CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

Taarifa kutoka jukwaa la wahariri ni kwamba wahariri wameitwa Bahari Beach kesho saa 9:00 kuzungumza na uongozi wa Chadema. Hadhari imetolewa. Wahariri wote wapeleke taarifa ili wapewe kadi maalum za kuhudhuria mkutano huo. Ulinzi ni mkali. Yawezekana ndo wakawa wanamtangaza mwanachama mpya.

Chanzo: Katibu Jukwaa la Wahariri, Neville Meena usiku huu

.
Sawa kabisa.
freedom is coming tomorrow!!
kwa maombi na sala zote, kwa Mungu yote yanawezekana.
 
Mmiliki mpya wa chadema kutambulishwa rasmi kesho. Ataishia kuwa rais wa UKAWA nchi haiwezi kuwekwa rehani kwa majambazi hata siku moja.kafanikiwa kukinunuwa chadema lakini ikulu BIG NO
Kumbe LOWASA ndo mmiliki mpya wa CHADEMA siyo mwanachama?
 
Sawa. Tukutane tarehe 25.10.2015 ila naomba nikuhakikishie oktoba CCM haishindi, kama mlitegemea kuiba kura, nikupe taarifa tu kuwa kuna watu wataingia hapa Nchini tarehe 23 August mahususi kwa ajili hiyo...

Naona hutanielewa kwa sasa, tusubiri 23 August...

Kamanda niinote kwenye diary yangu...asante sana
 
Kabisa.... Safari hii wajinga hawana nafasi ya kututawala tena, Mama Salma na Riz one wamekiuwa CCM, wagawane mbao saizi manake hakuna jinsi CCM itapenya oktoba..

nilikwambia utunze hela unazopata toka kwa lowasa,sijui kama ulisikia ushauri,maana mkondo wa hela utakatika ndani ya wiki 2 tu.
 
Naona secretariety ya CCM imechanganyikiwa kwa sasa, simu zinapigwa Ikulu kila sekunde, mipango inapangwa kwa hali na mali, Kesho ushingae TANESCO wakakata umeme, Ving'amuzi vikazimwa, na Kamanda Kova akatangaza kuzuia mikutano ya waandishi wa habari kwa kuwa anapoteza muda wa watanzania.
 
Mmiliki mpya wa chadema kutambulishwa rasmi kesho. Ataishia kuwa rais wa UKAWA nchi haiwezi kuwekwa rehani kwa majambazi hata siku moja.kafanikiwa kukinunuwa chadema lakini ikulu BIG NO

Hivi kweli majambazi halisi wa hii nchi huwajui...ahahaha,naona ushalishwa unga wa ndere na kitengo...we endelea kuamini hivyo hivyo
 
Taarifa kutoka jukwaa la wahariri ni kwamba wahariri wameitwa Bahari Beach kesho saa 9:00 kuzungumza na uongozi wa Chadema. Hadhari imetolewa. Wahariri wote wapeleke taarifa ili wapewe kadi maalum za kuhudhuria mkutano huo. Ulinzi ni mkali. Yawezekana ndo wakawa wanamtangaza mwanachama mpya.

Chanzo: Katibu Jukwaa la Wahariri, Neville Meena usiku huu

Mkuu, ni saa tatu asubuhi (09:00) au saa 9 mchana/alasiri?
 
Naona secretariety ya CCM imechanganyikiwa kwa sasa, simu zinapigwa Ikulu kila sekunde, mipango inapangwa kwa hali na mali, Kesho ushingae TANESCO wakakata umeme, Ving'amuzi vikazimwa, na Kamanda Kova akatangaza kuzuia mikutano ya waandishi wa habari kwa kuwa anapoteza muda wa watanzania.

Mkuu hata wakate jf itakuwa hewani.
 
Ili wakamtangaze mtu waliyekuwa wanamuita fisadi kuwa ndo anapeperusha bendera ya CHADEMA? wakwende huko kura yangu kwa Magufuli

Duuuh kweli au unatania?? Yaani unamnyima kura Lowassa unaenda kumpa Tibaijuka, Muhongo, Chenge, Rizwani, Mama Mkulu, Ngeleja, Samweli Sitta, January Makamba and the likes... Alafu wakakupitishie ile Katiba mbovu, miswada ya gesi na mafuta isirudishwe bungeni, uwizi wote uliofanyika serikalini ukaendelee kufichwa and so on and so on..

Haya kila la kheri...
 
hii tamu sana magamba yamezungukwa sehemu zote.Garika inakuja kimbunga kimeanza
 
Back
Top Bottom