johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,757
- 143,209
- Thread starter
- #21
Zanzibar ni nchiZanzibar 50% wakati 50% ya wazanzibari wako Bara, wao wapewe 25%
Zanzibar ni nchiZanzibar 50% wakati 50% ya wazanzibari wako Bara, wao wapewe 25%
Wananchi wake hawako nchini kwaoZanzibar ni nchi
Ni kawaida yake, leo kakosa sigara nyota ya kuchanganyia.Umevuta bangi asubuhi kabla hata hujaoga wewe
Hata watoto wa wanasiasa wetu hawako nchini mwetuWananchi wake hawako nchini kwao
Swala la Katiba Mpya siyo la kuleta ujanja ujanja!Ni kawaida yake, leo kakosa sigara nyota ya kuchanganyia.
Katiba yetu haiitabui Zanzibar kama ni ni nchi ndugu, na ndiyo maana Rais wa Zanzibar hana mamlaka yoyote Tanganyika.Tunakumbushana tu kwa sababu Watanzania Siyo Wajinga.
Chadema haina nguvu yoyote Zanzibar na kwa sababu hiyo haina ushawishi...
Ni wanasiasa wa pande zote hata wa huko Zbr hawako nchini mwaoHata watoto wa wanasiasa wetu hawako nchini mwetu
Mbona unajichanganya bwashee kwani Ruto au Museveni Wana sauti Tanganyika?Katiba yetu haiitabui Zanzibar kama ni ni nchi ndugu, na ndiyo maana Rais wa Zanzibar hana mamlaka yoyote Tanganyika.
Sema wazanzibar ni wa kuwasaidia ili wawe na Mamlaka kamili, kwa sasa ni nchi isiyo na dola kwa maneno mengine ni mkoa tu ndani ya Tanganyika.
- maswali ya kitoto haya- Alifukuzwa Kazi kwa sababu alipiga kura ya kukataa Katiba ya warioba, the second draft ambayo kimsingi ilikuwa inaunga mkono serikali 3Unajua kwanini AG wa Zanzibar Othman Masoud alifukuzwa Kazi na Rais wa Zanzibar wakati wa Mchakato wa Katiba Mpya 2014?
Katiba ya Warioba ndio Kitu gani?- maswali ya kitoto haya- Alifukuzwa Kazi kwa sababu alipiga kura ya kukataa Katiba ya warioba, the second draft ambayo kimsingi ilikuwa inaunga mkono serikali 3
Taja hadhi na mamlaka ya Rais wa Zanzibar ndani ya Jamhuri ya Muungano wa TANZANIA.Mbona unajichanganya bwashee kwani Ruto au Museveni Wana sauti Tanganyika?
Ni mjumbe wa Baraza la Mawaziri wa JMTTaja hadhi na mamlaka ya Rais wa Zanzibar ndani ya Jamhuri ya Muungano wa TANZANIA.
CCM Zanzibar inataka serikali 2 ACT Wazalendo wanataka serikali 3
- nimeandika the Katiba ya warioba, na nikakuwekea msisitizo 'The second draft' au hukuona? au Elimu Yako duni?!.Katiba ya Warioba ndio Kitu gani?
Ilipigiwa kura na nani?
Katiba ya Warioba second draft?- nimeandika the Katiba ya warioba, na nikakuwekea msisitizo 'The second draft' au hukuona? au Elimu Yako duni?!.
Mbona unajichanganya bwashee kwani Ruto au Museveni Wana sauti Tanganyika?
- second draft, maana yake rasimu ya pili! Kipi Huelewi? Nikimaanisha Rasimu ya Pili ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba ya Jaji Joseph Sinde Warioba, iliyoundwa chini ya sheria ya mabadiliko ya Katiba, The constitutional review actKatiba ya Warioba second draft?
Unaelewa maana ya Katiba lakini au umejaliwa kejeli tu?!!
Ni nchi zenye viongozi waliochaguliwa na wananchi waoKwani Uganda na Kenya ni Jamhuri ya muungano wa Tanzania?
Ni nchi zenye viongozi waliochaguliwa na wananchi wao
Ndio ujue Rasimu Siyo Katiba- second draft, maana yake rasimu ya pili! Kipi Huelewi? Nikimaanisha Rasimu ya Pili ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba ya Jaji Joseph Sinde Warioba, iliyoundwa chini ya sheria ya mabadiliko ya Katiba, The constitutional review act