CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

Yawezekana kabisa CCM walifikiri mafuriko ni yale waliyoyazuia kwa kukata jina pale Dodoma...Kuna uwezekano pale walizuia rasha rasha za mvua zilizotaka kunyesha wakiamini ndio zitakayoleta hayo mafuriko..Seems sasa ndio mvua za ukweli zinaanza rasmi..Kwaheri CCM!!

Wayazuie sasa tuwaone
 
Kabisa.... Safari hii wajinga hawana nafasi ya kututawala tena, Mama Salma na Riz one wamekiuwa CCM, wagawane mbao saizi manake hakuna jinsi CCM itapenya oktoba..

Karibu kwenye ukombozi ocampo 4
Zuia goli la mkono
 
Ila mimi huyu Lowassa simwelewi.

Jamaa mwenyewe dizaini mgonjwa huyu.

Haya masiasa ya nini tena?

Kwa nini asikae atulie ale tu mahela yake.

Au kama vipi anaweza akanipa mimi Richie Mugizi aka Nyani Ngabu halisi teh teh teh.

Mkuu, hatuangalii kama Lowasa ni mgonjwa au la, tunachoangalia ni jinsi atakavyo isambaratisha CCM na kurahisisha UKAWA kuchukua nchi.
 
Mbona bado edo hajaanza kuzunguka kwa raia... Hapo ndo CCM itachoka. Leo tu hali ya hewa imechafuka.. Sijui mpaka wiki iishe CCM itakuwa na hali gani

usitegemee kuwa el ataisema serikali vibaya au kutoa siri za serikali, kama wengi wanavyojiaminisha
el alikula kiapo siri za serikali tena kw kumhusisha mungu amsaidie ,baada ya hapo akaanguka kwa kusign .kiapo kile ni cha milele .
kwa wale wa 1995 hali kama hii ilijitokeza na msisimko ulikuwa mkubwa kuliko leo ,tena palikuwa hakuna tuhuma za kuuza chama kama inavyosemekana leo
 
Mmiliki mpya wa chadema kutambulishwa rasmi kesho. Ataishia kuwa rais wa UKAWA nchi haiwezi kuwekwa rehani kwa majambazi hata siku moja.kafanikiwa kukinunuwa chadema lakini ikulu BIG NO

Umeongea point bro,,, siipendi ccm,,,, lkn kwa lowasa big no,,,,, Huwezi kuwakabidhi nchi majambazi,,,, nyuma ya lowasa wako wafilisi wa nchi hii,, rostam Aziz,,, nazir karamagi,,, ndio wanaomtengea kila kitu mradi awe rais ili watambe,,,, kikwete sio mjinga kumchinjia baharini mkubwa mwenzie,,,

The big NO for lowasa
 
Richie Mugizi aka Nyani Ngabu halisi ntakuwa ndani ya nyumba nimetinga gwanda teh teh teh

Daah nimesikitika sana kumbe Kamanda umebadiri jina la nyano Ngabu? Nashangaa siku hizi mbona sikuoni, no plzz rudisha ID yake na ile Avatar plzzz
 
Last edited by a moderator:
Mkuuu ocampo four naskia nape anaharisha ovyo mwwnyekiti kawaruka kama kawaida yake

Hahahahahaha Mkt kakimbia yupo Australia anakula maisha.... Kuanzia tarehe 8 Nchi itapata kushuhudia aina za kampeni ambazo hazijawahi kutokea duniani...... Tunataka tuwape somo hawa mafisadi Ma CCM
 
Last edited by a moderator:
Jioni ya leo nilikuwa na Mwana CCM mmoja yeye mwenyewe alikiri kwakusema na hapa na mnukuu "lowassa kiukweli anatutesa na sijui nini kitatokea na mpaka uchaguzi uje uishe ni mateso ya kutosha, mbaya zaidi huyu mzee haongei"
 
.
Sawa kabisa.
freedom is coming tomorrow!!
kwa maombi na sala zote, kwa Mungu yote yanawezekana.


CCM ni wajinga kwa kweli. Na Wajinga ndio waliwao. Tulikuwa tumejifanya kumchukia Lowasa na kuaminisha WanaCCM kuwa ni chaguo mbaya sana kama watalifanya kumbe tulikuwa tunamaanisha tofauti yake. Hakika mtego umenasa na CCM ni kitoweo cha UKAWA. Kumbuka CCM ni sikio la kufa halina dawa.

CCM Kwisheney!!!!!!!!!!!!!1
 
Back
Top Bottom