lazima wapinzani watainuka shetani hakubali kirahisi kushindwa
 
Siyo mwanachama ni mmiliki.Chadema wamefanya kosa kubwa sana kumuuzia chama yule jamaa.utaniambia tuko hapa.yote hii ni tamaa ya fedha ya Mbowe na Mzee Mtei unaweza kufikiri ni utani lakini ni ukweli tupu mkuu watu wamefanya biashara hapo.

Naona toka jana yathibitishwe haya hakukaliki.

Dawa imewaingia kiroho safi
 
Mmiliki mpya wa chadema kutambulishwa rasmi kesho. Ataishia kuwa rais wa UKAWA nchi haiwezi kuwekwa rehani kwa majambazi hata siku moja.kafanikiwa kukinunuwa chadema lakini ikulu BIG NO

Ni yupi jambazi kati lowassa na mwenyekiti wa chama chako...mbona nyie magamba hamjielewi???
 
Back
Top Bottom