johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,131
Tunakumbushana tu kwa sababu Watanzania Siyo Wajinga.
Chadema haina nguvu yoyote Zanzibar na kwa sababu hiyo haina ushawishi.
Kura ya maoni kuamua Katiba Mpya Tanzania na Zanzibar zinasimama Kwenye mzani Sawa kwa asilimia za Maamuzi.
Mbwembwe zote za Tundu Antipas Lisu mwisho wake Nungwi.
Mungu ni Mwema wakati Wote!
Chadema haina nguvu yoyote Zanzibar na kwa sababu hiyo haina ushawishi.
Kura ya maoni kuamua Katiba Mpya Tanzania na Zanzibar zinasimama Kwenye mzani Sawa kwa asilimia za Maamuzi.
Mbwembwe zote za Tundu Antipas Lisu mwisho wake Nungwi.
Mungu ni Mwema wakati Wote!