Kama ni ngumu kumeza tema!...suala la utampigia nani kura ni siri yako hatuhitaji kujuaIli wakamtangaze mtu waliyekuwa wanamuita fisadi kuwa ndo anapeperusha bendera ya CHADEMA? wakwende huko kura yangu kwa Magufuli
Lool pole yako...Ya ngoswe muachie ngoswe mzee......cant tell me u know CCM better!Kilichofanywa na ccm ni kuonesha kuwa ccm ni chama makini ambacho kinaangalia misingi ya chama kuliko mtu.
Ndani ya chadema mbowe anafanya mambo kama anavyotaka na hakuna mtu wa kumshughulikia kwani yeye kama yeye anakiendesha chama kama saccos.
Na kama lowasa atahamia chadema hayatakuwa maamuz ya wote bali ni uamuz wa mbowe ambaye anafanya mambo kwa maslahi yake na familia yake
Wakati fulani huwa inakuwa vigumu kukataa maoni ya mkubwa wako. Inasemekana Richmond ilikuwa ni shinikizo la baba riz kwa aliyekuwa waziri mkuu EL. Katika hotuba yake ya kijiuzulu alikuwa anashangaa tume ya akina Mwankyembe kutoihoji ofisi yake bali walipita sehemu zingine walizojua wao. Swali la kujiuliza kwanini hawakumhoji? Na kama alikuwa na hatia kwanini hakufunguliwa kesi mahakamani? Mimi naamini huenda kweli kulikuwa na hujuma dhidi yake iliyokuwepo ya kumuondolea umaarufu maana alikuwa tishio kwa mawaziri wazembe.
Mbona mnalilialia kwani nyinyi mmejipangaje! !
pole kwa kuweweseka, ccm lazima ife na mtakufa nayo
Kilichofanywa na ccm ni kuonesha kuwa ccm ni chama makini ambacho kinaangalia misingi ya chama kuliko mtu.
Ndani ya chadema mbowe anafanya mambo kama anavyotaka na hakuna mtu wa kumshughulikia kwani yeye kama yeye anakiendesha chama kama saccos.
Na kama lowasa atahamia chadema hayatakuwa maamuz ya wote bali ni uamuz wa mbowe ambaye anafanya mambo kwa maslahi yake na familia yake
Na wewe na Magufuli mkwende huko kura yangu kwa Lowassa.Ili wakamtangaze mtu waliyekuwa wanamuita fisadi kuwa ndo anapeperusha bendera ya CHADEMA? wakwende huko kura yangu kwa Magufuli
lowassa kaonewa sana na tutamchagua sasa
Ni kweli kabisa mkuu,Lowassa ameonewa sana mkuu.
Lowassa kafanywa ngao na jalala ndani ya ccm,kumbe walaji wapo.
Kura nyingi atapata za huruma
Nilishajua hili. Hakuna jipya
Tunasubiri upepo wenu utulie. CCM ni chama kongweCCM ni kama wamepagawa na pepo hivi!
Wala sijatoka mafichoni yakhe.
Ni kwamba tu kuna zuzu mmoja jana alikuwa anadai eti kajua jina langu halisi [well, main ID yangu humu nadhani unaijua, Nyani Ngabu].
Akadai kwamba eti jina langu la ukweli ni Richard Mugizi. Ukweli ni kwamba hilo jina ni random name tu nililotioa mtandaoni na wala si jina langu la kweli.
But, zuzu in true zuz fashion akajishawishi hadi akajiaminisha eti mimi [Nyani Ngabu] naitwa Richard Mugizi.
So ikabidi nijiandikishe tena kama Mugizi Richard kwa sababu Richard Mugizi ilikuwa kuwa merged na NN [ndo hapo huyo zuzu eti akapata "facts" zake kwamba ndo jina la ukweli la NN]. Hivyo wala sijafufuka. Nipo siku zote.
Speaking of Raj Patel, yule falla sijui yuko wapi siku hizi. Labda alirudi kwao Mumbai huko.
Ila nawe umeadimika sana aisee.....
Taarifa kutoka jukwaa la wahariri ni kwamba wahariri wameitwa Bahari Beach kesho saa 9:00 kuzungumza na uongozi wa Chadema. Hadhari imetolewa. Wahariri wote wapeleke taarifa ili wapewe kadi maalum za kuhudhuria mkutano huo. Ulinzi ni mkali. Yawezekana ndo wakawa wanamtangaza mwanachama mpya.
Chanzo: Katibu Jukwaa la Wahariri, Neville Meena usiku huu